Wakristo wanatoa sana kwa wachungaji kuzidi kwa wahitaji, Waislamu wanatoa sana kwa wahitaji kuzidi kwa mashehe

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Makanisani wakristo wengi wakishatoa sadaka kanisani ndio shughuli imeishia hapo. Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini lakini kuna waumini wana changamoto zinazoweza kutatulika kwa milioni 10 ila wanaombewa badala ya kusaidiwa, ni kweli makanisa yanajenga shule mpaka huko vijijini ila sihesabii kama msaada maana ni miradi ya kifaida, shule za kiristo ni kawaida sana kukuta ada ni milioni 3, vyuo navyo vipo vingi ni gharama kuzidi vya serikali.

Licha ya kwamba waislamu wengi ni maskini ukilinganisha na wakristo, Nimegundua waislamu hawatoi sana sadaka misikitini lakini huwa wanasaidia sana huku nje.

Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima, kanisa waweza kukuta lina mabomba ya kutosha ila ni kwajili ya matumizi ya kikanisa tu.

Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti,

Mwezi wa Ramadhani ule mwezi mzima ni kawaida sana kuwakuta waislam wanasaidia vyakula watu wenye shida.


Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
 
Asante kwa kutujulisha.Visima vya msikiti vinatusaidia sana,kipindi chose cha shida ya maji.Pamoja na waliokatiwa maji,na wasio na mabomba ya maji,bila kubagua dini,na pia asiye na dini.
Asante kwa kutujulisha.Visima vya msikiti vinatusaidia sana,kipindi chose cha shida ya maji.Pamoja na waliokatiwa maji,na wasio na mabomba ya maji,bila kubagua dini,na pia asiye na dini.
Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima. Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti. Makanisa yanajenga miradi kama shule na vyuo lakini ni mpaka uwe na ada sio bure Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini mifano ikiwa kina Kakobe ambae akaunti yake moja tu ilikuwa na shilingi bilioni 8, ajabu ni kwamba kuna wahitaji kibao wanafika makanisani wanashindwa kuswaidiwa kiuchumi labda kuwe na kamera za kuonyesha ushahidi watu wengi wajue Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima. Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti. Makanisa yanajenga miradi kama shule na vyuo lakini ni mpaka uwe na ada sio bure Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini mifano ikiwa kina Kakobe ambae akaunti yake moja tu ilikuwa na shilingi bilioni 8, ajabu ni kwamba kuna wahitaji kibao wanafika makanisani wanashindwa kuswaidiwa kiuchumi labda kuwe na kamera za kuonyesha ushahidi watu wengi wajue Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima. Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti. Makanisa yanajenga miradi kama shule na vyuo lakini ni mpaka uwe na ada sio bure Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini mifano ikiwa kina Kakobe ambae akaunti yake moja tu ilikuwa na shilingi bilioni 8, ajabu ni kwamba kuna wahitaji kibao wanafika makanisani wanashindwa kuswaidiwa kiuchumi labda kuwe na kamera za kuonyesha ushahidi watu wengi wajue Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
 
Uncle tambua kwamba hadi unafikia hatua ya kuomba malazi au msaada wowote kwa taasisi lazima.mhusika ajiridhishe na hoja zako.
Tanzania ya leo imejawa na watapeli wengi.
Kupokelewa kwako na kunatwgemea na maelezo yako!
Ukileta hoja za kiimani billa kujua sababu za wewe kuhitaji msaada wa kutaka aidha hifadhi au kusitiriwa bila kujali kwamba first responder aidha ni serikali za mtaa kupitia mjumbe wa eneo husika wewe ni mbaguzi wa dini chuni ya kivuki cha uislam vs ukristo.
 
Sio kweli,tunaona kilasiku wenye shida na mahitaji mbalimbali wakiombewa na wachungaji.
Mtu unaeweza kumsaidi ni heri umsaidie tu,

Mchungaji account yake moja tu inasoma bilioni 8 anashindwaje kumsaidia mtu ambae ugonjwa wake unatibika hospitalini kwa milioni 1, yanakuwa maombi ya kinafki sana hayo,

Hata Yesu atakuwa anapiga block hayo maombi ndio maana wengi wanakodisha waigizaji wa kuruka ruka
 
Asante kwa kutujulisha.Visima vya msikiti vinatusaidia sana,kipindi chose cha shida ya maji.Pamoja na waliokatiwa maji,na wasio na mabomba ya maji,bila kubagua dini,na pia asiye na dini.

Tukumbushane tu kuwa hiyo misikiti inayotoa na kushirikiana na jamii ni ya BAKWATA pekee!!

Wale Answar hawataki hata Waislam wenzao wa BAKWATA sembuse asiye Muislam kuwasogelea....!!

Walituleteaga fujo ya mapanga wale Kenge (AnswarSun) sitawasahau!!
 
Tukumbushane tu kuwa hiyo misikiti inayotoa na kushirikiana na jamii ni ya BAKWATA pekee!!

Wale Answar hawataki hata Waislam wenzao wa BAKWATA sembuse asiye Muislam kuwasogelea....!!

Walituleteaga fujo ya mapanga wale Kenge (AnswarSun) sitawasahau!!
Sasa hao hao Answar wanaenda mahospitalini na kutoa misaada ya vyakula na nguo bure

Kwangu mimi sadaka hiyo ina sauti kubwa kuliko sadaka ya Kinafiki

Kama ningekuwa Muislam ningekuwa Answar
 
Makanisani wakristo wengi wakishatoa sadaka kanisani ndio shughuli imeishia hapo, Ni rahisi sana kuwakuta wachungaji mabilionea wanaotajirika kwa sadaka za waumini lakini kuna waumini wana changamoto zinazoweza kutatulika kwa milioni 10 ila wanaombewa badala ya kusaidiwa

Licha ya kwamba waislamu weng ni maskini ukilinganisha na wakristo, Nimegundua waislamu hawatoi sana sadaka misikitini lakini huwa wanasaidia sana huku nje.

Nimewahi kupata shida ya maji na niliweza kuchota maji bure kabisa msikitini wiki nzima.

Niliwahi kufikia sehemu sina pa kulala nilienda kanisani nikiwa muumini wa kanisa tangu mtoto lakini nilikataliwa kabisa, sehemu iliyonitunza ni msikiti, kanisa waweza kukuta lina mabomba ya kutosha ila ni kwajili ya matumizi ya kikanisa tu.

Mwezi wa Ramadhani ule mwezi mzima ni kawaida sana kuwakuta waislam wanasaidia vyakula watu wenye shida.


Waumini wana magonjwa ambayo yanatibika kwa milioni 10 lakini wachungaji wenye account zinazosoma Bilioni wapo kujifanya wanawaombea, Kweli ?? Haya kama sio maombi ya kinafki tuyaitaje ?!!..

Pamoja na mazuri haya kilichonitatiza kuhamia uislam ni dini ambayo ina baadhi ya sheria zenye mirengo mikali sana, hakuna free will uhuru wa kiimani kwamba unaweza kuchagua dini nyingine, kukariri koran na kuomba kwa lugha usiyoijua, mistari yenye kuchochoea chuki dhidi ya wasio waislam, n.k.
Naomba nitoe elimu kidogo: Kuna wakristo wasio wakristo, hawa hawaujui ukristo kwa maana ya kwamba hawana uhusiano binafsi na KRISTO. Wakristo wasio wakristo wanapotoa sadaka wanaamini wanampa/wanamfadhili mchungaji!! Wakristo walio WAKRISTO (waliookoka) wanapotoa sadaka wanajua wanamtolea Mungu na ndivyo ilivyo!! Wakristo wasio wakristo wamezaliwa na wazazi wakriso ambao pia wanaweza kuwa ni wakristo wasio wakristo pia!! Mkristo wa kweli ni yule aliyeokoka.
 
Huku south africa jamii nyingi za kiislam wanatoa misosi bure almaarufu wanaitwa maulana,,, ukienda msikitini siku ya ijumaa nje mateja kibao wanaomba msaada na wasio mateja wanapewa kuanzia nguo, hela, vyakula nk. Sasa nenda kanisani kasimame nje usuburi watoke uombe msaada kama hujachezea shaya na wakosa huku western cape 😀
 
nikajua waislamu hawana kabisa utaratibu wa kutoa sadaka za fedha

The Icebreaker vipi huko kwenu
Mkuu,mahitaji ya Dunia ya leo yananunulika kwa kutumia fedha,so fedha ndio source kubwa ya kupata mahitaji but Waislamu hawatoi fedha ili ziwe za Shehe bali wanatoa fedha kwa mahitaji ya kuwasaidia wasio jiweza au kwa matumizi ya Msikiti,sio kama upande ule wanatoa sadaka ili ziwe za mchungaji,ndio maana utaona wachungaji wengi ni matajiri kuliko mashehe.
 
Sasa hao hao Answar wanaenda mahospitalini na kutoa misaada ya vyakula na nguo bure

Kwangu mimi sadaka hiyo ina sauti kubwa kuliko sadaka ya Kinafiki

Kama ningekuwa Muislam ningekuwa Answar
ungekuwa na roho ya kikatili
 
Back
Top Bottom