Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "copmpunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu

Wakiwa wengi ni uhakika kwa kiasi kikubwa nchi nyingi za ulaya zitakuwa na viongozi wengi wenye dini ya kiislam na kuuingiza uislamu kwenye sheria
Sasa hapa ni Nini kitatokea fanya kuwa ulimwengu wote uwe waislamu so what then or what special labda. What then to my life ama your life
 
Nchi nyingi za ulaya zinapokea waislamu wengi sana, ndio wenyeji wazungu hawataki ila kuna vyama vya siasa huwalinda na kuwahamashisha waje kwa wingi kuzijaza nchi zao

Na uzuri ni kwamba nchi nyingi za ulaya kama ufaransa na uingereza ni rahisi kupata uraia hata kama umeingia kinyume na sheria.

Kwa sasa uingereza na ufaransa, ujerumani, n.k kuna makanisa yamebadilishwa kuwa misikiti na pia kuna mitaa kwajili ya waislam tu (wakristo hawatakiwi kuishi).

Katika suala la uzazi hapa ndipo penyewe, Wazungu wengi wanazaa mtoto 1 tu, wengine hwapendi watoto na wengine huoana jinsia sawa.

Kwa upande wa waislamu wanazaliana sana na kuingiliana hata na wazungu.

Kwenye hesabu kuna kitu kinaitwa "copmpunding" ni swala la muda tu ulaya itakuwa chini ya waislamu

Wakiwa wengi ni uhakika kwa kiasi kikubwa nchi nyingi za ulaya zitakuwa na viongozi wengi wenye dini ya kiislam na kuuingiza uislamu kwenye sheria
Usinisahau mtapo ongoza dunia, na kushika dora.
 
Na mzungu akiwa muislam itakua Bora kuliko mwarabu...mwarabu mjingamjinga Sana,hata mtume aliwakuta wakiua watoto wa kike ati aibu,sijui wangettomba wapi miaka kadhaa baadae

Kwahiyo point yako nikwamba, waarabu wa sasa wote ni wajinga, na sio wale walioukataa uisilamu enzi za mitume!!
 
WAISLAMU BANA WANATIA AIBU NDO MANA HUWA NAWAMBIA NI MARA CHACHE SANA KWA MTU ANAUJUA VEMA UISLAMU NA AKAENDEA KUWA MUISALMU, WENGI WANAKIMBIA USHETANI ULE
Endelea kujifariji hivyo hivyo kama inakupa nafuu,hiki kicomment chako cha chuki hakina madhara yeyote wala hakiwezi kubadili kitu,

Pole kwa maumivu ya nafsi unayoyapitia kwa kuchukia imani za wengine.
 
Back
Top Bottom