Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,895
Hii ndio namba ya Mama yangu mpenzi, please call or text ASAP, baba yetu alifariki siku nyingi, Mama ni mpweke.0682 887 722Nipe namba ya mama yko pia na mimi
Hii ndio namba ya Mama yangu mpenzi, please call or text ASAP, baba yetu alifariki siku nyingi, Mama ni mpweke.0682 887 722Nipe namba ya mama yko pia na mimi
Mzee tumia kiswahili uelewekeI have quite a different reason from the one some hopeless guys are trying to speculate!
Umenikumbisha afande mmoja alikuwa anafata kuruti combania kwa kisingizio cha kwamba ni mwanaeMzee wangu majeshi ya sasa na zamani ni tofauti sana...keep it in mind!
Maafande wa kozi ni predators na wadogo zetu wa kike ni preys yaani wanawatafuna vibaya sana sometimes ni kwa lazima
Ahsante kwa kuwapa hiyo shuhuda,mtoto wangu wa kike jeshini anaenda kufanya nini huko...nimekutana na wanawake wanajeshi mpaka nawaonea huruma hawana furaha na maisha yao.Umenikumbisha afande mmoja alikuwa anafata kuruti combania kwa kisingizio cha kwamba ni mwanae
Mwisho wa siku kakuruti ka watu kakazawadiwa ngoma
Yes call me katili au nini but I thank God watoto wamekua sasawewe mwanamke katili sana sija
Najua huo uhamisho hauwezekani, niulize nini sasaNilitegemea uulize sababu ya kutaka kumhamisha! Ningelikuona sensible!
Mbona amepata! Lisilowezekana halipo duniani! Tena Africa, Tanzania!
Sijaona tusi lolote hapo na miye sio mtukanaji. Ukitaka tukana tuuuu ila nimekuuliza; Utampakata huyo mwano hata lini?? Kambi zote za jeshi zinafanana sasa hiyo karibu na nyumbani ni ya jeshi au ya mapumziko?Sijapenda matusi yako! Sishindwi kukutukana!