- Thread starter
- #41
Nilitegemea uulize sababu ya kutaka kumhamisha! Ningelikuona sensible!Najua na nimesema, my daughter was mlale songea huko, alikonda hadi kichwa, kamaliza chuo, hajawahi lia lia kukosa kazi.
Waende tu jeshini wakakomae
Sent using Jamii Forums mobile app