Nifuate utaratibu gani kumhamisha kijana wangu aje kambi ya JKT karibu na nyumbani?

JKT inamfanya mtu awe smart kweli...?
ingekuwa ni mamlaka yangu kamwe nisingeshauri mtu alazimishwe kwenda huko...
yani huko jkt sijui wangeenda wanaopenda tu...majeshi yetu yamechafuka sana...
na si salama sana kwa watoto wakike....
nimeyaishi maisha ya jeshini najua.
na nimetoka huko.
Jeshini ni kuishi kwa akili.
Hulazimishwi kitu labda kama unataka mwenyewe.
ctually Kiongozi (afande) akilazimisha penzi hilo ni kosa ambalo anaweza kuwa Court Marshaled na kupunguzwa cheo au kufukuzwa jeshi.
Mtoto wa kike huna haja ya kuogopa suluba za jeshi, ukiambiwa push up, unapiga, ukiambiwa kichura unakwenda.
Hizo adhabu ukizizoea ni kama mazoezi ya mwili tu.

Kuna maafande mimi walinisulubu , kufika uraiani sasa wakakuta naweza kuwasulubu kimaisha.
Ndiyo maisha ya kufundishwa huko jeshini.
 
Una mawazo ya ujima.
Kijana kwenda JKT maana yake ni kwenda mbali na nyumbani, kushiriki kazi za kujenga taifa na wenzake,kufahamiana na wengine watanzania ambo si wa karibu kwake.
Hili linajenga umoja wa kitaifa.
Sasa wewe unafikiri JKT ni shule ya msingi ambayo inabidi aje kula nyumbani, kupigiwa pasi nguo zake nyumbani, na apikiwe nyumbani.
Hujelewa maana y JKT kwa vile pengine na wewe inaelekea hukupitia huko.
Anazingua Sana huyo bi mkubwa
 
Ndugu yangu, bila kujali sababu, huyo ni form 6 leaver mwache hukohuko, only this once, ajiandae na maisha ya chuo kikuu!
Huwezi kusema bilakujali sababu, bila kujua sababu! Kwanini mnakimbilia kudekezxa mtot. Ningeliwaona watu wa maana kama mngeliulza sababu kwanza!
 
Huwezi kusema bilakujali sababu, bila kujua sababu! Kwanini mnakimbilia kudekezxa mtot. Ningeliwaona watu wa maana kama mngeliulza sababu kwanza!
Ukiona hivyo, hawakubaliani na mawazo yako! Umwache mtoto asimame mwenyewe kwa Sasa! Hata Kama anaulemavu, ni muda muafaka kumuachilia!
 
Naona watu mnamshambulia Retired bila hata kumuuliza sababu ya kutaka kijana wake aje karibu!
Miongoni mwa wanaoponda atakua ni kaka yangu ana hasira mdogo wake sina ajira halafu asikie kuna kijana yupo JKT na mzazi wake anampambania lazima ateme nyongo.

Nahisi na hawa wengine ni hivyo hivyo tu.
 
Ukiona hivyo, hawakubaliani na mawazo yako! Umwache mtoto asimame mwenyewe kwa Sasa! Hata Kama anaulemavu, ni muda muafaka kumuachilia!
Nani hakubaliana na mimi? kwani nilitafuta kukubaliana na mtu? Sikuleta uzi kukubaliana na mtu, nilitaka utaratibu. A sensible man atajibu swali! siyo matusi!
 
Jeshini ni kuishi kwa akili.
Hulazimishwi kitu labda kama unataka mwenyewe.
ctually Kiongozi (afande) akilazimisha penzi hilo ni kosa ambalo anaweza kuwa Court Marshaled na kupunguzwa cheo au kufukuzwa jeshi.
Mtoto wa kike huna haja ya kuogopa suluba za jeshi, ukiambiwa push up, unapiga, ukiambiwa kichura unakwenda.
Hizo adhabu ukizizoea ni kama mazoezi ya mwili tu.

Kuna maafande mimi walinisulubu , kufika uraiani sasa wakakuta naweza kuwasulubu kimaisha.
Ndiyo maisha ya kufundishwa huko jeshini.
Nani kakwambia anaogopa suluba? nani kakwambia ni msichana? Una speculate na unaamini kitu huna uhakika nacho!
 
Back
Top Bottom