Nifuate utaratibu gani kumhamisha kijana wangu aje kambi ya JKT karibu na nyumbani?

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,172
73,614
Nataka kumhamisha kijana wangu aje kambi ya JKT karibu na nyumbani. Je, nifuate utaratibu gani?
 
Nataka kumhamisha kijana wangu aje kambi ya JKT karibu na nyumbani. Je, nifuate utaratibu gani?
Una mawazo ya ujima.
Kijana kwenda JKT maana yake ni kwenda mbali na nyumbani, kushiriki kazi za kujenga taifa na wenzake,kufahamiana na wengine watanzania ambo si wa karibu kwake.
Hili linajenga umoja wa kitaifa.
Sasa wewe unafikiri JKT ni shule ya msingi ambayo inabidi aje kula nyumbani, kupigiwa pasi nguo zake nyumbani, na apikiwe nyumbani.
Hujelewa maana y JKT kwa vile pengine na wewe inaelekea hukupitia huko.
 
Huwa hakuna utaratibu wowote. Iwe umechaguliwa au hujachaguliwa unaweza ukaripoti kambi yoyote unayotaka wewe, hawa jamaa huwa hawana complications.
Akifika pale ataulizwa kama ame chaguliwa pale au laah, kisha anakuwa registered kazi kwisha.
 
Mwache aende huko huko alikopangwa tena usijifanye kujali, mwache aende utakuja kufurahi atakavyokuwa smart kimaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
JKT inamfanya mtu awe smart kweli...?
ingekuwa ni mamlaka yangu kamwe nisingeshauri mtu alazimishwe kwenda huko...
yani huko jkt sijui wangeenda wanaopenda tu...majeshi yetu yamechafuka sana...
na si salama sana kwa watoto wakike....
nimeyaishi maisha ya jeshini najua.
na nimetoka huko.
 
Nataka kumhamisha kijana wangu aje kambi ya JKT karibu na nyumbani. Je, nifuate utaratibu gani?
Mkuu mm nakushauri mwache kwenye kambi hyohyo ya mbali. Inasaidia kwenye maisha japo kwasasa huwezi kuona faida zake na hata yeye kwasasa hawezi kuona faida yake...

Mm nmepita Jkt baada tu ya kumaliza shule nikajiunga Jkt pale mafinga, ndio ilikuwa Mara ya kwanza kukaa mbali na familia ilinipa ugumu flani japo kwasasa ndio nagundua faida zake.
 
JKT inamfanya mtu awe smart kweli...?
ingekuwa ni mamlaka yangu kamwe nisingeshauri mtu alazimishwe kwenda huko...
yani huko jkt sijui wangeenda wanaopenda tu...majeshi yetu yamechafuka sana...
na si salama sana kwa watoto wakike....
nimeyaishi maisha ya jeshini najua.
na nimetoka huko.
Najua na nimesema, my daughter was mlale songea huko, alikonda hadi kichwa, kamaliza chuo, hajawahi lia lia kukosa kazi.

Waende tu jeshini wakakomae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom