Menyainganyi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 1,170
- 1,106
Another KILAZA is here . . !"Smart people sound dumb to stupid people" msiomuelewa Raisi Magufuli hilo ndo tatizo lenu.. Magufuli till 2025
Another KILAZA is here . . !"Smart people sound dumb to stupid people" msiomuelewa Raisi Magufuli hilo ndo tatizo lenu.. Magufuli till 2025
Gombea uongozi sasa . .Kadi ninayo
Kama uko serious . . , kweli kabisa watafute hawa , Coco , Anaeli, Barbarossa, Nyani Ngabu . .Hivi katika dunia hii kweli ikosekane dawa ya kupunguza IQ?
Kuna tafiti mwezi uliopita ilitoka ila sikumbuki vizuri ilitolewa na nani lakini ilieleza mtandao unaoongoza kwakuwasababishia watu magonjwa ya moyo na akili ni Instagram kwakuwa maisha wanayoigiza watumiaji wa mtandao huo sio maisha halisi wanayoishi wao so kwa asiejua na akaakisi huyo ndio maisha ya mhusika basis huumia sana kila ajijitiza na kujifikiria vile alivyo. Hoja yangu, no 4 umemdanganya utamuua.1. Achana na JF
2. Acha kusikiliza na kuangalia taarifa za habari na kusoma magazeti
3. Acha kabisa kufuatilia current events zozote zile
4. Shinda Instagram na uwafuate wasanii wa bongo fleva na bongo movie
5. Tafuta team ya kujiunga nayo - kama team Wema, team Mondi, team Kiba, n.k.
6. Kuwa mmbea - fuatilia kwa ukaribu bifu za akina Mange, Linda, Recho, na KichwaP😀
7. Kuwa fan wa Le Mutuz
Namimi huwa nawasikiaSerikali ya ovyo sana hii na bado unaskia baadhi ya watu wakiwemo Ata viongozi wa chama changu chadema, viongozi wa dini wakiongea na kumtambulisha rais kama mchukia rushwa.ifike mahali tusimamie ukweli na tuweke msimamo.nchi yetu inapitia katika utawala mbovu kuliko awamu zote tangia tupate Uhuru.
1. Achana na JF
2. Acha kusikiliza na kuangalia taarifa za habari na kusoma magazeti
3. Acha kabisa kufuatilia current events zozote zile
4. Shinda Instagram na uwafuate wasanii wa bongo fleva na bongo movie
5. Tafuta team ya kujiunga nayo - kama team Wema, team Mondi, team Kiba, n.k.
6. Kuwa mmbea - fuatilia kwa ukaribu bifu za akina Mange, Linda, Recho, na KichwaP😀
7. Kuwa fan wa Le Mutuz
Mbona wewe mwenyewe tayari umeingia kwenye siasa za magamba, nyumbu ndio hujifanya hawafuatilii siasa, utaepuka kuwafuatilia vipi wanasiasa wakati wao ndio wanakupangia wewe namna ya kuishi.Tatizo ni uelewa mkubwa au muda wote kuwaza siasa tu,tatizo hili linasababishwa na imani ya kwamba wenye kufuatilia haya mambo ya siasa ndiyo wenye uelewa mkubwa tena hasa wale wenye kuiponda serikali muda wote.
Ndiyo maana nasemaga watu wamejiweka kwenye situation(kihisia) ambayo kiuhalisia hakuna hali hiyo,matokeo yake ndiyo hayo.
jiunge na FISIEM🙄Yaani kuwa na uelewa wa mambo mbambali ni mateso makubwa hasa kwenye nchi ya Tanzania nimegundua watu wenye uelewa mdogo wa mambo (ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi) wana raha kubwa sana na wanafurahia maisha vizuri, yaani kwao bora liende hawajui chochote kinachoendelea.
Kuna mambo mengi makubwa yanatokea tena yakuogopesha kwa mtu mwenye kufikiri vizuri, lakini wenzagu wenye uelewa mdogo wala hawapati machungu yoyote yale maisha kwao yanasonga mbele kama vile hakuna kinachotokea, kiufupi wenzagu raha wanayo.
Sasa naomba mnipatie mbinu ya kuondoa uelewa wa kutafakari na kuchambua mambo, ili niwe kama zezeta fulani na mi nifurahie maisha.
Nimeona njia pekee ya kufurahia maisha apa Bongo ni kuwa na uelewa mdogo wa mambo.
Umesema KweliMbona wewe mwenyewe tayari umeingia kwenye siasa za magamba, nyumbu ndio hujifanya hawafuatilii siasa, utaepuka kuwafuatilia vipi wanasiasa wakati wao ndio wanakupangia wewe namna ya kuishi.
Ayo maarifa yanaondolewaje sasa?Aongezaye maarifa huongeza masikitiko... imeandikwa kwenye bible mkuu hyo..so wewe ondoa tu maarifa kichwan jaza ujinga..
Hakuna anayejua kila kitu apa duniani tunategemeanaWewe mleta mada ungekuwa na uelewa mkubwa uelewa huo si ungekupa mbinu za kupata uelewa mdogo?