Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 14,243
- 13,535
Bora Bange kuliko pombeJaribu ku-bet,, ukishindwa anza pombe
Bora Bange kuliko pombeJaribu ku-bet,, ukishindwa anza pombe
Huu uzi niliwahi usoma mwaka jana ukanifikirisha sana. Kimsingi wengi twateseka sana na kufikiri mambo mengi. Mimi naamini kw hali ya sasa hutaweza. Vinginevyo uwe zoba/layman. Yaani hata kichaa hutabika ndio maana hukumbuka nakusemea yale yote aliyoyatenda kipindi hicho. Kuna jamaa yangu ana simu ya tochi anakunywa tu ugimbi, yaani anaweza kukupigia kukuuliza issue za mwaka za nyuma huko. Hawazii maishamazuri wala nini. Ukimpa kazi akimaliza ni pombe tu, hata mademu hamind!!! Kwa mbali yanga na simu lkn si Man u.Yaani kuwa na uelewa wa mambo mbambali ni mateso makubwa hasa kwenye nchi ya Tanzania nimegundua watu wenye uelewa mdogo wa mambo (ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi) wana raha kubwa sana na wanafurahia maisha vizuri, yaani kwao bora liende hawajui chochote kinachoendelea.
Kuna mambo mengi makubwa yanatokea tena yakuogopesha kwa mtu mwenye kufikiri vizuri, lakini wenzagu wenye uelewa mdogo wala hawapati machungu yoyote yale maisha kwao yanasonga mbele kama vile hakuna kinachotokea, kiufupi wenzagu raha wanayo.
Sasa naomba mnipatie mbinu ya kuondoa uelewa wa kutafakari na kuchambua mambo, ili niwe kama zezeta fulani na mi nifurahie maisha.
Nimeona njia pekee ya kufurahia maisha apa Bongo ni kuwa na uelewa mdogo wa mambo.
Yaani bangi iwe bora kuliko pombe?Bora Bange kuliko pombe
Bange inaleta uelewa mdogo kwa kasi zaidYaani bangi iwe bora kuliko pombe?
Umehisi tofauti"Smart people sound dumb to stupid people" msiomuelewa Raisi Magufuli hilo ndo tatizo lenu.. Magufuli till 2025
Bange inaleta uelewa mdogo kwa kasi zaid[/QUOTE)
Siyo kinyume chake?
Siyo kinyume chake?Bange inaleta uelewa mdogo kwa kasi zaid
Siyo kinyume chake?Bange inaleta uelewa mdogo kwa kasi zaid
Jaribu bange uoneSiyo kinyume chake?
Kesho nianze majaribio kwa kumpatia mbwa wangu apa nyumbaniJaribu bange uone
Achana na mbwa.Puliza wewe afu post hapa JF wakati upo high bado.Kesho nianze majaribio kwa kumpatia mbwa wangu apa nyumbani
Nadhani hili linaweza kuwa jawabuAcha kuwa mzalendo, pia kaishi kijijini usisikilize radio wala kuangalia tv,
Chibuku ni hatari Kwa afya.Kula chibuku wiki mbili mfululizo hautokua zezeta tu ila utakua pimbi kamili hautojali chochote hapa dunian kuanzia kuoga mpaka mambo ya jamuhuri yetu
We umejibu nilichokuuliza?
Ulichojibu hukuulizwa na ulichoulizwa hukukijibu!
Kama hakuna nilichouliza, ulichosema umekijibu kwa namna ya swali ni kipi?
Ningesema neno lakini ngoja ninyamazeNi kile ambacho hujakiona nilipokijibu.
Kunyamaza ni hekimaNingesema neno lakini ngoja ninyamaze
Kuwa mwanachama wa CCM . . !Yaani kuwa na uelewa wa mambo mbambali ni mateso makubwa hasa kwenye nchi ya Tanzania nimegundua watu wenye uelewa mdogo wa mambo (ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi) wana raha kubwa sana na wanafurahia maisha vizuri, yaani kwao bora liende hawajui chochote kinachoendelea.
Kuna mambo mengi makubwa yanatokea tena yakuogopesha kwa mtu mwenye kufikiri vizuri, lakini wenzagu wenye uelewa mdogo wala hawapati machungu yoyote yale maisha kwao yanasonga mbele kama vile hakuna kinachotokea, kiufupi wenzagu raha wanayo.
Sasa naomba mnipatie mbinu ya kuondoa uelewa wa kutafakari na kuchambua mambo, ili niwe kama zezeta fulani na mi nifurahie maisha.
Nimeona njia pekee ya kufurahia maisha apa Bongo ni kuwa na uelewa mdogo wa mambo.