Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,030
- 142,942
Ni kwa sababu hakuna ulichouliza.
Kama hakuna nilichouliza, ulichosema umekijibu kwa namna ya swali ni kipi?
Nimekujibu kwa namna ya swali.
Ni kwa sababu hakuna ulichouliza.
Nimekujibu kwa namna ya swali.
Sijaona ulichojibu!
Kama hakuna nilichouliza, ulichosema umekijibu kwa namna ya swali ni kipi?
Ni kile ambacho hujakiona nilipokijibu.
Jibu nilichokuuliza.Ulichojibu hukuulizwa na ulichoulizwa hukukijibu!
Jibu nilichokuuliza.
Yes.We umejibu nilichokuuliza?
Yes.
Piga punyeto...Yaani kuwa na uelewa wa mambo mbambali ni mateso makubwa hasa kwenye nchi ya Tanzania nimegundua watu wenye uelewa mdogo wa mambo (ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi) wana raha kubwa sana na wanafurahia maisha vizuri, yaani kwao bora liende hawajui chochote kinachoendelea.
Kuna mambo mengi makubwa yanatokea tena yakuogopesha kwa mtu mwenye kufikiri vizuri, lakini wenzagu wenye uelewa mdogo wala hawapati machungu yoyote yale maisha kwao yanasonga mbele kama vile hakuna kinachotokea, kiufupi wenzagu raha wanayo.
Sasa naomba mnipatie mbinu ya kuondoa uelewa wa kutafakari na kuchambua mambo, ili niwe kama zezeta fulani na mi nifurahie maisha.
Nimeona njia pekee ya kufurahia maisha apa Bongo ni kuwa na uelewa mdogo wa mambo.
U nailed it all babu, but/lakini huyu Le Mutuz si ndio akili kubwaz with 3 degree?1. Achana na JF
2. Acha kusikiliza na kuangalia taarifa za habari na kusoma magazeti
3. Acha kabisa kufuatilia current events zozote zile
4. Shinda Instagram na uwafuate wasanii wa bongo fleva na bongo movie
5. Tafuta team ya kujiunga nayo - kama team Wema, team Mondi, team Kiba, n.k.
6. Kuwa mmbea - fuatilia kwa ukaribu bifu za akina Mange, Linda, Recho, na KichwaP😀
7. Kuwa fan wa Le Mutuz
U nailed it all babu, but/lakini huyu Le Mutuz si ndio akili kubwaz with 3 degree?
Kwenye hiyo orodha ongeza kipengele cha kuangalia picha za uchi na kupiga nyeto kwa sana.Mkuu kuanzia namba moja hadi tatu uko sahihi na utamsaidia kwa hii shida yake.
Namba nne na tano ataongeza maarifa ya upande wa pili, atabobea huko kwenye ma team na umbea ambayo nayo itamsumbua. Kwa ufupi yeye hataki apate shida na kitu anachokifaham. Akaishi porini kwa watindiga na wadzabe!!
Kwenye hiyo orodha ongeza kipengele cha kuangalia picha za uchi na kupiga nyeto kwa sana.
omba uwe mwanachama wa ccmYaani kuwa na uelewa wa mambo mbambali ni mateso makubwa hasa kwenye nchi ya Tanzania nimegundua watu wenye uelewa mdogo wa mambo (ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi) wana raha kubwa sana na wanafurahia maisha vizuri, yaani kwao bora liende hawajui chochote kinachoendelea.
Kuna mambo mengi makubwa yanatokea tena yakuogopesha kwa mtu mwenye kufikiri vizuri, lakini wenzagu wenye uelewa mdogo wala hawapati machungu yoyote yale maisha kwao yanasonga mbele kama vile hakuna kinachotokea, kiufupi wenzagu raha wanayo.
Sasa naomba mnipatie mbinu ya kuondoa uelewa wa kutafakari na kuchambua mambo, ili niwe kama zezeta fulani na mi nifurahie maisha.
Nimeona njia pekee ya kufurahia maisha apa Bongo ni kuwa na uelewa mdogo wa mambo.
Isee we jamaa hauko humble kabisa, ina maana huzitambui Le akili kubwaz?Hahahaa nigga pliiiz....
Le akili kubwa?😀