- Thread starter
- #81
Unapitia wapi? Kurudi uko kwenye stone ageArudi kwenye stone age
Unapitia wapi? Kurudi uko kwenye stone ageArudi kwenye stone age
Ukitoka kazini tu wewe na key board na kards basi utaona muda unaenda na weka muziki labda.Ahsante sana nyani ngabu kwa ushahuri mzuri.
Yaani kuwa na uelewa wa mambo mbambali ni mateso makubwa hasa kwenye nchi ya Tanzania nimegundua watu wenye uelewa mdogo wa mambo (ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi) wana raha kubwa sana na wanafurahia maisha vizuri, yaani kwao bora liende hawajui chochote kinachoendelea.
Kuna mambo mengi makubwa yanatokea tena yakuogopesha kwa mtu mwenye kufikiri vizuri, lakini wenzagu wenye uelewa mdogo wala hawapati machungu yoyote yale maisha kwao yanasonga mbele kama vile hakuna kinachotokea, kiufupi wenzagu raha wanayo.
Sasa naomba mnipatie mbinu ya kuondoa uelewa wa kutafakari na kuchambua mambo, ili niwe kama zezeta fulani na mi nifurahie maisha.
Nimeona njia pekee ya kufurahia maisha apa Bongo ni kuwa na uelewa mdogo wa mambo.
nipo mbali na uko lumumbaKila siku Uwe una shinda lumumba Uelewa wako utakuwa mdogo tu
OVA
Unapoelekea utakuwa zezeta mzuri tu, ukifikiri mambo sana utajikuta unaangukia pabaya au kufanya mambo ya hovyo, so usijali soon utakuwa uzezetani...joki.....Yaani kuwa na uelewa wa mambo mbambali ni mateso makubwa hasa kwenye nchi ya Tanzania nimegundua watu wenye uelewa mdogo wa mambo (ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi) wana raha kubwa sana na wanafurahia maisha vizuri, yaani kwao bora liende hawajui chochote kinachoendelea.
Kuna mambo mengi makubwa yanatokea tena yakuogopesha kwa mtu mwenye kufikiri vizuri, lakini wenzagu wenye uelewa mdogo wala hawapati machungu yoyote yale maisha kwao yanasonga mbele kama vile hakuna kinachotokea, kiufupi wenzagu raha wanayo.
Sasa naomba mnipatie mbinu ya kuondoa uelewa wa kutafakari na kuchambua mambo, ili niwe kama zezeta fulani na mi nifurahie maisha.
Nimeona njia pekee ya kufurahia maisha apa Bongo ni kuwa na uelewa mdogo wa mambo.
Kwanza jiulize watu wa aina hiyo wanapatikana wapi? Utagundua 97% wanapatikana ndani ya Ccm.Yaani kuwa na uelewa wa mambo mbambali ni mateso makubwa hasa kwenye nchi ya Tanzania nimegundua watu wenye uelewa mdogo wa mambo (ya kisiasa, kiuchumi, kijamii na kisayansi) wana raha kubwa sana na wanafurahia maisha vizuri, yaani kwao bora liende hawajui chochote kinachoendelea.
Kuna mambo mengi makubwa yanatokea tena yakuogopesha kwa mtu mwenye kufikiri vizuri, lakini wenzagu wenye uelewa mdogo wala hawapati machungu yoyote yale maisha kwao yanasonga mbele kama vile hakuna kinachotokea, kiufupi wenzagu raha wanayo.
Sasa naomba mnipatie mbinu ya kuondoa uelewa wa kutafakari na kuchambua mambo, ili niwe kama zezeta fulani na mi nifurahie maisha.
Nimeona njia pekee ya kufurahia maisha apa Bongo ni kuwa na uelewa mdogo wa mambo.
.Kwanza jiulize watu wa aina hiyo wanapatikana wapi? Utagundua 97% wanapatikana ndani ya Ccm.
Basi usipate shida, jiunge mara moja huko na utakidhi matakwa ya moyo wako na furaha utaipata ya kutosha.
Kiingereza ni lugha tu,hakuna uhusiano wa kujua kiingereza na kuwa na akili nyingieti tunabishana kuwa wakenya wana akili nyingi kuliko sisi kisa wanajua kuongea kingereza .
Mange kimambi yupo insta daily na anajadili umbeya na siasa at same time.1. Achana na JF
2. Acha kusikiliza na kuangalia taarifa za habari na kusoma magazeti
3. Acha kabisa kufuatilia current events zozote zile
4. Shinda Instagram na uwafuate wasanii wa bongo fleva na bongo movie
5. Tafuta team ya kujiunga nayo - kama team Wema, team Mondi, team Kiba, n.k.
6. Kuwa mmbea - fuatilia kwa ukaribu bifu za akina Mange, Linda, Recho, na KichwaP😀
7. Kuwa fan wa Le Mutuz
Mange kimambi yupo insta daily na anajadili umbeya na siasa at same time.
Wa Jana tuu, utafiti sio lazima ufanyiwe waweza kufanya mwenyewe..
utafiti wa mwaka gani?
Uelewa mkubwa wa mambo upoje na unapimwaje?Kwa hiyo?
Kwani wewe unamwona ana uelewa mkubwa wa mambo huyo?
Uelewa mkubwa wa mambo upoje na unapimwaje?
Hivi katika dunia hii kweli ikosekane dawa ya kupunguza IQ?
Nimekujibu kwa namna ya swali.Sasa wewe nimekuuliza swali, badala ya kunijibu nawe unaniuliza swali!
Au hukuelewa nilichokiandika?
Nimekujibu kwa namna ya swali.
Ni kwa sababu hakuna ulichouliza.Sijaona ulichojibu!