Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
heeee!! we bujibuji umejaaliwa neema za allah!!
 
dada una zigo kubwa nakusaidia kulibeba halafu unadai nakubaishia
 
Mmeanza kuongea lugha yenu.....naenda chumbani kulia mkimaliza mniite


Don't do that swty!

Umeona sasa dada Yangu mwallu ?????

Mbembeleze sasa wifi yako!
 
Last edited by a moderator:
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.

weka vudeo/picha hapa kama evidence
 
Na wifi naona unamchekea....anavurunda unamtetea....alipokua anatafta chimbo ambako wanahisi sitofika hukuona sezae? Na wewe unanitia mashaka



Sio Hivyo dada Yangu!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom