marejesho
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 6,634
- 3,660
ni fitna tu mkuu.
Kweli fitina .....
kutenda kosa sio kosa bali kurudia ndio balaa
ni fitna tu mkuu.
hahahahaha, babu relax. Mie kichuna wako siwezi kukufanyia utata wa Mentor
poza roho yako babu, wewe ndo njia kuu yangu, sina haja na michepuko so shaka ondoa
Ha ha ha kichunafk nitafute nikuambie siri!!!!
ntakutafuta, babu Asprin anaweza kuhusika au tunamficha katika huko kuambiana?
Tayari amekwisha anza!!!Ewaaa kikazi zaidi ila Mentor hakawii kukuharibia
Tayari amekwisha anza!!!
Bujibuji.....Usikutee ni dume kisha linawasanifu tu hapa jukwaani. Kama ---- lako linatingishika sana bado upo karibu kuolewa maana wanaume wanapenda sana watu kama wewe.
Pia kama unaweza kusafiri kwenda Dubai basi unaweza kuwa umeukata kwa Waarabu wale
Kweli fitina .....
kutenda kosa sio kosa bali kurudia ndio balaa
Shikamoo mawowowo mtikisiko.
hapa jf ukigombea demu na moderator kilaza mbulumundu ujiandae kwa fitna hizi, thread za maana za ufisadi wa mabilioni zinafutwa lakini thread mattako kuvibrate hapa ndio inajenga taifa.
Ndo maana nataka nimege kimod kimoja chenye bikra kama kipo. Vipashkuna sana hivi vimods, vya kike na vya kiume.