Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
waswaili wanasema...ukitingisha mguu ishara ya kutembea,ukitindishika mwili ishara ya ugeni...JE UKITINGISHIKA ------ ISHARA YA NINI MI MGENI
 
On a positive response: put on underpants that will hold the whole mzigo,inapunguza kutingishika,i am average size but got a lil popped out kibooty,most times my friends doubt kama nimevaa underpants sababu ya movement ya my kibooty inspite of putting underpants that hold it all. So try my advice and consult training experts on excerciss that will make it firm (squats may work for you) they put the booty in shape,smooth and makes it firm.Good luck Dada!!
Msinijie na manegativity yenu ya kuita watu wauzaji hapa,maana mmecramishwa kuita watu wauzaji.
Woooow....poped out kibooty!...hakina ushirikiano na under pants!...that's exactly wat i adore...with all due respect..kapicha just cha ''poped out'' kibooty sio sura kangefaa sana!
 
Asante Sana kwa ushauri, nitaenda soon. ILA nimesikitishwa na baadhi ya wachangiaji, engine wamediriki kuweka hadi picha za ngono. Very poor thinking capacity
Wats yo sex, if i may ask...i will be in a better position to advise!
 
''doctor awezi toa dawa bila vipimo''

Embu eka na picha tuone yakoje ili tukushauri....
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom