Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
usitembee kaa home tu wala hayatacheza cheza wala kutingishika mamitoooo
 
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.

Imebidi nikugongee like kwa ujasiri wako. Siku zote nilikuwa najuwa wewe ni me!
 
Furushi,Mkia,Kijungu,Hapa na Yombo,Nundu,duuh Punguza Kula Ulojo
 
swahiba sijambo kabisa.
uzee tayari siku hizi nimebaki na ku swim tuuuuuuu
sajili wengine

Sidhani kama ntapata wachezaji mahiri kama wewe. Maradona atabakia kuwa Maradona tu. Hata kina Messi wachezeje.
 
Hahahah mwenyekiti Kaizer lazima alisharushamo PM kwa maslahi yake binafsi bila kukihusisha chama. Imekula kwake mazima.

Lakin sikutoapo namba ya simu😱
 
Last edited by a moderator:

Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.


Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.

Sasa giLESi na Bujibuji ni kitu kimoja?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom