Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
Acha uumbaji wa Mungu uonekane ila wakware mmeambiwa kuwa hata kwa kuangalia kwa matamanio wazini naye.
 
kweli dunia haiishi mbwembwe heb mshukuru Mungu we mwanamke tena unahisi ni tatizo kwani ndivyo uonavyo nafsini mwako.kiukweli sio tatizo hata kidogo.neglect hao wajinga wapigao kelelw hawana la kufanya
 
ingekuwa vipi ungenipeleka na mimi nikatibiwe maana nshachoka kutembea nikihisi nyuma vyura wamewekwa kwenye kisalifeti

ingekuwa vipi tungewaongeza wengi ili nafasi ya kuruka wakose ili nikupe ya mzizi mpana
 
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.

tembea huku umebana miguu
 
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.

Mbona rahisi sana,usivae chochote kwa ndani..
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom