hahaha inaaibisha kiasi flani mtu unawekwa kweupeHahahaaa.....
Hawa mods bana......
aaaah wapi!Huenda alikua anawasilisha shida ya mtu mwingine ili apate ushauri .
Hahaha hata wewe mwee jamani Mimi ni kichuchuna jamani cha hajaaaaHebu nitanzulie huu utata,maana jina lako lina mvuto kama la Gilesi! unakuta unakesha pm na kidume mwenzio!!
by the way, nani ameanzisha hii thread.. is it Bujibuji, au giles. Jinsi ya Bujibuji ni ke au me, nisaidieni.Asante Sana kwa ushauri, nitaenda soon. ILA nimesikitishwa na baadhi ya wachangiaji, engine wamediriki kuweka hadi picha za ngono. Very poor thinking capacity
by the way, nani ameanzisha hii thread.. is it Bujibuji, au giles. Jinsi ya Bujibuji ni ke au me, nisaidieni.
Mwanzoni nilijua ni me ila kwa sasa natambua kuwa bujibuji na wengi humu ni ke! au watu wa jinsia mbili na ndivyoo alivyo bujibuji.by the way, nani ameanzisha hii thread.. is it Bujibuji, au giles. Jinsi ya Bujibuji ni ke au me, nisaidieni.
Weka videoNina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Usikutee ni dume kisha linawasanifu tu hapa jukwaani. Kama ---- lako linatingishika sana bado upo karibu kuolewa maana wanaume wanapenda sana watu kama wew