Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Eee bwana eheee, wewe ni anti fulani au? Mbona unanitamanisha mie mwanaume mwenzio, umeumbika kivipi huko nyuma, mashaaaalaaaaa! Eti ile zana yako inatikisika kama bamia/mlenda.....wewe nakutunuku aiseeee:A S 13: