Mimi mpaka kesho nakumbuka babu alivyokua anampiga bibi mpaka anamuacha mtupu. Ilifika kipindi babu akiingia ndani tu najua kelele za vipigo zinaanza. Siku zingine wanaanza kupigana saa nane za usiku naamka naanza piga kelele majirani waje wawagombelezee.Hivi nyie hamkuwa watoto? Baba yako anampiga mama yako anavimba uso ukiwa na miaka 5,6,7, 8... halafu usahau? Kama una akili ya kawaida ya binadamu, hauwezi kusahau. Unaweza kupotezea tu lakini siyo kusahau. Wapo pia wasioweza kupotezea. Wanakuwa maadui mpaka kifo.
Mtoto anasahaugu kitu? Wewe uliskia wapi hilo? Mie nakumbuka abuse aliofanya mzee dhidi ya maza kipindi chote cha utotoni hakuna kitu sikumbuki yani.Sasa na wewe unataka kuharibu kwa kusema uongo! Hao usione ni watoto ni binadamu nao na wana akili na hisia, kama waliona baba yao akikupiga na kutishia kukuua kwanini uwaambie baba yao ni mtu mzuri na anawapenda? Kwahiyo unawafundisha watoto kuwa mtu mzuri huwa anapiga watu na kutaka kuwaua.
Nadhani kwa kuwa umeshaondoka huko wewe usiongee kuwa baba yao ni mtu mzuri na anawapenda, kama hutaki kuongea ubaya wa baba yao basi kaaga kimya tu na uwaache wao waongee ili wayatoe mioyoni mwao. Usitetee ujinga wa baba yao utawavuruga zaidi!
Watasahau tu, hao ni watoto wanavyozidi kukua watayasahau yote hayo ila waache waongee na usitetee unyama wa baba yao
Ishu ni kuvurugwa kiwizad tu! Kuna kamati iliundwa ili kumfarakanisha mzee wako na maza wenu! Hizo zipo sana mkuu sema uzuri ombwe hilo lilipita salama bila kuacha madhara zaidi ni mtikisiko tu.Mm mwenyew nilishi maisha Kama ya hao wanao HV mzee wangu r.i.p alikuwa mtata San yaani nilimuona Mara kibao mzee wangu akimpiga maza na matuzi juu kwa juu .nilishaingilia kati lkn wapi tuliishiwa kupigwa wote mm na dad angu na mdg wetu tunabaki tunalia tu na mam pia mzee alipiga aise siyo utani kiliniumiza sna Kuna wakt nilianza kuvuta bangi ili niweze kupamabana na ukatili wa mzee wangu lkn wapi nilipigwa Zaid na ukatili ulizid wa mzee
Nilisha muona mam angu akikunnja nguo tayari kwenda kwao duh tulilia sna tukaenda kumuomba mzew mtu mzima aje amzuie mam asiondoke Hapo mzee Alisha sema aondoke ataki kumuona hapa
Mzee wetu alikuja kupunguza ukorofi around 2006 HV tayari kak zangu wako vyio vikuu na sis Yuko secondary
Automatically mzee alikuja San kurejesha upendo kwetu na kutuambia kuwa tuungane na tupendane San na kumjali mam yetu
Sijui pepo la ukorofi alilipata wapi mnk mama anasema hi tabia hajawia kuona
Mama alisema alichelewa San kupata watot alikaa miaka 6 Bila kuwa na watot na mzee alimvumilia sna bila kumnyanyaza Wala kutak kuoa Tena pmj na kushinikizwa na bb kuwa aoe mke mwingine sas anashanga mbna kabadili katikat hapo tulishangilia sna na kushangazwa kwa ukorofi wa mzee wetu wa gafla
Mpk mzee wetu anakuja kufariki aise alikuwa na upendo mkubwa sna kwetu ss na kutuasa kupendana na kumjali mama na ss pia tulimpenda Sana Bab yetu mno kwa jins alivyokuwa anatumbambania
Pole sana kwako huwenda Bab yule atabadilika sikutegemea mzee wangu kuja kubadilika na kurudisha upendo kwetu ss na kutupa kila kitu na elimu pia
Salaam wakuu
Miaka michache iliyopita nilipitia mambo mengi kwenye ndoa ambayo nikiri kuwa hayakuwa mazuri kwa ukuaji wa watoto wetu kisaikolojia.
Watoto walishuhudia nikipigwa mara nyingi sana, nikitukanwa au kusemwa vibaya. Na hata kuna wakati ugomvi ukitokea chumbani walikuwa wanakuja kusikiliza mlangoni kwetu na kujua ndani kuna ugomvi au kusikia kilio na milio ya makofi na mangumi. Na pia walikuwa wanaona nikiwa nimevimba uso macho au michubuko iliyotokana na vipigo. Na mara kadhaa kama mlango haukufungwa walikuwa wakiingia chumbani kunitetea ili nisiumizwe zaidi.
Hawana umri mkubwa wote watatu bado wako shule za msingi. Mara nyingi walikuwa wakiona baba yao akifika tu na upepo wa ndani unabadilika kama sio wao kupigwa basi ni mama maana alikuwa mkali sana kwa watoto na kwangu.
Nilianza kuhisi tatizo kwao kipindi ambacho bado tupo pamoja hatujaachana. Siku moja mwanangu aliniuliza swali, MAMA KWANINI TUSIENDE KWA BIBI ILI BABA ASIKUUE? ( Kauli kubwa wakati akinipiga alikuwa anasema IPO SIKU NITAKUUA) na watoto walikuwa wanasikia hivyo kuoata hofu ya mimi kuuawa siku moja. Nikaamua kuongea na baba yao kuhusu swala hilo kuwa watoto wanahofu aache kunipiga ila akajibu nimewajaza sumu kuwa baba yao mbaya nk ioa sijawahi fanya hivyo na ukatokea ugomvi akanipiga na kunifukiza kabisa ili nisimwqribie watoto wake.
Japo baadaye niliwapata watoto na kuanza kuishi nao maana tangu hapo tuliachana moja kwa moja na sasa naishi maisha mengine. Ila tatizo limebaki owa watoto kioa mara wanaomhelea jinsi nilivyopigwa na yote.
Mnaweza kuwa mmekaa unaona mtu anasema mama bora tulivyokuja huku hata hupigwi tena, au wala sisi hatupigwi tena nk najaribu kuwaambia baba yenu anawapemda, ni mtu mzuri nk ila hawaeleqi na wananibishia na kumfananisha na monster wa kwenye movie. Binafsi siongelei chochote kibaya kwao ioa wao hawasahau katu. Na hata akipiga simu kutaka kuwasalimia hawakubali hadi nakata siki, nikimwambia hawataki ananilaumu kuwa wqnajaza sumu kitu ambacho sifanyi.
Naandika haya nikiwa nimeshajitahidi kufanya mambo kadhaa ikiwa ni pamoja kuwaamisha kwamba baba yao ni mtu mwema, na anawapenda ila hawakubali.
Binafsi nilishaolewa, sasa wanampenda baba yao mpya na wanasemq ndio baba yao na si yule mwingine( huwa wanamwambia wao wakiwa wanapiga naye stori, wanamwambia shule waitwe fulani bin jina la baba mpya) hataki kusikia kuhusu baba yao kabisa.
Je, hii inaweza saidika kifuta hizi kumbukumbh au niwaache tu walivyo?
Hivi hayo mavi ya mnyama gani kwanza usikute dawa tunayo sema hatujui😆😆😆😆kula mavi hutojuta utakuja kunishukuru
ukitoka hapo hizo kumbukumbu zitafutika utabaki unayawaza mavi😄😄
Me akili yangu imekomea kuwa una watoto watatu na jamaa mwingine kakuoa. Mtunze sana huyo jamaa na utulie kabisa.Salaam wakuu
Miaka michache iliyopita nilipitia mambo mengi kwenye ndoa ambayo nikiri kuwa hayakuwa mazuri kwa ukuaji wa watoto wetu kisaikolojia.
Watoto walishuhudia nikipigwa mara nyingi sana, nikitukanwa au kusemwa vibaya. Na hata kuna wakati ugomvi ukitokea chumbani walikuwa wanakuja kusikiliza mlangoni kwetu na kujua ndani kuna ugomvi au kusikia kilio na milio ya makofi na mangumi. Na pia walikuwa wanaona nikiwa nimevimba uso macho au michubuko iliyotokana na vipigo. Na mara kadhaa kama mlango haukufungwa walikuwa wakiingia chumbani kunitetea ili nisiumizwe zaidi.
Hawana umri mkubwa wote watatu bado wako shule za msingi. Mara nyingi walikuwa wakiona baba yao akifika tu na upepo wa ndani unabadilika kama sio wao kupigwa basi ni mama maana alikuwa mkali sana kwa watoto na kwangu.
Nilianza kuhisi tatizo kwao kipindi ambacho bado tupo pamoja hatujaachana. Siku moja mwanangu aliniuliza swali, MAMA KWANINI TUSIENDE KWA BIBI ILI BABA ASIKUUE? ( Kauli kubwa wakati akinipiga alikuwa anasema IPO SIKU NITAKUUA) na watoto walikuwa wanasikia hivyo kuoata hofu ya mimi kuuawa siku moja. Nikaamua kuongea na baba yao kuhusu swala hilo kuwa watoto wanahofu aache kunipiga ila akajibu nimewajaza sumu kuwa baba yao mbaya nk ioa sijawahi fanya hivyo na ukatokea ugomvi akanipiga na kunifukiza kabisa ili nisimwqribie watoto wake.
Japo baadaye niliwapata watoto na kuanza kuishi nao maana tangu hapo tuliachana moja kwa moja na sasa naishi maisha mengine. Ila tatizo limebaki owa watoto kioa mara wanaomhelea jinsi nilivyopigwa na yote.
Mnaweza kuwa mmekaa unaona mtu anasema mama bora tulivyokuja huku hata hupigwi tena, au wala sisi hatupigwi tena nk najaribu kuwaambia baba yenu anawapemda, ni mtu mzuri nk ila hawaeleqi na wananibishia na kumfananisha na monster wa kwenye movie. Binafsi siongelei chochote kibaya kwao ioa wao hawasahau katu. Na hata akipiga simu kutaka kuwasalimia hawakubali hadi nakata siki, nikimwambia hawataki ananilaumu kuwa wqnajaza sumu kitu ambacho sifanyi.
Naandika haya nikiwa nimeshajitahidi kufanya mambo kadhaa ikiwa ni pamoja kuwaamisha kwamba baba yao ni mtu mwema, na anawapenda ila hawakubali.
Binafsi nilishaolewa, sasa wanampenda baba yao mpya na wanasemq ndio baba yao na si yule mwingine( huwa wanamwambia wao wakiwa wanapiga naye stori, wanamwambia shule waitwe fulani bin jina la baba mpya) hataki kusikia kuhusu baba yao kabisa.
Je, hii inaweza saidika kifuta hizi kumbukumbh au niwaache tu walivyo?
😃😂😂😂😂😂😂 ya binadamu tuHivi hayo mavi ya mnyama gani kwanza usikute dawa tunayo sema hatujui😆😆😆😆
Wewe ni mkorofi sana. Haiwezekani mme akupige pasipo sababu na kuishi na watoto wako lazima utawaambukiza tabia yako ya hovyo.Salaam wakuu
Miaka michache iliyopita nilipitia mambo mengi kwenye ndoa ambayo nikiri kuwa hayakuwa mazuri kwa ukuaji wa watoto wetu kisaikolojia.
Watoto walishuhudia nikipigwa mara nyingi sana, nikitukanwa au kusemwa vibaya. Na hata kuna wakati ugomvi ukitokea chumbani walikuwa wanakuja kusikiliza mlangoni kwetu na kujua ndani kuna ugomvi au kusikia kilio na milio ya makofi na mangumi. Na pia walikuwa wanaona nikiwa nimevimba uso macho au michubuko iliyotokana na vipigo. Na mara kadhaa kama mlango haukufungwa walikuwa wakiingia chumbani kunitetea ili nisiumizwe zaidi.
Hawana umri mkubwa wote watatu bado wako shule za msingi. Mara nyingi walikuwa wakiona baba yao akifika tu na upepo wa ndani unabadilika kama sio wao kupigwa basi ni mama maana alikuwa mkali sana kwa watoto na kwangu.
Nilianza kuhisi tatizo kwao kipindi ambacho bado tupo pamoja hatujaachana. Siku moja mwanangu aliniuliza swali, MAMA KWANINI TUSIENDE KWA BIBI ILI BABA ASIKUUE? ( Kauli kubwa wakati akinipiga alikuwa anasema IPO SIKU NITAKUUA) na watoto walikuwa wanasikia hivyo kuoata hofu ya mimi kuuawa siku moja. Nikaamua kuongea na baba yao kuhusu swala hilo kuwa watoto wanahofu aache kunipiga ila akajibu nimewajaza sumu kuwa baba yao mbaya nk ioa sijawahi fanya hivyo na ukatokea ugomvi akanipiga na kunifukiza kabisa ili nisimwqribie watoto wake.
Japo baadaye niliwapata watoto na kuanza kuishi nao maana tangu hapo tuliachana moja kwa moja na sasa naishi maisha mengine. Ila tatizo limebaki owa watoto kioa mara wanaomhelea jinsi nilivyopigwa na yote.
Mnaweza kuwa mmekaa unaona mtu anasema mama bora tulivyokuja huku hata hupigwi tena, au wala sisi hatupigwi tena nk najaribu kuwaambia baba yenu anawapemda, ni mtu mzuri nk ila hawaeleqi na wananibishia na kumfananisha na monster wa kwenye movie. Binafsi siongelei chochote kibaya kwao ioa wao hawasahau katu. Na hata akipiga simu kutaka kuwasalimia hawakubali hadi nakata siki, nikimwambia hawataki ananilaumu kuwa wqnajaza sumu kitu ambacho sifanyi.
Naandika haya nikiwa nimeshajitahidi kufanya mambo kadhaa ikiwa ni pamoja kuwaamisha kwamba baba yao ni mtu mwema, na anawapenda ila hawakubali.
Binafsi nilishaolewa, sasa wanampenda baba yao mpya na wanasemq ndio baba yao na si yule mwingine( huwa wanamwambia wao wakiwa wanapiga naye stori, wanamwambia shule waitwe fulani bin jina la baba mpya) hataki kusikia kuhusu baba yao kabisa.
Je, hii inaweza saidika kifuta hizi kumbukumbh au niwaache tu walivyo?
Hakuna kitu chochote kinacho halalisha kumpiga mtu mzima unless ni (self defence) acha kutetea upumbafu.Hivi kuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kumpiga mkewe bila sababu yeyote!?, yaani unafika tu nyumbani unaanza kumpiga mke wako?!,labda mwanaume huyo awe na matatizo ya akili lkn kinyume na hapo Hapana,wanawake huwa wanajifanya innocent sana lakini ndio chanzo cha matatizo yote