Nifanye nini karo la choo lisijae haraka?

Kwanini karo la choo linajaa haraka nifanyenini kisiwe kinajaa haraka?

Kama ambavo mada inajieleza hapo juu,

Naomba ushauri wako wa hali na mali, shimo au karo la choo changu kilijaa miaka 5 ya kukitumia nikaita wale wanao nyonya na magari wakakafanya hiyo kazi na kikawa kitupu kama mwanzo.

Cha ajabu baada ya kukitumia kwa mwaka 1 na nusu tu kimejaa tena wakati idadi ya familia yaani watu hawajaongezeka nilitegemea itachukua tena angalau miaka mingine hata 4 au 3 kuja kujaa, sasa nimetumia mwaka 1½ tu kimejaa, tatizo ni nini na nini nifanye ili angalau kisiwe kinajaa haraka hivo?

Ukinisaidia ushauri na mbinu za kufanya utakuwa umewasidia na wengine ambao wanapitia mada hii ahsanteni sana na samahani kwa usumbufu.

Karibuni sana.
Kuna mtu kwa kiasi fulani kajaribu kujibu tatizo lako.
Inaelekea hapo ulipojenga kuna high water table.
Maji yanayo jaa hayatokani mia kwa mia na choo cha nyumba yako, bali na maji ya ardhini.
Kimsingi hilo ni tatizo kubwa.
Njia rahisi ni kujenga septic na soak pit.
Ambapo soakpit iwe na mabomba yenye matobo(french drains) za kupeleka maji yaliyo ozeshwa na kusafishwa na septic tank hadi mitaroni.
 
Kuna mtu kwa kiasi fulani kajaribu kujibu tatizo lako.
Inaelekea hapo ulipojenga kuna high water table.
Maji yanayo jaa hayatokani mia kwa mia na choo cha nyumba yako, bali na maji ya ardhini.
Kimsingi hilo ni tatizo kubwa.
Njia rahisi ni kujenga septic na soak pit.
Ambapo soakpit iwe na mabomba yenye matobo(french drains) za kupeleka maji yaliyo ozeshwa na kusafishwa na septic tank hadi mitaroni.
Aksante sana kwa ushaur wenu
 
Kuna uzi fulani nilishawahi kuuona humu ,lakini nilijaribu kuutafuta sikuupata tena,kuna jamaa alikuwa anajitangaza anatengeneza Bio septic,yaani anadai hiyo Bioseptic huchimbi shimo kubwa lamaji taka,bali anaweka kitu kwenye kashimo kadogo tu ,na choo chako hakitojaa milele.
Huyo hata mimi nmemuona ila tatizo gharama zake kumbwa eti mil3 mkuu kwa usawa huu wa vyuma
 
Kuna uzi fulani nilishawahi kuuona humu ,lakini nilijaribu kuutafuta sikuupata tena,kuna jamaa alikuwa anajitangaza anatengeneza Bio septic,yaani anadai hiyo Bioseptic huchimbi shimo kubwa lamaji taka,bali anaweka kitu kwenye kashimo kadogo tu ,na choo chako hakitojaa milele.
Huyu hapa tatizo ana bei sana
ae65236e0e8f0de54861f139c6d97be9.jpg
a653ee79f10dc29c0d420fbb882e401b.jpg
 
ukishachimba lile zege utakalo mwaga liwe juu ya usawa wa ardhi kwa atleast 30cm, ila wengine kutokana na ufinyu wa ardhi, anataka pale juu ya zege la soak away pit aweze kupata nafasi labda ya parking, kwa hiyo anataka finishing level ya mfuniko wa soak away pit unakuwa usawa wa ardhi!

kinachotokea mvua ikinyesha kidogo, maji yakiongezeka ardhini (water table) ina overflow inakulazimu kuita nyonya mavi lije kunyonya maji ! wakati kazi ya soak away pit ni kuwezesha maji yako yanyonywe kwenda ardhini, ila kwa kuwa shimo lako linakuwa liko usawa wa ardhi linakuwwa linashindwa kupumua ! lakini ukiacha hiyo atleast 30cm haliwezi ku overflow,
Ok mkuu asante japo vingerza vingi sisi wengine tuna aleji na kiingerza
 
Kwanini karo la choo linajaa haraka nifanyenini kisiwe kinajaa haraka?

Kama ambavo mada inajieleza hapo juu,

Naomba ushauri wako wa hali na mali, shimo au karo la choo changu kilijaa miaka 5 ya kukitumia nikaita wale wanao nyonya na magari wakakafanya hiyo kazi na kikawa kitupu kama mwanzo.

Cha ajabu baada ya kukitumia kwa mwaka 1 na nusu tu kimejaa tena wakati idadi ya familia yaani watu hawajaongezeka nilitegemea itachukua tena angalau miaka mingine hata 4 au 3 kuja kujaa, sasa nimetumia mwaka 1½ tu kimejaa, tatizo ni nini na nini nifanye ili angalau kisiwe kinajaa haraka hivo?

Ukinisaidia ushauri na mbinu za kufanya utakuwa umewasidia na wengine ambao wanapitia mada hii ahsanteni sana na samahani kwa usumbufu.

Karibuni sana.
jisaidie maporini
 
Angalia pia mfumo wa maji safi. Inawezekana kuna bomba linavuja na kutiririkia kwenye mfumo maji taka na kulijaza tanki haraka.

Vilevile kama kuna jirani kajenga la kwake karibu na lako pia husababisha kitu inaitwa parcolation ambapo maji yake huhamia kwenye tanki lako.

Othwrwise nyonyanyonya wako kakuibia.
 
Huyu hapa tatizo ana bei sana
ae65236e0e8f0de54861f139c6d97be9.jpg
a653ee79f10dc29c0d420fbb882e401b.jpg
Hii ya Bioseptic tank ni nzuri tatizo ni hilo la gharama.
Kwanini vyoo vyetu vikuu visifanye utafititi wa hii teknologia ila kupata kupunguza gharama kama walivyo fanya kwenye matofali?
 
Zinaitwaje mkuu wangu nipe jina lake nizitafute angalau mzigo ushuke kidogo vyuma ni tatizo Mkuu
Mkuu sijawahi kuulizia. Ngoja ntacheki na meneja wa PK bar pale Tegeta. Ye ndo anazitumia kwa sana. Alikuwa ananyonya mzigo kila baada ya miezi mitatu, tangu aanze kuzitumia huu ni mwaka wa pili sasa hajafanya hayo mambo tena...
 
Iv kama eneo la shimo ni mkondo Wa maji haisababishi pia choo kujaa haraka?? Nauliza tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom