Nifanye nini karo la choo lisijae haraka?

Nifanye nini karo la choo lisijae haraka?

Nina sikia sikia.
Kuwa chumvi na chokaa zinayeyusha Kinyesi na kuwa maji maji na kama udongo ni mzuri basi hayo maji maji hupita chini kwa chini na kupotea
 
Wengine wanasema eti nimwage chumvi kama kilo 50 hivo kwenye hilo shimo lililojaa itasiadia
Hilo shimo lako linashida ya drainage flow..... Taka zinatangulia na kublock maji, so yanarudi juu.

Na swala jingine ni aina ya udongo.... Udongo mzuri ni ule wa mchanga na sio wa mfinyanzi......
 
Nadhani inategemea na maeneo uliyopo yana udongo wa aina gani. Kama mimi huku kwetu nina miaka 20 sasa shimo halijajaa... na niko na njemba zinakunya balaa.

Lakini nikiwa Sinza... njemba zikiwa bado miduchu...hatukuwa tunamaliza mwaka bila kuita nyonyanyonya...

Kuna dawa za kichina nimeona jamaa wengi wenye mabaa wanazitumia. Shimo likijaa wanamimina kwenye shimo baada ya muda mzigo unashuka chini...
Kwa bi mkubwa shimo limenza kutumika 1988. Hadi leo hii hapa naandika halijaleta shida wala hakuna mtu kaenda kunyonya tokea wakati huo yaani tokea mwaka 1988 halijawahi hata kufunguliwa mifuniko yake.
 
Zipo dawa za kichina uliza tu madukani huwa nazitumia ni nzuri sana zinatelemsha chini kabisa zinabadilisha maji yanakuwa mvuke
Mchina anasemwa vibaya tu ila anajituma sana kubuni vitu tunavyohitaji MUNGU awabariki wachina popote walipo. Sio marekani kakalia usenge tu wa kutawala wenzake na hana msaada wowote kazi kuwatesa wenzake...
 
Sehemu zenye high water table jitahidi soak away pit yako itokeze angalau 30cm above ground level! Wengi siku hizi wanataka mashimo yawe usawa wa ardhi hapo lazima kijae kila siku!
But mkuu haishauriwi kujenga choo eneo lililo kimo cha karibia na water table.....
 
Kuna mtu kwa kiasi fulani kajaribu kujibu tatizo lako.
Inaelekea hapo ulipojenga kuna high water table.
Maji yanayo jaa hayatokani mia kwa mia na choo cha nyumba yako, bali na maji ya ardhini.
Kimsingi hilo ni tatizo kubwa.
Njia rahisi ni kujenga septic na soak pit.
Ambapo soakpit iwe na mabomba yenye matobo(french drains) za kupeleka maji yaliyo ozeshwa na kusafishwa na septic tank hadi mitaroni.
Ni flanch boss sio French!
 
Ni flanch boss sio French!
Mkuu inabidi nikupe shule kidogo, maana hata dictionary hakuna kitu “flanch”

French drains.......

A French drain is a trench filled with a perforated pipe and gravel that allows water to drain naturally from your yard. Depending on the size of your yard and the scale of your drainage issue, you can purchase the pipes and equipment to create a French drain yourself.
 
Nina sikia sikia.
Kuwa chumvi na chokaa zinayeyusha Kinyesi na kuwa maji maji na kama udongo ni mzuri basi hayo maji maji hupita chini kwa chini na kupotea
Halafu baadae yanakuja ardhini kama chemchemi then tunayatumia kama kawa
 
Mchina anasemwa vibaya tu ila anajituma sana kubuni vitu tunavyohitaji MUNGU awabariki wachina popote walipo. Sio marekani kakalia usenge tu wa kutawala wenzake na hana msaada wowote kazi kuwatesa wenzake...
Wewe samson utakuwa ulikataliwa na mmarekani maana chuki zako kwa wamarekani huwa hazina mashiko
 
Weka chumvi ya mawe hata kilo kumi au magadi ndani ya shimo la choo ndani ya mwezi utaona maji yamenywea kabisa,mimi nimeshatumia ninauhakika.
 
Kwanini karo la choo linajaa haraka nifanyenini kisiwe kinajaa haraka?

Kama ambavo mada inajieleza hapo juu,

Naomba ushauri wako wa hali na mali, shimo au karo la choo changu kilijaa miaka 5 ya kukitumia nikaita wale wanao nyonya na magari wakakafanya hiyo kazi na kikawa kitupu kama mwanzo.

Cha ajabu baada ya kukitumia kwa mwaka 1 na nusu tu kimejaa tena wakati idadi ya familia yaani watu hawajaongezeka nilitegemea itachukua tena angalau miaka mingine hata 4 au 3 kuja kujaa, sasa nimetumia mwaka 1½ tu kimejaa, tatizo ni nini na nini nifanye ili angalau kisiwe kinajaa haraka hivo?

Ukinisaidia ushauri na mbinu za kufanya utakuwa umewasidia na wengine ambao wanapitia mada hii ahsanteni sana na samahani kwa usumbufu.

Karibuni sana.
Watu wanakulisha matango pori hapa mkuu. Hakuna decmposition sijui mnaogea sabuni wala kula sana hapa.

Tatizo lako ni kwamba, cesspit au septic tank lako liko sehemu ambayo ina low water table. Ka maana nyingine chimo lako la choo limekuwa kama kisima cha maji. KInacholijaza sio sewage yenu bali ni maji yanayoingia toka nje (underground water flow). Hili ni tatizo linalowakabili watu wote wanaoishi sehemu zenye majimaji kama Sinza. Sintashangaa kusikia tatizo lako ni kubwa hata zaidi wakati wa mvua.

Tatizo ulikosea wakati wa kulijenga. Katika sehemu za maji, unapojenga cesspit lazima ulisilibe sana kwa cement ili lisiingize maji kutoka nje kwa kupitia chini au kuta za pembeni. Lazima liwe water tight kama vile unavyotengeneza swimming pool.

Sasa solution ni kujenga jipya kwa jia niliyokueleza hapo juu, maana sio rahizi kuli-seal cesspit lililokwisha tumika.

Unapojenga la pili unaweza kulifanya lililopo liwe lina-overflow kwenda la pili. KUmbuka kwamba wakati wa kiangazi kikali unaweza ukawa na vesspit ambalo linakausha maji kwa kuwa udongo unaolizunguka unakuwa mkavu na hivyo maji yanaflow kutoka kwenye ceepit lako kwenda nje. Wkati maji nje ya ceepit yamezidi basi yatasababisha kulijaza cesspit. KUna kitu kama diffusion hivi kinafanyika.

THeory ya kuweka chumvi ni katika suala zima la diffusion, kwamba unaongeza concentratio ya chumvi ndani ya tank inayasababisha maji ya-flow kuelekea sehemu ambayo ina concentration ndogo ya chumvi. Watoto watakuambia kuhusu flow of fluid from high to low concentration through a semipermeable membrane. Ndicho kjnachofanyika ukiweka chumi nyingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom