Nifanye nini karo la choo lisijae haraka?

Maji ya sabuni mnayooga yanauwa wale wadudu funza wanashindwa kuvuruga kinyesi kiwe majimaji kipenye kwenda ardhini badili njia ya maji ya bafuni yasiingie humo
Ewaaaa,mimi pia wakati najenga nilikurupuka nikachimba shimo moja. Mtaalamu mmoja akanipa hiyo idea ya kutenganisha,nikachimba shimo futi 8 kwa ajili ya mabafu. Lile shimo likatupiwa mawe futi 4 na
 
Tafuta kanafasi kidogo chimba shimo lingine
Tapisha mzigo uliopo kisha hapo ulipotapishia fukia na mawe flank hivi huwa tunayaita ubuyu au matumbawe ya baharini
Utakuwa umetibu tatizo Kwa asilimia kubwa
Kumbuka ulipotoboa tundu Kwa ajili ya kutapisha usipazibe
 
Nadhani inategemea na maeneo uliyopo yana udongo wa aina gani. Kama mimi huku kwetu nina miaka 20 sasa shimo halijajaa... na niko na njemba zinakunya balaa.

Lakini nikiwa Sinza... njemba zikiwa bado miduchu...hatukuwa tunamaliza mwaka bila kuita nyonyanyonya...

Kuna dawa za kichina nimeona jamaa wengi wenye mabaa wanazitumia. Shimo likijaa wanamimina kwenye shimo baada ya muda mzigo unashuka chini...
Zinaitwaje mkuu wangu nipe jina lake nizitafute angalau mzigo ushuke kidogo vyuma ni tatizo Mkuu
 
Nadhani inategemea na maeneo uliyopo yana udongo wa aina gani. Kama mimi huku kwetu nina miaka 20 sasa shimo halijajaa... na niko na njemba zinakunya balaa.

Lakini nikiwa Sinza... njemba zikiwa bado miduchu...hatukuwa tunamaliza mwaka bila kuita nyonyanyonya...

Kuna dawa za kichina nimeona jamaa wengi wenye mabaa wanazitumia. Shimo likijaa wanamimina kwenye shimo baada ya muda mzigo unashuka chini...
Mkuu zinaitwaje hizo dawa za kichina?
 
Sehemu zenye high water table jitahidi soak away pit yako itokeze angalau 30cm above ground level! Wengi siku hizi wanataka mashimo yawe usawa wa ardhi hapo lazima kijae kila siku!
 
Nadhani inategemea na maeneo uliyopo yana udongo wa aina gani. Kama mimi huku kwetu nina miaka 20 sasa shimo halijajaa... na niko na njemba zinakunya balaa.

Lakini nikiwa Sinza... njemba zikiwa bado miduchu...hatukuwa tunamaliza mwaka bila kuita nyonyanyonya...

Kuna dawa za kichina nimeona jamaa wengi wenye mabaa wanazitumia. Shimo likijaa wanamimina kwenye shimo baada ya muda mzigo unashuka chini...
Hahahaha we jamaa Banaaa
Acha tuu ndo maana Mademu wwngi wakali wa JF wanakuzimia kwa Maushauri kama haya
 
Pole Kwa hiyo changamomtomkuu
Hujafafanua vyema
Una mashimo yote mawili? Yaani septic soakwaypit? Jibu hapo then tuendelee
Nina shimo 1 mkuu wangu na eneo ni dogo sina nafas ya kuchimba lingine pia vyuma ni kikwazo mkuu nishaur nfanyeje. Maana hata nikinyonya halita kaa mda mrefu ni mwaka 1 tu tayar maana mara ya 1 lilikaa miaka 5 now imekuwa mwaka 1 na nusu tu wengine wanasema eti kuna madawa ya kichina ukimiminia kwenye karo mzigo unaporomoka sasa sjui hizo dawa zinaitwaje nizitafute pia wengine wanasema niweke chumvi kama kg 50 au 100
 
Sehemu zenye high water table jitahidi soak away pit yako itokeze angalau 30cm above ground level! Wengi siku hizi wanataka mashimo yawe usawa wa ardhi hapo lazima kijae kila siku!
Unamaanisha nn kusema wengine wanataka mashimo yawe usawa wa ardhi kwani kuna mashimo yanakuwa hewani..fafanua plz
 
Unamaanisha nn kusema wengine wanataka mashimo yawe usawa wa ardhi kwani kuna mashimo yanakuwa hewani..fafanua plz

Kuna uzi fulani nilishawahi kuuona humu ,lakini nilijaribu kuutafuta sikuupata tena,kuna jamaa alikuwa anajitangaza anatengeneza Bio septic,yaani anadai hiyo Bioseptic huchimbi shimo kubwa lamaji taka,bali anaweka kitu kwenye kashimo kadogo tu ,na choo chako hakitojaa milele.
 
Unamaanisha nn kusema wengine wanataka mashimo yawe usawa wa ardhi kwani kuna mashimo yanakuwa hewani..fafanua plz

ukishachimba lile zege utakalo mwaga liwe juu ya usawa wa ardhi kwa atleast 30cm, ila wengine kutokana na ufinyu wa ardhi, anataka pale juu ya zege la soak away pit aweze kupata nafasi labda ya parking, kwa hiyo anataka finishing level ya mfuniko wa soak away pit unakuwa usawa wa ardhi!

kinachotokea mvua ikinyesha kidogo, maji yakiongezeka ardhini (water table) ina overflow inakulazimu kuita nyonya mavi lije kunyonya maji ! wakati kazi ya soak away pit ni kuwezesha maji yako yanyonywe kwenda ardhini, ila kwa kuwa shimo lako linakuwa liko usawa wa ardhi linakuwwa linashindwa kupumua ! lakini ukiacha hiyo atleast 30cm haliwezi ku overflow,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom