Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,046
- 2,131
Kwanini karo la choo linajaa haraka nifanyenini kisiwe kinajaa haraka?
Kama ambavo mada inajieleza hapo juu,
Naomba ushauri wako wa hali na mali, shimo au karo la choo changu kilijaa miaka 5 ya kukitumia nikaita wale wanao nyonya na magari wakakafanya hiyo kazi na kikawa kitupu kama mwanzo.
Cha ajabu baada ya kukitumia kwa mwaka 1 na nusu tu kimejaa tena wakati idadi ya familia yaani watu hawajaongezeka nilitegemea itachukua tena angalau miaka mingine hata 4 au 3 kuja kujaa, sasa nimetumia mwaka 1½ tu kimejaa, tatizo ni nini na nini nifanye ili angalau kisiwe kinajaa haraka hivo?
Ukinisaidia ushauri na mbinu za kufanya utakuwa umewasidia na wengine ambao wanapitia mada hii ahsanteni sana na samahani kwa usumbufu.
Karibuni sana.
Kama ambavo mada inajieleza hapo juu,
Naomba ushauri wako wa hali na mali, shimo au karo la choo changu kilijaa miaka 5 ya kukitumia nikaita wale wanao nyonya na magari wakakafanya hiyo kazi na kikawa kitupu kama mwanzo.
Cha ajabu baada ya kukitumia kwa mwaka 1 na nusu tu kimejaa tena wakati idadi ya familia yaani watu hawajaongezeka nilitegemea itachukua tena angalau miaka mingine hata 4 au 3 kuja kujaa, sasa nimetumia mwaka 1½ tu kimejaa, tatizo ni nini na nini nifanye ili angalau kisiwe kinajaa haraka hivo?
Ukinisaidia ushauri na mbinu za kufanya utakuwa umewasidia na wengine ambao wanapitia mada hii ahsanteni sana na samahani kwa usumbufu.
Karibuni sana.