Sasa kama mimi nimejenga sehemu ya udongo wa mfinyanzi na shimo ni moja nafasi ni ndogo, pia majirani hawajajenga mashimo mazuri nahisi pia maji yao yatembea yanakuja kwangu , ushauri pls nimejenga shimo la kawaida linajaa mwezi nikaamua kuweka biodigester nalo maji yanatoka nje ya fensi hadi nimeitiwa manispaa ushauri plsWatu wanakulisha matango pori hapa mkuu. Hakuna decmposition sijui mnaogea sabuni wala kula sana hapa.
Tatizo lako ni kwamba, cesspit au septic tank lako liko sehemu ambayo ina low water table. Ka maana nyingine chimo lako la choo limekuwa kama kisima cha maji. KInacholijaza sio sewage yenu bali ni maji yanayoingia toka nje (underground water flow). Hili ni tatizo linalowakabili watu wote wanaoishi sehemu zenye majimaji kama Sinza. Sintashangaa kusikia tatizo lako ni kubwa hata zaidi wakati wa mvua.
Tatizo ulikosea wakati wa kulijenga. Katika sehemu za maji, unapojenga cesspit lazima ulisilibe sana kwa cement ili lisiingize maji kutoka nje kwa kupitia chini au kuta za pembeni. Lazima liwe water tight kama vile unavyotengeneza swimming pool.
Sasa solution ni kujenga jipya kwa jia niliyokueleza hapo juu, maana sio rahizi kuli-seal cesspit lililokwisha tumika.
Unapojenga la pili unaweza kulifanya lililopo liwe lina-overflow kwenda la pili. KUmbuka kwamba wakati wa kiangazi kikali unaweza ukawa na vesspit ambalo linakausha maji kwa kuwa udongo unaolizunguka unakuwa mkavu na hivyo maji yanaflow kutoka kwenye ceepit lako kwenda nje. Wkati maji nje ya ceepit yamezidi basi yatasababisha kulijaza cesspit. KUna kitu kama diffusion hivi kinafanyika.
THeory ya kuweka chumvi ni katika suala zima la diffusion, kwamba unaongeza concentratio ya chumvi ndani ya tank inayasababisha maji ya-flow kuelekea sehemu ambayo ina concentration ndogo ya chumvi. Watoto watakuambia kuhusu flow of fluid from high to low concentration through a semipermeable membrane. Ndicho kjnachofanyika ukiweka chumi nyingi.