Asante sana Mungu akubarikiChukua milioni 10 fungua fixed akaunti NMB.
Milioni 10 iliyobakia nenda Silverland Tanzania/Silverland Dar nunua vifaranga aina y SASSO 1000 kila mmoja ni 1400, wafuge ndani ya miezi minne watakuwa wamekuwa wakubwa kweli kweli utauza kwa 15,000 au 20,000 kwa mmoja.
NB: SASSO ni kuku chotara wanaovumilia magonjwa na hali ngumu zote.
Gharama ya kuwahudumia SASSO 1000 pamoja na banda, madawa n.k havitazidi hata milioni 5.
Pia jifunze formula ya kutengeneza chakula cha kuku wewe mwenyewe ili kupunguza gharama.
Amina. Kuwa makini na hao wanaokuita PM. Waambie kama wana ushauri wautoe hapa tuupime.Asante sana Mungu akubariki
Kwa nadharia hii biashara kila mtu huona ni rahisi hivi, ila kivitendo unakuja kugundua ina changamoto nyingi sana, mfano unaweka makadirio ya chakula katika miezi 6 inakuja kuzidi nje ya bajeti, na kupata quality ya chakula bora nayo ishu, kuna chakula unaweza lisha miezi 8 kuku hawaongezeki uzito tu na unaweza kufika muda wa kuuza ukakuta soko limeshuka, ukahangaika mwezi na bei na kila kuku wakizidisha kukukalia hata siku3 wanakukosti gharama zaidi, unaishia kuwauza kwa shoti. Na mwisho ukitaka kukwepa hasara ni lazima unapoanzia hii biashara umuajiri kijana ambaye tayari ana uzoefu wa kutosha ili kukupa uzoefu na mfano chakula cha vifaranga, muda wa kubadilisha chakula, muda wa chanjo, namna ya kusafisha mabanda na kadhalika. Kila kitu katika hii biashara kinategemea Timing ukikosea imekula kwako big time.Chukua milioni 10 fungua fixed akaunti NMB.
Milioni 10 iliyobakia nenda Silverland Tanzania/Silverland Dar nunua vifaranga aina y SASSO 1000 kila mmoja ni 1400, wafuge ndani ya miezi minne watakuwa wamekuwa wakubwa kweli kweli utauza kwa 15,000 au 20,000 kwa mmoja.
NB: SASSO ni kuku chotara wanaovumilia magonjwa na hali ngumu zote.
Gharama ya kuwahudumia SASSO 1000 pamoja na banda, madawa n.k havitazidi hata milioni 5.
Pia jifunze formula ya kutengeneza chakula cha kuku wewe mwenyewe ili kupunguza gharama.
Ndio mkuu ila hawa ni SASSO sio BROILER. Nimeshauri SASSO kwa kuwa hawa ni kama kuku wa kienyeji tu kila kitu wanakula.Kwa nadharia hii biashara kila mtu huona ni rahisi hivi, ila kivitendo unakuja kugundua ina changamoto nyingi sana, mfano unaweka makadirio ya chakula katika miezi 6 inakuja kuzidi nje ya bajeti, na kupata quality ya chakula bora nayo ishu, kuna chakula unaweza lisha miezi 8 kuku hawaongezeki uzito tu na unaweza kufika muda wa kuuza ukakuta soko limeshuka, ukahangaika mwezi na bei na kila kuku wakizidisha kukukalia hata siku3 wanakukosti gharama zaidi, unaishia kuwauza kwa shoti. Na mwisho ukitaka kukwepa hasara ni lazima unapoanzia hii biashara umuajiri kijana ambaye tayari ana uzoefu wa kutosha ili kukupa uzoefu na mfano chakula cha vifaranga, muda wa kubadilisha chakula, muda wa chanjo, namna ya kusafisha mabanda na kadhalika. Kila kitu katika hii biashara kinategemea Timing ukikosea imekula kwako big time.
Sawa nimekuelewa niliweka angalizo tu kwa maana watu wengi wanajua kufuga kuku ni mteremko hadi waingie ndio wanakuja elewa kumbe sio rahisi kivile.Ndio mkuu ila hawa ni SASSO sio BROILER. Nimeshauri SASSO kwa kuwa hawa ni kama kuku wa kienyeji tu kila kitu wanakula.
Kweli mkuu. Mfano Broiler ili upate faida lazima ale sio zaidi ya wiki nne umuuze fasta. Akila wiki tano umeshapata hasara.Sawa nimekuelewa niliweka angalizo tu kwa maana watu wengi wanajua kufuga kuku ni mteremko hadi waingie ndio wanakuja elewa kumbe sio rahisi kivile.
Mimi nipo mkoa wa Dar Es Salaam...naishi Kigamboni....na ningependa biashara yangu nifanyie hapahapa Dar Es Salaam
Asante Mungu akubarikiKwako wewe mwanamke na eneo ulilopo fanya biashara ya chakula.
Chakula namaanisha kilichopikwa. Angalia eneo husika na mahitaji ya watu wanataka kula nini asubuhi, mchana na jioni. Ni hela ndogo ndogo inaingia lakini ukiwa na vitu vingi utakuwa umeingiza pesa nzuri.
Mfano ukawa na supu, chapati nk asubuhi, chakula muhimu kulingana na eneo mchana na jioni na pia bila kusahau kuku, chipsi na mishikaki, michemsho na vinywaji. Mengine utaboresha kadri unavyoendelea.
Tahadhali ni katika usimamizi wa kazi na pesa. Hii itakulipa lakini ukizembea tu katika usimamizi wa kutoa huduma bora na kupokea pesa na kuitunza umekwisha.
Hii biashara haitakuhitaji mtaji mkubwa sana maana ukishaanza utakuwa na access ya kuchukua vitu kwa maduka na jioni unalipa. Unaweza kuanza na mtaji wa milioni 3 ukawa na mgahawa mzuri na baada ya muda ukarejesha gharama zako na kuanza kupata faida.
Mengine hapo utatafiti mwenyewe
Usiingie kwenye biashara usiyoweza kuisimamia mwenyewe kwa sasa. Utapigwa.
Mkuu uko vizuri Sana big up sana"Nifanye biashara gani"
Ni swali gumu sana
Swali hili linaweza kujibiwa na
1. Unachopenda (Hobby yako)
2. Mazingira ulipo (Location)
3.Uzoefu (Experience)*
4.connection (network yako)
5.Mtaji
6.Muda (management) na
7.Watu (wasaidizi waaminifu)
Tafakari mambo haya 7 kwa kina.
Acha kumdanganya mkuuMilioni 20 jenga vyumba 20 vya kupangisha,
Chumba simple cha kupangisha mpaka kukamilika ujenzi ni 1mil × 20 = 20mil.
Ni chumba simple,
Ukihitaji vyumba classic vitapungua idadi.
Fundi ninaye.
Na wewe unataka?Naendelea kusoma comments
NdiyoNa wewe unataka?
biashara yoyote unaweza kuingiza hata 1m kwa siku ila swali ni kwamba una mtaji wa sh ngap?Hello nifanye biashara gani, lengo langu nipate angalau laki moja kila siku.
Binafsi napenda saloon ya kike lakini sina uhakika kama nitaingiza laki moja kwa siku.
Naomba Ushauri wenu tafadhali.
Milioni 20 jenga vyumba 20 vya kupangisha,
Chumba simple cha kupangisha mpaka kukamilika ujenzi ni 1mil × 20 = 20mil.
Ni chumba simple,
Ukihitaji vyumba classic vitapungua idadi.
Fundi ninaye.
Leta mil 20 nikujengee vyumba 20.
Dogo hiyo 25k kwa vyumba ishirini kwa mwezi ni laki tano, gawanya kwa 30 unapata sh ngapi? Umemwelewa mtoa mada anataka faida sh ngapi kwa siku?
Hapa sizungumzii vyumba vya maonyesho.
Ni vyumba vile vya kawaida tu,
Ambapo kwa hapa dar vinapangishwa kwa wastani wa 25+k visivyo na umeme..
Leta mil 20 nikujengee vyumba 20.
Hapa sizungumzii vyumba vya maonyesho.
Ni vyumba vile vya kawaida tu,
Ambapo kwa hapa dar vinapangishwa kwa wastani wa 25+k visivyo na umeme..
Nenda kabet hiyo hela. Tafuta odd 1.06 weka hela yote. Fanya hivi kila siku.
Utakuja kunishukuru.
Note: 1.06x20,000,000 = 21,200,000.