sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,435
- 5,102
Nimefuta usajili wa namba ya simu tangu mwaka 2020, lakini hadi leo ukiangalia usajili wa namba zote zilizosajiliwa kwa namba ya NIDA, unaletewa na namba ambazo ulishazifuta, mbaya zaidi namba uliofuta unakuta imeshasajuliwa tena na mtu mwengine.
Ushauri ni kua, NIDA wawe na utaratibu wa ou update taarifa za usajili at least kila mwezi, ili ziendane na zilizoko mitandao ya simu,
Ushauri ni kua, NIDA wawe na utaratibu wa ou update taarifa za usajili at least kila mwezi, ili ziendane na zilizoko mitandao ya simu,