vert boy
Member
- Nov 29, 2023
- 18
- 23
Habarini wana Jamii,
Baada ya kujaza fomu ya maombi ya namba ya NIDA unatakiwa ukae mda gani ili kupata namba yako?
Nina mwezi wa tatu tangu nijaze taarifa za kuomba namba ya NIDA lakini mpaka sahivi sijafanikiwa kuipata.
Nikienda ofisi husika za NIDA naambiwa mtandao upo chini Tanzania nzima kwa hyo nikaangalie kwa njia ya simu (NIDA ONLINE)
Nikija kufungua online naambiwa nihakiki taarifa zangu. Nilitakiwa nika-report chuo mwaka huu lakini nimeshindwa kwa sababu ya kukosa namba ya NIDA.
Mamlaka husika naomba hili liangaliwe. Naomba kuwasilisha from SANYA JUU (SIHA) KILIMANJARO.
Baada ya kujaza fomu ya maombi ya namba ya NIDA unatakiwa ukae mda gani ili kupata namba yako?
Nina mwezi wa tatu tangu nijaze taarifa za kuomba namba ya NIDA lakini mpaka sahivi sijafanikiwa kuipata.
Nikienda ofisi husika za NIDA naambiwa mtandao upo chini Tanzania nzima kwa hyo nikaangalie kwa njia ya simu (NIDA ONLINE)
Nikija kufungua online naambiwa nihakiki taarifa zangu. Nilitakiwa nika-report chuo mwaka huu lakini nimeshindwa kwa sababu ya kukosa namba ya NIDA.
Mamlaka husika naomba hili liangaliwe. Naomba kuwasilisha from SANYA JUU (SIHA) KILIMANJARO.