ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Tehehe hehe.Mkuu katika nafasi ya mweka hazina usinisahau, nina ozoefu wa kutunza fuko la hela kitambo..
Tehehe hehe.Mkuu katika nafasi ya mweka hazina usinisahau, nina ozoefu wa kutunza fuko la hela kitambo..
Kusoma Kuandika Kuhesabu,Kkk kirefu chake nin kamanda
Aisee hiyo kali ilibidi itoke mpk jpm aachie ngazKusoma Kuandika Kuhesabu,
Hahahahahahahahhahauau usijesepa na hilo fukoMkuu katika nafasi ya mweka hazina usinisahau, nina ozoefu wa kutunza fuko la hela kitambo..
Andaa katiba, then utaisubmit kwa msajili wa vyama, then utazunguka nchi nzima kwa kila mkoa upate walau wanachama 200 mikoa yote then utakuwa ushaanzisha chama bro, kwa maelezo zaidi endelea kuuliza ntakusaidia
Salamu wakuu,
Naomba kufahamu taratibu za kuanzisha chama cha siasa.
Ahsanteni..