Msaada hatua za kuanzisha chama kipya cha siasa

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
9,502
19,304
Naona kuna umuhimu wa kuanzisha chama kipya cha kisiasa, hivi kuna ugumu gani? Au wasajili watatuzuia, au watapoteza kwa kutumia wasiojulikana!

Najiuliza tu, kuna watu hapa Tanzania hawana hata kwa kwenda, kama Dr. Slaa, amekataliwa CHADEMA, amekataliwa CCM, na anapenda kuendelea na siasa.

Au hata wengine ambao sio wafuasi wa vyama hivyo viwili na hawaoni muelekeo wa ACT au NCCR, hatuwezi kuanzisha chama kipya wandugu?

Nataka kujua vigezo na masharti kama inawezekana au haiwezekani.
 
Naona kuna umuhimu wa kuanzisha chama kipya cha kisiasa, hivi kuna ugumu gani? au wasajili watatuzuia, au watapoteza kwa kutumia wasiojulikana, najiuliza tu, kuna watu hapa tanzania hawana hata kwa kwenda, kama dr. slaa, amekataliwa chadema, amekataliwa ccm, na anapenda kuendelea na siasa. au hata wengine ambao sio wafuasi wa vyama hivyo viwili na hawaoni muelekeo wa ACT au NCCR, hatuwezi kuanzisha chama kipya wandugu? nataka kujua vigezo na masharti kama inawezekana au haiwezekani.

Haina tija yo yote.
 
Ukisoma sera za lizoanzishwa na CCM .CCM ya Mwl..Nyerere(ujamaa ya kujitegemea), CCM ya Rais Mwinyi(ubeberu)CCM ya Hayati Rais Mkapa(ubepari), CCM ya Dr.Jakaya kikwete (ujamaa),CCM ya Dr John magufuli (ukomonisti) na CCM ya Rais Samia (kibeberu na kibepari). Nagundua tatizo la afrika ni mtu na sio chama
 
Umoja Party
images - 2023-09-03T150118.929.jpeg
 
Ukisoma sera za lizoanzishwa na CCM .CCM ya Mwl..Nyerere(ujamaa ya kujitegemea), CCM ya Rais Mwinyi(ubeberu)CCM ya Hayati Rais Mkapa(ubepari), CCM ya Dr.Jakaya kikwete (ujamaa),CCM ya Dr John magufuli (ukomonisti) na CCM ya Rais Samia (kibeberu na kibepari). Nagundua tatizo la afrika ni mtu na sio chama

 
Chama kipya kitaanza mwakani usipate shida, na kitaleta taharuki kubwa, naona vyama vingi kadi zake zikirudishwa nyingine kutupwa mabarabarani, chama hiki kitakuwa na idadi kubwa ya wafuasi vijana na dhana yake itakuwa ya kurudisha uhuru uliopokwa na wachache, kitalipuka kama moto wa mafuta na hakuna atakaye amini.
shida moja ni hii, kitakachofuata hakitafurahisha, utaifishaji kama wa 1971 utafuata tu baada ya serikali ya CCM ikianguka njia zote za uchumi za CCM zitanyakuliwa na kuwa za umma, CCM kitakufa haraka kwa maana walio wengi wanaorukaruka na iyenaiyena hawakua tayari kukifia kwa sababu wengi wao ni maslahi binafsi tu. wamejifichaa kwenye kupata, CCM ya akina Kawawa na Nyerere haipo tena. imemalizikia kwa Mangula.
tusubili kwa hamu kujionea wenyewe. hapa ndipo nawakumbusha CCM wasikubali katu kwa gharama yoyote kuruhusu hali hii kutokea itakuwa sawa na Libiya na Misri. Tujisahihishe tunapokula tusiwe tunasahau kunawa midomo111 kuna watu wanalala na njaa.
 
Kuanzisha chama sio rahisi hivyo ndugu zangu Tanzania
Mleta thread akamuulize Fredy Mpendazoe ndo ataelewa ugumu wa kuanzisha chama kipya especially ikiwa chama hicho kinachotaka kuanzishwa kitakuwa tishio kwa serkali ya ccm.
 
kwanza unaanzisha ili uwaibie watanzania wajinga au unaanzisha ili uuwawe na chama pinzani kwanza ili chama chako kipate kura yangu ya kwanza
 
Back
Top Bottom