paschal anthony
Member
- Sep 16, 2014
- 32
- 13
Mkuu naomba kama unazile nyimbo za chrismas uziachie kama zote ila mambo yasiwe mengi kivile
ndio wenyewe?Wakuu nautafuta sana wimbo unaoitwa KONDAKTA uliochezwa na mwanamuziki Daudi Kabaka kutoka nchini Kenya. Nimeutafuta youtube lakini nimekuta umefungwa. Naomba mdau yeyote aliye na wimbo huu anigaie tafadhali. Asante.
Wimbo wa FM academia, acha tamaa.
Huu mwimbo na mm naupenda sana yaan nmeingia huku ili niuombe huo wimbo vp umeupata mkuuNATAFUTA WIMBO FULANI WA CHARANGA ULIOIMBWA KWAKISWAHILI.... akapita kisuranami nikamwitanikauliza waitwa naninaitwa maria oooh mariamtoto kolikolimtoto zurizurintakupa korola
JE NANI ALIIMBA,WIMBO UNAITWAJE,,PIA NISAIDIENI KUUPATA
Ubarikiwe sana mkuu, ndio wenyewe. Yaani nimefurahi sana kupata wimbo huu, wewe hujui tu. Huu wimbo nimeutafuta kwa muda mrefu bila mafanikio. Nilienda Youtube nikakuta umeondolewa. Pia ashukuriwe mkuu Secret Star kwa kuanzisha huu uzi maana ametufaidisha wadau wengi tunaohangaika kutafuta nyimbo zetu pendwa.ndio wenyewe?
Naombeni wimbo wa TOT PLUS FT POULIN ZONGO UNAITWA SARAFINAShukran sana mkuu, naomba kama upo wa pauline Zongo safari au TOT plus wakiwa na Pauline Zongo ule unaimbwa kaona mambo huyawezi ndipo kaja kwangu
Wimbo wa TOT PLUS ft POLIN ZONGO UNAITWA SARAFINA
Niliomba wimbo wa Mwanahawa Ally unaitwa mama shughuri (taarab)sijapata wazee msaada kwa mwenye nao..