Anko Bantu
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 327
- 322
Ngoni Tribe-Manungayembe
Humu upo ila sijajua ni post no ngapi kwa mwenye nao tafadhali atupie humu
Humu upo ila sijajua ni post no ngapi kwa mwenye nao tafadhali atupie humu
jina jingine au jina la artist pleaseMkuu namie naomba wajifanya wajua
NATAFUTA WIMBO ALIOIMBA BUSHOKE UNAITWA #Maria ,NI WIMBO FLANI HIVI WA CHARANGA
NATAFUTA WIMBO ALIOIMBA BUSHOKE UNAITWA #Maria ,NI WIMBO FLANI HIVI WA CHARANGA
Kuna wimbo nadhani umeimbwa na king kikii ila sikumbuki vizur. Unaimbwa kupitia chalinze mbalizi na maeneo mengine anayataja mwenye nao
Justine kalikawe - usitumie cheo chako. Na nyimbo zake nyingine