Habari wana JF? Kuna wimbo mmoja wa Ray C nautafuta, una mstari huu "Ni sasa, sio jana, ni wakati wa kushirikiana". Naomba mwenye nao anisaidie.
Habari wana JF? Kuna wimbo mmoja wa Ray C nautafuta, una mstari huu "Ni sasa, sio jana, ni wakati wa kushirikiana". Naomba mwenye nao anisaidie.
Natafuta nyimbo ya nakuhitaji ya HK angwisa
Mwenye nyimbo hizi naomba please 1)Jumanne idd one day
2)Bwana Misosi kipusa
Huu naona haupogo tena. Mana nimeutafuta sana humu na mwingine Wa unique sisters unaitwa "sikutaka" original version sijawahi zipataKIOO wimbo wa gk mama kaimba na fina mango siwezi upata
Ushukuliwe sana mana nlikuwa nautafuta sana wimbo Wa simulizi la ufasaha. Asee hauna wimbo Wa unique sisters unaitwa "sikutaka" original version?TUPATE ALBUM YA GANGWE MOBB
JINA:SIMULIZI LA UFASAHA
MWAKA WAKUZINDULIWA:2002
Habari zenu wadau mm natafuta nyimbo zifuatazo:kusema sema rmx, laila na ukweli hizi nyimbo zimeibwa na band ya chuchu sound, pia kuna nyimbo za mchinga sound zinaitwa:kidomo domo na nguzo tano za mapenzi, nyingine ni ya juma kakere inaitwa ndoa ya lazima ipo katika album yake ya betty:na wimbo wa mwingine ni wa Adolph mbinga unaitwa neema rmx aliuimba na marehemu ramadhani masanja(banza stone)roghati hega (katapila)na joniko flower(maua)nakumbuka hz nyimbo miaka ya 2000 zilikua zinapigwa sn radio one naomba sn kama nikizipata nitafurahi sn
Naomba wimbo Wa miketee feat bizman sivainogela
Nimetafuta sana nyimbo ya mwana Fa jina lake sina wakika sana lakini ndani yake kaongelea msichana aliekuwa anasoma nae high school na life zima la shule yao,inanikumbusha mengi sana hio nyimbo ipo kama ile ya Jaymoo mya boarding.
Kuna sehem anasema
"Beatrice i miss u i miss u beatrice,"
"School nzima ilitambua kuhusu sisi,"
Mwenye kuweza kuipata msaada tafadhari
Mwenye jingles za RTD&RADIO ONE naziomba
Nafikiri upo humu ulishawekwaUshukuliwe sana mana nlikuwa nautafuta sana wimbo Wa simulizi la ufasaha. Asee hauna wimbo Wa unique sisters unaitwa "sikutaka" original version?
Hii sina mkuuKiongozi utakuwa na album ya Hafsa Kazinja ya presha, napenda nyimbo zilizomo! Pesa, MashaAllah ni nyimbo kali sana!!
Tupiamo pls
Jaman hii nyimbo nahiitaj sana O ten mkuu Wa mkoa/ Kamishina.....O ten mkuu Wa mkoa/kamishina daa msaada mweny nayo tafadhali