Natafuta nyimbo za taarab za marehemu Nasma Khamis Kidogo, pia wimbo unaitwa IKIBINDA NKOI simkumbuki mtunzi, na wimbo SANURA wa marehemu TONGOLANGA
 
Asubuhi njema iwe nanyi wakuu.

skieni hii


"Tunaleta posa hatakama mkitutosa × 2 "

1.Banana zoro_Mama gumbena.


Tafadhali naomba hii nyundo.

#TeamBajuda

Shukrani.
 
Asubuhi njema iwe nanyi wakuu.

skieni hii


"Tunaleta posa hatakama mkitutosa × 2 "

1.Banana zoro_Mama gumbena.


Tafadhali naomba hii nyundo.

#TeamBajuda

Shukrani.
Hii hapa. Enjoy
 

Attachments

  • Banana - Mama Kubena.mp3
    5.9 MB · Views: 144
Bongo records team-'party la kiutu uzima'
Humo ndani chorus yupo Mangwea, kuna jeez mabov, mb doggy,c pwaa,...na wengine nimewasahau
Mwenye nae afanye kuutupia mana ni bonge la ngoma
 
Nashukuru sana gwankaja na kioo kwa ushirikiano mkubwa ulio uonyesha Mungu awabariki sana ila pia naomba kma mna wimbo wa viraka f.t q jay unaitwa niambie ukweli kama sijakosea na wimbo wa steve rnb unaitwa msamaa una maadhi ya rege nadhan ndio wimbo wake wa kwanza kuutoa baada ya kushirikishwa na mr blue kwenye tabasamu pia wimbo wa hk f.t Ester wasira unaitwa umerudia tena Na wimbo wa mshakaji mmoja wa kanda ya ziwa anaitwa mariki F. T bayo wimbo unaitwa my fellow una hadhi ya rege tone.natanguliza shukrani
 
Naomba wimbo wa tundaman ft buibui nenda mwenye nao tafadhari
Sababu mm maskini..
ukaamua ww kuniacha mm
kumbuka mi na ww tulikula yamini
ukaapa kwa kwa Mungu huniachi mm....
 

Attachments

  • BUI BUI-NENDA.mp3
    5.8 MB · Views: 200
Bongo records team-'party la kiutu uzima'
Humo ndani chorus yupo Mangwea, kuna jeez mabov, mb doggy,c pwaa,...na wengine nimewasahau
Mwenye nae afanye kuutupia mana ni bonge la ngoma
 

Attachments

  • Ngwea,Mb Doggy,Jay MoeCp &Geez- Party ya Kiutu Uzima.mp3
    2.9 MB · Views: 220
Wakuu za jioni.

Tafadhali naomba hits song za JEEZ MABOVU.

Jeez mabovu_Mtoto wa kiume.
Na nyinginezo Kali.



Shukrani.




#TeamBajuda
 
Nashukuru sana gwankaja na kioo kwa ushirikiano mkubwa ulio uonyesha Mungu awabariki sana ila pia naomba kma mna wimbo wa viraka f.t q jay unaitwa niambie ukweli kama sijakosea na wimbo wa steve rnb unaitwa msamaa una maadhi ya rege nadhan ndio wimbo wake wa kwanza kuutoa baada ya kushirikishwa na mr blue kwenye tabasamu pia wimbo wa hk f.t Ester wasira unaitwa umerudia tena Na wimbo wa mshakaji mmoja wa kanda ya ziwa anaitwa mariki F. T bayo wimbo unaitwa my fellow una hadhi ya rege tone.natanguliza shukrani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom