KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,154
- 5,680
Sukari tele?
Hahahahah. 😃😃😃
Sukari tele?
Ukiupata namimi unitag mkuuNautafuta wimbo unaitwa "sanura,umeimbwa na marehemu Tongolanga"
Wimbo huu nadhani ni wa zamani lakn niliusikia mwaka Jana (2016) mwishoni nikiwa chuo...,dahhhhhhhh! ni wimbo mzur sana
Hii hapa. EnjoyAsubuhi njema iwe nanyi wakuu.
skieni hii
"Tunaleta posa hatakama mkitutosa × 2 "
1.Banana zoro_Mama gumbena.
Tafadhali naomba hii nyundo.
#TeamBajuda
Shukrani.
Wakuu mmetisha sana... hongereni sana, naombeni nyimbo ya Chindo Man-stori ya nyokaa
Sababu mm maskini..Naomba wimbo wa tundaman ft buibui nenda mwenye nao tafadhari
Bongo records team-'party la kiutu uzima'
Humo ndani chorus yupo Mangwea, kuna jeez mabov, mb doggy,c pwaa,...na wengine nimewasahau
Mwenye nae afanye kuutupia mana ni bonge la ngoma
Habari mkuu.Wakuu mmetisha sana... hongereni sana, naombeni nyimbo ya Chindo Man-stori ya nyokaa
#MimiWakuu za jioni.
Tafadhali naomba hits song za JEEZ MABOVU.
Jeez mabovu_Mtoto wa kiume.
Na nyinginezo Kali.
Shukrani.
#TeamBajuda
Mkuu gwankaja tafadhali naomba uziweke hapa.#Mimi
#Party flan
#Mtoto wa kiume
#Dakika 0
zipi... nshasahau mkuu...Mkuu vp mbona kmy ngoma nilizo kuomba