Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,717
- 6,047
Rais ni kilaza na mvivu huku Waziri ni typical mjinga tu. Sitegemee lolote la maana kwenye huu utawala.Hali si shwari, kuna kila dalili sasa tuendako ni kubaya, hii hali ya umeme dakika 5 on, masaa 8 - 12 off haikuzoeleka kwa miaka sita iliyopita, mbona hakuna kiongozi anajitokeza kulizungumzia hili jambo?...