Ni waziri anahujumiwa au TANESCO inahujumiwa?

Jamani hamuoni hali ya hewa?!!!

Hivi ni mh.Makamba aliyezuia mvua?!!!

Tusisahau imepita miaka 6 bila ya kukutana na "nakama" hii ya ukame.....
Kwanza unadanganya kusema imepita miaka sita bila ukame,
2016 -2017 ukame ulikuwa mkubwa zaidi kuliko kiangazi cha kawaida tu cha msimu huu.
 
Haya tuliyashuhudia wakati wa JK wote ni majizi kwanza SSH Haijui vizuri Nchi lazima apigwe sana tu, January anasaka ungwaji mkono kwa Watanzania kisa tu anataka kuwa Rais! Ila naye jizi tu alafu njia anazotumia za kijinga jinga sana.

Maji umeme vyote ni shida kuna dalili za mfumko wa bei kuanzia January 2022! Kwa vitu vimepanda mara dufu eti kwa sasa wanaangaika na Diplomasia ya Uchumi watu wanaendelea kuwa maskini!!
 
Waziri anahujumiwa, nchi inahujumiwa, Tanesco inahujumiwa all together..

Taasisi nyingi ndani yake kuna magenge ya kihalifu na kazi yake kuratibu uhalifu, bahati mbaya taasisi hii Tanesco inaonekana kuna watu tayari walishaliteka na kulifanya lao sasa aka zamu yetu, sasa ghafla upepo umekata limeingia genge lingine, now its the fighting for the interest na kuliteka shirika..ni full myumbo na mnyukano.

Ukiangalia hii nchi kwa jicho la ndani hivi sasa utagundua kuna mapambano ya vikundi vya waasi huku na kule...na hao wote wanagombania umiliki wa dola hata kwa kuwaumiza Watanzania au kuitia nchi yenyewe hasara...kifupi woote hawafai..hapa dip state inapaswa kukaa kati na kuingia kazini huku ikiwaweka wanasiasa wote walio dip state pembeni.

Haya makundi matatu kwa sasa yako kwenye vita kali kila mmoja akipigana na mwingine katika kila apatapo nafasi, na tusipokuwa makini haya makundi matatu kati yao mawili ni hatari yanaweza hata kuingiza nchi vitani kwa tamaa iliyozidi na kushirikisha hata mamluki, hili kundi moja lenyewe huwa linatumia hesabu na akili nyingi sana japo nalo ni la wapigaji......ITAENDELEA...
 
Hali ya umeme ni mbaya nchi nzima. Tumerudi ujima ndani ya uchumi wa kati. Hatari! Hao wawekezaji tunaotafuta watawekezaje kwenye hali hii!
 
Bora hata wewe umesema, wengine ni shutuma tu bila hata kujiridhisha tatizo ni nini, yaani jf ya siku hizi great thinkers ni wachache sana
Ni kweli wewe utakuwa una akili, nasikia watafiti wanasema kichaa huwaona walio wazima ndio vichaa,

Cha pili umenikumbusha kijijini kwetu tulikuwa tunafuga punda (donkey) yule punda alipokuwa akipandwa anatafuna ulimi na meno kubaki nje, (waliowah kuona punda alipandwa watajua hii hali na akili za punda wakati wa ile moment) sijui kwa nini donkey wana hii behaviour
 
Hali si shwari, kuna kila dalili sasa tuendako ni kubaya, hii hali ya umeme dakika 5 on, masaa 8 - 12 off haikuzoeleka kwa miaka sita iliyopita, mbona hakuna kiongozi anajitokeza kulizungumzia hili jambo?...
Kwa Hali ya ukame unaoendelea kwa sasa, ni dhahili TANESCO na Serikali waseme tu ukweli kuwa uzalishaji umeme kwa Sasa hauendani na mahitaji halisi ya umeme nchini.

Mficha maradhi, kifo kitamuumbuwa
 
Hali si shwari, kuna kila dalili sasa tuendako ni kubaya, hii hali ya umeme dakika 5 on, masaa 8 - 12 off haikuzoeleka kwa miaka sita iliyopita, mbona hakuna kiongozi anajitokeza kulizungumzia hili jambo?....

B8142FB7-C1B8-4DB5-8B04-D9C33D1C520B.gif


B6FA1B31-397D-45BD-85F3-73B6B7A80A7B.jpeg


CB20660A-C6BB-4488-BE85-00E35C180243.jpeg
 
Back
Top Bottom