Ni waziri anahujumiwa au TANESCO inahujumiwa?

Hali si shwari, kuna kila dalili sasa tuendako ni kubaya, hii hali ya umeme dakika 5 on, masaa 8 - 12 off haikuzoeleka kwa miaka sita iliyopita, mbona hakuna kiongozi anajitokeza kulizungumzia hili jambo?

Ni waziri wa umeme hapendwi na watendaji wake hivyo wameamua kumkwamisha au ni waziri wa umeme anafanya uganga wake ili kulikwamisha shirika na wapiga kura!?

Yeyote anayehusika na hujuma hizi laana itamuandama hadi kizazi chake cha nne
Let's hope that what you're telling us isn't the case; and if so TISS should seriously intervene.
 
Hali si shwari, kuna kila dalili sasa tuendako ni kubaya, hii hali ya umeme dakika 5 on, masaa 8 - 12 off haikuzoeleka kwa miaka sita iliyopita, mbona hakuna kiongozi anajitokeza kulizungumzia hili jambo?

Ni waziri wa umeme hapendwi na watendaji wake hivyo wameamua kumkwamisha au ni waziri wa umeme anafanya uganga wake ili kulikwamisha shirika na wapiga kura!?

Yeyote anayehusika na hujuma hizi laana itamuandama hadi kizazi chake cha nne
Kama itakuwa ni hujuma itakuwa ni kwa faida ya nani? Hata waziri akiondoka wao watakuwa mawaziri? Naamini kuna sababu nyingine ya msingi zaidi ya hujuma. It could be ni hali ya ukame inayoendelea kwa sasa. La msingi consumers wawe addressed kuondoa shaka
 
Hali si shwari, kuna kila dalili sasa tuendako ni kubaya, hii hali ya umeme dakika 5 on, masaa 8 - 12 off haikuzoeleka kwa miaka sita iliyopita, mbona hakuna kiongozi anajitokeza kulizungumzia hili jambo?

Ni waziri wa umeme hapendwi na watendaji wake hivyo wameamua kumkwamisha au ni waziri wa umeme anafanya uganga wake ili kulikwamisha shirika na wapiga kura!?

Yeyote anayehusika na hujuma hizi laana itamuandama hadi kizazi chake cha nne
Wizara ya Nishati bado haijapata waziri ambaye anaimudu vyema. Bado inaendeshwa kupitia "trial & error" ili kutafuta ufanisi wa kuokoteza.

Viongozi wa wizara na shirika bado wanapatikana kirahisi tu kupitia "nepotism & political prejudices" na wala si kwa kigezo cha "thorough vetting & deserveth competence"

Hivi unawezeje kuwaacha watu makini kama Prof. Assad, Rished Bade, John Ulanga na vichwa vingine vyenye uthubutu wa kuongea ukweli ndani ya Bodi ya shirika kubwa linaloshindwa kujiendesha kiufanisi kama vile TANESCO.

Tusiendekeze itikadi bali tujikite kwenye "deriverables" ambazo zitatupa matokeo chanya. Ni "process" rahisi sana kufikia kwayo;

Input > Throughput > Output

Ukikosea tu kwenye "inputs don't expect anything on outputs"
 
Hali si shwari, kuna kila dalili sasa tuendako ni kubaya, hii hali ya umeme dakika 5 on, masaa 8 - 12 off haikuzoeleka kwa miaka sita iliyopita, mbona hakuna kiongozi anajitokeza kulizungumzia hili jambo?

Ni waziri wa umeme hapendwi na watendaji wake hivyo wameamua kumkwamisha au ni waziri wa umeme anafanya uganga wake ili kulikwamisha shirika na wapiga kura!?

Yeyote anayehusika na hujuma hizi laana itamuandama hadi kizazi chake cha nne
Nadhani wapinzani wanatuchelewesha!

Maharage shirika limemshinda!
 
Hakuna cha kuhujumiwa wala nini jifunzeni kuongea ukwel japo mchungu,

Uongoz na viongoz wote ni hovyo, ndiomaana haya matatizo hayakwishi, si kwa rais tu mpka kwa watendaj wake wote wakiwemo mawaziri mpka hao makada wake na wanatanesco wote ni majizi, acheni kuutetea uovu kwa kusingizia hujuma zisizo julkana zinatoka wapi.

nchi ishaingiliwa hii
 
Hali si shwari, kuna kila dalili sasa tuendako ni kubaya, hii hali ya umeme dakika 5 on, masaa 8 - 12 off haikuzoeleka kwa miaka sita iliyopita, mbona hakuna kiongozi anajitokeza kulizungumzia hili jambo?

Ni waziri wa umeme hapendwi na watendaji wake hivyo wameamua kumkwamisha au ni waziri wa umeme anafanya uganga wake ili kulikwamisha shirika na wapiga
Samia katuvunjia Heshima watanzania kumuweka huyu jamaa.... Naona majenereta ambayo miaka mitano hayakuwa na soko yashaanza kutoka.
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom