Ni waziri anahujumiwa au TANESCO inahujumiwa?

Yuko busy na deal za satellites za wahindi ili kujua umeme usiokuwepo umekatika wapi na saa ngapi, ila kwa ufupi kama umeme haupo au unakatika katika ovyo kazi imekushinda, aondoke tuu awaachie wanaoweza wafanye kazi
 
Kama itakuwa ni hujuma itakuwa ni kwa faida ya nani? Hata waziri akiondoka wao watakuwa mawaziri? Naamini kuna sababu nyingine ya msingi zaidi ya hujuma. It could be ni hali ya ukame inayoendelea kwa sasa. La msingi consumers wawe addressed kuondoa shaka
Kule kwenye vyanzo vya mito mvua zinanyesha
 
Hali si shwari, kuna kila dalili sasa tuendako ni kubaya, hii hali ya umeme dakika 5 on, masaa 8 - 12 off haikuzoeleka kwa miaka sita iliyopita, mbona hakuna kiongozi anajitokeza kulizungumzia hili jambo?

Ni waziri wa umeme hapendwi na watendaji wake hivyo wameamua kumkwamisha au ni waziri wa umeme anafanya uganga wake ili kulikwamisha shirika na wapiga kura!?

Yeyote anayehusika na hujuma hizi laana itamuandama hadi kizazi chake cha nne
Unaweza kuhisi ni hujuma, maana upande ule hawatakiwi kupata credit
 
Back
Top Bottom