Ni wapi nitapata duka la dawa za asili Kisuna Mwanza mjini?

Ni wapi nitapata duka la dawa za asili Kisuna Mwanza mjini?

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,299
Reaction score
4,692
Kuna dawa nazitafuta kwa dharula zinahitajika kwa mgonjwa.

Naomba anaefahamu duka la dawa za asili hapa Mwanza linapatikana maeneo gani... utakuwa umetoa msaada mkubwa sana.
 
Nenda mjini pale picha ya Nyerere nyuma ya solo kuu linapojengwa,huko Kuna maduka mengi ya aina hiyo,au taja jina la dawa nikutumie mimi
 
Kuna dawa nazitafuta kwa dharula zinahitajika kwa mgonjwa.

Naomba anaefahamu duka la dawa za asili hapa Mwanza linapatikana maeneo gani... utakuwa umetoa msaada mkubwa sana.
Mkuu nenda Hussein sizya lipo rufiji
 
Kuna dawa nazitafuta kwa dharula zinahitajika kwa mgonjwa.

Naomba anaefahamu duka la dawa za asili hapa Mwanza linapatikana maeneo gani... utakuwa umetoa msaada mkubwa sana.
Kama unataka za kuambatana na uchawi nenda kishiri na kama za kutibu kawaida nenda kisesa
 
Kuna dawa nazitafuta kwa dharula zinahitajika kwa mgonjwa.

Naomba anaefahamu duka la dawa za asili hapa Mwanza linapatikana maeneo gani... utakuwa umetoa msaada mkubwa sana.
Maeneo ya waswahili yenye Waislam wengi.
 
Maduka Mengine yapo mtaa wa Uhuru karibu na ule msikiti wa Ghorofa.

Pale yapo kama matatu hivi.
 
Nenda mjini pale picha ya Nyerere nyuma ya solo kuu linapojengwa,huko Kuna maduka mengi ya aina hiyo,au taja jina la dawa nikutumie mimi
Mkuu habari
Naweza kupata milk thistle kwaajili ya ini?
Ndivyo inahyoitwa
 
Back
Top Bottom