Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
Sasa wabunge wote wa ccm walishindwa kutetea maslahi ya taifa je tuendelee kuliamini hili bunge la makanjanja? Kigezo cha mbunge kuishia la saba kimepitwa na wakati hebu fikiria jinsi kina kibajaji na msukuma leo wanaweka wapi sura zao? Elimu hawana lakini wanajitumbukiza kwenye kujadili mambo makubwa ya kitaifa huku wakiwakejeli wasomi wabobevu kama isa shivji.
Kwa haya tuliyaona basi wabunge wasiishie la saba angalau minimum qualifications iwe form six ili kuweza kuendana na ulimwengu huu wa sasa uliojaa changamoto kibao.
Kwa haya tuliyaona basi wabunge wasiishie la saba angalau minimum qualifications iwe form six ili kuweza kuendana na ulimwengu huu wa sasa uliojaa changamoto kibao.