Ni wakati sasa kwa Chama Cha walimu Tanzania (CWT) kupunguza Makato kutoka 2% Hadi 0.5% ili kumuunga mkono mama

CK Allan

JF-Expert Member
Aug 14, 2013
2,729
5,923
Tayari lile jambo letu limekuwa 23.3%
Kama tujuavyo mshahara unavyopanda na Makato,
Kodi, bima, n.k nayo yanapanda.
Kwakuwa CWT inajiweza na Ina wanachama wengi (pengine kuliko Chama chochote Cha wafanyakazi) hapa nchini,
Basi nao wapunguze asilimia 1.5
Ibaki 0.5%

Ili kusudi nyongeza hii imsaidie mwalimu Moja kwa moja..

NB CWT wakikataa walazimishwe
 
Hizo pesa za 2% huwa zinachukuliwa na ccm kwa ajili ya uchaguzi. Na unaambiwa kwa mwaka wanakusanya around 35 bilioni
 
Tawi la ccm hilo. Litaacha kuwaibia walimu siku ccm ikitika madarakani. Hata walimu walie vipi, hakuna msaada wowote ule watakao upata kutoka serikalini.

Wanawaibia walimu mchana kweupe kwa kuwakata ada ya 2% kila mwezi, huku wakiwa hawana msaada wala faida yoyote ile kwao. Pesa zote wanatumia kwenye vikao na kulipana tu posho!
 
CWT sio chama halali cha Waalimu, ni chama cha michongo.

Chama gani kinachoingiza wanachama kinyemela bila mkataba wowote? No terms & conditions

Suala sio kupunguza % ya makato, suala ni Waalimu kujitoa kwenye hiki chama.
 
Tayari lile jambo letu limekuwa 23.3%
Kama tujuavyo mshahara unavyopanda na Makato,
Kodi, bima, n.k nayo yanapanda.
Kwakuwa CWT inajiweza na Ina wanachama wengi (pengine kuliko Chama chochote Cha wafanyakazi) hapa nchini,
Basi nao wapunguze asilimia 1.5
Ibaki 0.5%

Ili kusudi nyongeza hii imsaidie mwalimu Moja kwa moja..

NB CWT wakikataa walazimishwe
Chakamwata kilikuja na mkakati wa 1% wakapigwa vita vya hila na CWT na mamlaka nyingine ngazi za mikoa na wilaya. Tuliojiunga tukatumiwa barua kuwa tumesitishwa kujiunga kwani chama hicho hakitambuliki ! Kisa ni ili cwt na wanufaika waendelee kutupora 2% ya mishahara yetu. Hawana huruma Wala msaada kwa walimu !

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
wasira-clip-data.jpg
 
Back
Top Bottom