Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Kwa tabia, mwenendo na utiifu alio nao Kamanda IGP Sirro kwa mamlaka ya uteuzi yaani Rais wa JMT Mama yetu mpendwa Mama Samia, inabidi ampumzishe huyu Kamanda na aweke mtu mwingine atakaye msaidia.
Tangu Rais Samia ashike madaraka inaonekana IGP Sirro hatii kabisa maelekezo ya Rais! Kudhihirisha hili ni juzi wakti Rais akiongea na Maafisa wa Polisi HQ na mikoani alipolilaumu Jeshi la Polisi kwa kuendelea kukaidi maelekezo yake ya kubambikia Watu kesi, watuhumiwa kuuawa mikononi mwa Polisi na kuweka watu mahabusu kwa muda mrefu pasi na ushahidi huku wakisingizia @ upelelezi unaendelea! Even kesi ya Mwenyekiti Mbowe iko kwene mlolongo uleule wa kubambikia mtu kumkomoa.
Juzi baada ya shambulio la polisi toka kwa rais Hamza Mohamed na kuua mapolisi 3 na mlinzi 1 kawaida, IGP Sirro ameonekana kutoa maneno ya dharau kwa Watanzania kwa kuwalaumu WASIZAE WATOTO KAMA HAMZA MAANA NI BALAA KWA JESHI LA POLISI...Ebho! Yaani kwa akili ya IGP Sirro polisi wana thamani sana kuliko mamilioni ya Watz. Hivi nnani anawazaa Polisi wa Tanzania??? IGP Sero amefukuza wangapi kwa ukosefu wa maadili? Je, hao mapolisi walizaliwa na nani?
IGP Sirro kesha sahau kabisa kuwa kuna sera ya Jeshi la Polisi inayoitwa: POLISI JAMII AU SHIRIKISHI. Kwamba lazima raia wa Kitanzania washirikishwe kwene ulinzi wa nji hii. Lakini pia IGP Sirro amesahau kabisa kuna mamia ya Watanzania wameuawa na Jeshi la Polisi kwa makusudi kabisa kwa kusingiziwa ni majambazi kwa vile tu walikuwa na fedha au madini yenye thamani ya mamilioni. Watanzania wanajua hizi habari vizuri sana. Mfano ni kesi ya Zombe na askari wenzake!!
Nawasilisha.
Tangu Rais Samia ashike madaraka inaonekana IGP Sirro hatii kabisa maelekezo ya Rais! Kudhihirisha hili ni juzi wakti Rais akiongea na Maafisa wa Polisi HQ na mikoani alipolilaumu Jeshi la Polisi kwa kuendelea kukaidi maelekezo yake ya kubambikia Watu kesi, watuhumiwa kuuawa mikononi mwa Polisi na kuweka watu mahabusu kwa muda mrefu pasi na ushahidi huku wakisingizia @ upelelezi unaendelea! Even kesi ya Mwenyekiti Mbowe iko kwene mlolongo uleule wa kubambikia mtu kumkomoa.
Juzi baada ya shambulio la polisi toka kwa rais Hamza Mohamed na kuua mapolisi 3 na mlinzi 1 kawaida, IGP Sirro ameonekana kutoa maneno ya dharau kwa Watanzania kwa kuwalaumu WASIZAE WATOTO KAMA HAMZA MAANA NI BALAA KWA JESHI LA POLISI...Ebho! Yaani kwa akili ya IGP Sirro polisi wana thamani sana kuliko mamilioni ya Watz. Hivi nnani anawazaa Polisi wa Tanzania??? IGP Sero amefukuza wangapi kwa ukosefu wa maadili? Je, hao mapolisi walizaliwa na nani?
IGP Sirro kesha sahau kabisa kuwa kuna sera ya Jeshi la Polisi inayoitwa: POLISI JAMII AU SHIRIKISHI. Kwamba lazima raia wa Kitanzania washirikishwe kwene ulinzi wa nji hii. Lakini pia IGP Sirro amesahau kabisa kuna mamia ya Watanzania wameuawa na Jeshi la Polisi kwa makusudi kabisa kwa kusingiziwa ni majambazi kwa vile tu walikuwa na fedha au madini yenye thamani ya mamilioni. Watanzania wanajua hizi habari vizuri sana. Mfano ni kesi ya Zombe na askari wenzake!!
Nawasilisha.