Ni wahenga tu watamfahamu huyu jamaa ni nani

Ni wahenga tu watamfahamu huyu jamaa ni nani

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Wahenga njooni tukutane hapa.

Huyu jamaa aliigiza kwenye movie maarufu sana Afrika.

Kipindi hicho masuala ya DSTV sijui Netflix hayapo.

Movie ulikuwa unaangalia kwenye mikanda au kwenye vibanda umiza. Gen Z hawawezi elewa

photo_2025-07-28_00-45-18.jpg
 
Alili
Wakuu,

Wahenga njooni tukutane hapa.

Huyu jamaa aliigiza kwenye movie maarufu sana Afrika.

Kipindi hicho masuala ya DSTV sijui Netflix hayapo.

Movie ulikuwa unaangalia kwenye mikanda au kwenye vibanda umiza. Gen Z hawawezi elewa

Alilipwa Dola 300 pekee kwenye ile movie ya the gods must be crazy na kale katoto kamesema kenyewe hakakupewa hata mia mbovu... Ila muvi ilikuwa matata sana daaah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom