Story: Money Penny ni nani lakini?!

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,921
14,820


Nimepokea maswali meeengi kwa wadau wangu huku jf kuwa Money Penny ni nani, Money Penny ndio nani?!

Wengine mnasema money penny ni lara 1 wengine mnasema ni Mange Kimambi wengine wanasema namwiga Lara 1...eh!

Naomba ni clear the insain air kwenu wadau wangu wa nguvu wa JF.

Mimi sio lara 1 wala Mange aliejifichaaa, mimi ni mimi hunijui sikujui kwahiyo kama unahisi namkopi lara 1 sawaaa ni wewe lakini sijawahi andika stori huku jamii forum au kwenye website yangu au APP yangu ukakuta hata moja inajirudia... au hata moja imemfanania Lara 1

kwahiyo kama unataka ku hate wewe hate kulingana na ulivyo na upande uliochagua kuukaa hainisumbui, siko hapa kutengeneza "TEAMS" nipo hapa kufanya kazi
[HASHTAG]#hapakazi[/HASHTAG] tu

Mimi ni mwandishi wa hadithi, scripts za movies, series, drama,

Nina Elimu ya Executive MBA, Degree ya BAF, nipo very talentented, creativeness, nina akili nina highest intelligency nimezaliwa Smart nipo funny, charming ndivyo nilivyooooo sasa huwezi kubadilisha ukweli kuwa uongo...o_O

VIPI KWANI KUNA MTU AMENUNA :mad: au anahisi RIVAR imekuja ku-take over wale wahenga? Poleni weeeeeeee :D:D

Wengine wanasema wakisoma hadithi zangu wanakuwa kama wanaangalia sinema... jamaaani nashukuru sana hii inaonyesha kazi zangu zinapendwaaa

To make a Long Story short mimi ni mzaliwa wa Dar, nimesoma Dar vidudu mpaka chuo, kazi Dar, makazi Dar, wachumba Dar, Mume Dar, Biashara Dar ... Mtoto wa Upanga, Oysterbay, Mbezi Beach, Bunju, Mbweni ...

Money Penny mke wa mtu jamaaa tuheshimiane basi wale mnaonifuata dm kunitongozaaa, mimi sina mpango wa kuchepuka na sijawahi kuchepuko usijisumbue kuja na mistari yako miiingi ya kunitongoza mimi umechelewaaa labda uje tufanye maendeleo lakini sio MAPENZI...

STORI / HADITHI NILIZOANDIKA TANGU NIINGIE JAMII FORUM MWAKA 2016 NI HIZI

1. SOME LEMNADE FOR YOU
LINK - Some lemonade for you madame!

Nilipomaliza nikanogeeewaaaa nikaandika nyingine hii hapaa

My cup runeth over ~ Na Kikombe changu kinafurika

Nikapumuaaaa baadae nikaskia kuandika stori nyingine ya 3 nikaiandika hii hapaa
Love melted before my eyes

Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!

Nikaja kuvuta kwanza pumzi nikaja kurudi na stori hii mwezi April

Story: Side Chic & Main Chic ~ A Forever Battle

Nikapumua tena nikaja nikateremusha classic story inaitwa
Story: On My High Horses ...

na ni hii STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI

Kuna hii Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke

Unaikosaje hii sasa ya Story: Bora Mchaga Mwizi Kuliko Mpare Bahili....

Na huku STORY: KUTEGA - SEDUCTION

unaikosaje sasa hii STORY: KARIAKOO...

Story: Mahusiano...

Story: Kwanini Upo Single?!

STORY: MTU CHAKE! - JamiiForums

Nasema ukweli mpenz wa Mungu me sijasomea kuandika stori, kabisaaa... wala english sijui literature akuuuu! Huko sipo kabisaa!

Ila ni Mungu tu ananisaidia naweza nikakaa nikachukua microsoft word page nikaanza kuandika then kila kitu kinakujaaaa non stop mpaka stori inaisha ndani ya siku 3 naandika page 100, kwa siku masaa 8 mpaka 10 zlstori zinakuja tu kichwani

Of course me mtu wa watu kwahiyo zingine zinakuwa za maisha ya watu ambao labda wengine wameshakufaga, wengine wazeee wa miaka 70, wengine watu wazima miaka 45-59, wengine marafiki wengine ndugu wengine jamaa wengine classmates wengine office colligues basi tu ukiishi na watu vizuri maishani inalipa sana

Money Penny ni cha utunduuu, sio utundu wenu ule wa dyu dyu na chiu hapanaaa... mimi ni mtunduuuu tuuu, elewa tu mimi ni mtunduuuuu kwani wewe haujawahi kuishi wa watoto watunduuu,utundu tu wa kawaida wa maisha ya kila siku

Yani tunaweza kukaaa hapa tunaongea mimi nikajiongeza nikawa extra ukashangaa ivi money penny unawazaga nini lakini wewe?! Ndivyo nilivyooo

Afu nina vitukoooo balaaa, naweza kukuchekesha hapa mimi nikauchunaaaa wewe unakufa mbavu alafu najikaushaaa watu wakabaki wanaakushangaa huyu mtu vepee kucheka cheka, huku stering nimeuaaaa!

Kama sijakuzoeaaa utasema huyu dada mpoooooleeee jamaaaan mpooooleeee duuuu hata kumtongoza naogopa kuumbeee!

Money Penny napenda mzikii akyanani me sio mlevi wa pombe ni mlevi wa music, good music yani me schagui, bolingo, R&B, Hip Hop, Rumba, Classic, Old School, New School, Raggae kwa mbaaali, Pop, Gospel ndio usiseme imelala hapaaa

Ulevi wangu mwengine ni Movies and Series, yani mimi ni movie person, tangu nina miaka 3 ni mtu wa tv mpaka sasa ni movies tuuuu miziki tuuuu sa hivi tena kuna series cravings ndo kabisaaa yani naweza shinda ndani nikaangalia series the whole weekend
Nilikuwa napenda sana kusoma novels lakini walivyoleta movies kha waliniharibujeee jaman me na movies utakuwa rafkianguuu!

Am a this cool kind hearted Chica, looooud Chica mambo ya kuwa dry dry ukikaa na mimi utachangamka tuu!

Hakuna aliewahi kukaa na mimi akaborekaaa am sorry to say this am a looooud chic, full of life chic, extra chic, beautiful and gorgeous Chica :p

Money Penny ni half cast wa kichaga, nusu Mchaga nusu kuleee Singida moujaaaa ....Kwenye upande wa Mauno na mambo ya kitandani utanisubiria miaka 8000 na kutafuta pesa ndio mwenyewe sasa, sinaga kinyaa na Pesaaaa, kama hauamini angusha pesa hapo chini uone :D... kwani Tsh ngapi?!

Stori ndogo ndogo nilizoandika kama Money Penny zile zinaitwa changamsha ubongo ni:

Mjukuu wangu ametoa kitabu karibuni mtusapoti kwa wale wenye mapenzi mema - JamiiForums

Msaada tutani nahitaji suluhu hapa

Msaada wa haraka please, mke wa mtu anakufa hukuu

Msaada tutani: Dogo kamzimia 'Shuga Mami'

Msaada Wenu Plz: Moonlight Lady

Msaada wa haraka: Kaka wa kwenye foleni

Msaada wa fasta: Urasimu na maendeleo

Msaada tutani: Je mziki ni ndoa mpya?

Msaada wenu: Urafiki na watoto wa kiume

Msaada tutani: Black beauty is gone

Msaada wa kung'amua fumbo hili

Msaada mzuri: Kwenu mliozaliwa March

Msaada wa haraka please, mke wa mtu anakufa hukuu

Msaada hapa wapendwa; Ananipa kila kitu lakini ana kibamia

Msaada tutani: Mwanaume bora tu achepuke

Msaada tutani: Mzee alienipenda

Msaada tutani: Nimpe au nisimpe?!

Msaada wako: Dating life!

Msaada tutani: My Body Guard

Msaada tutani: Kubakwa kisaikolojia

Mapenzi ya udicteta

What you see is what you get!

Msaada tutani: Waoga!

Msaada tutani: Hali ya hewa

Msaada tutani: Bafu langu!

Shule imemshinda anatafuta 'sponsor'!

What you see is what you get!

Je, Bikra yako ulitoa ukiwa na umri gani na ukiwa wapi na nani alikutoa?

A friend without Benefit

Msaada tutani, ninanuka

Toxic Bachelors!

Wanaume Mungu anawaona!!

40 smthng Men Vs. 25-30 smthng Men

Je, mapenzi ya kweli hamnaga siku hizi?

Je, mapenzi ya kweli hamnaga siku hizi?

Akili za wanaume wanazijua wenyewe

Ogopa wanaume matapeli

Kwanini mapenzi yanakuwa magumu..

Ana Dudu Ndogo kama Remote ya DSTV, Nifanyaje?!

Hellow, Soul Mate Uko huku JF Au?! ...

What's your Faaaantaaasy?!...

Preety Boys na Ugly ones... Nani Zaidi?!

Mapenzi ya Porn huharibu mapenzi ya kweli

Ladies, hii ndio njia ya kuolewa fastaa

Wanaume Madomo Zege Bado Wapo?!

Bongo Bahati Mbaya tu~ Karibu Ulaya tu!

WANAUME MTAENDELEA KULOGWA MSIPOACHA HAYA ....

Mwanaume ajifungua mtoto nchini Marekani...

Wapenzi wasikilizaji na wapenzi watazamaji....

Wanawake wa Karen ya 21 Mungu Anawaona. ..

Msaada: Anataka kuolewa na kupata watoto ila hana bwana

Msaada: Nanilihii yake Imelala ndani ghaflaaa...

Ushauri: Aliomba MACHINE kwa Mungu, alipopewa akaikimbia...

SWALI: JE WEWE NI KIBONGE, SOMA INAKUHUSU...

SWALI: NANI ULIMPENDA ZAIDI NA HAUTAMSAHAU MAISHANI MWAKO...

SWALI: YUPI UNAMTHAMINI ZAIDI.. MWANAO (FAMILIA) QU MCHEPUKOO?!

SWALI: KOSA LANGU NI NINI SASA?!

Matukio yaliyokiki 2017 kwa Ufupi

USHAURI: KWENU KINA DADA WENYE UMRI 31 - 50...

USHAURI: UKIMTUKANA MTU SASA HIVI JELA MIEZI 6...

Wanaume nyie kwanini hamtaji jina la muhusika wakati wa Kufanya mapenzi?

SWALI: KIPI UNGEBADILI KWA MPENZI WAKO?...

Ushauri: Wanaume na ulimbukeni wa michezo ya 'tigo'

Michezo ya kupasua kondomu katikati ya tendo

Ushauri: Wavaa vimini na wanyoa viduku

Ushauri: Mnapotula mkumbuke kutupa sabuni ya kuoga

USHAURI: Wanaume wanatafutaga TOBO sio MAVAZI

Je, ni kweli saizi ya sehemu za siri za kike huendana na saizi ya mdomo?

Ushauri: Valentine Spesho

Mange Kimambi... Diamond Platinumz. ..Ali Kiba...

Swali: Diamond Platnumz na Wema wanafanya nini mjini jamani?..

Ushauri: Money Penny Kapendwa

USHAURI: Wanaume mnapochagua wanawake

REDIO NA TV HAMNA KUPIGA MIZIKI IFUATAYO!

Mpenzi wangu ni babu wa miaka 65 hanitoshelezi, nifanyaje?

SWALI: Nani ni Malkia wa Nguvu kwako huku JF?!

NIMEMALIZA KUANGALIA BONGO MOVIE...

swali: kwani lazima Upendwe?!

Mume Wangu aki-cheat Nafurahi Sana...

SWALI: MATUMIZI YA CONDOM KWAKO YAPOJE?...

Ulipomfumania Mke/ Mume/ Mpenzi wako Ulichukua hata gani?!

Ushauri: Tatizo sio Kibamia kama anajua kukitumiaa. ..

Kipenda roho hula nyama mbichi...

Happy birthday to malkia wa nguvu Money Penny

Swali: ahadi gani mlipeana vitandani mlishawahi kutimiziana?!

Ushauri: Matumizi ya Vidole katika tendo la ndoa yatumike vizuri..

Swali: Hivi Mabikra wanapataga Genye(hamu ya kufanya mapenzi?!)?!

Mnapopeana raha tumieni sauti ndogo, mnatukera majirani

Ushauri: Kama mumeo "ha-cheat" ni bora unyamaze kimya na umshukuru Mungu..

Ushauri: Dada zetu wa kilokole legezeni masharti muolewe

Swali: Nimempenda Binti wa Kilokole lkn hanitaki, nitampataje? !...

90 Days Rule Bado Inatumika kwenye Mahusiano?!

Nikiwa "Maarufu - Celebrity" Nitafanya yafuatayo:

Money Penny unaonekana unajua mapenzi sana, alafu mtamu na you are such a nice Girl...

Swali: Eti Kujipiga Punyeto ni Dhambi?!

Nampenda Mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege...

Swali: Je ukikosa kufanya mapenzi unachanganyikiwa?!

Ushauri: Bora uwe na mpenzi mtalaka kuliko mjane

Wangapi wanawajua wanamziki "MAKOMA"?!

Kwanini wanawake wenye Wowowo kubwa Huolewa na Wanaume Wembamba?!

SWALI: ULISHAWAHI KUWA NA MPENZI KICHAA?! ULIMWEPUKAJE?

Tahadhali: Ukinipenda Utakufa!..

News Alert: - Kwenu Wadada: Msikubali Kufanyiwa Hivi..

News Alert: - Ushauri: Wanaume husimama, Wanawake hukaa...

Tangazo: Style ya Mbwa inaleta Kansa na Presha!..

SWALI: Nani ni Mtamu Zaidi ya Mwenzake?!

Royal wedding: Tuna cha kujifunza kwenye mahusiano/ndoa hii

Ushauri: mtu anaetaka kufanikiwa aachane na "Mapenzi" ajali maisha yake!

News Alert: - Swali: Je Mapenzi, Umalaya, Utapeli, Uchawi ni moja ya Viwonder au Viwanda?!

Gigi Money na Mo Junior waendeleze penzi lao

Ushauri: Ukiwa na pesa, kumegewa ni siri ya ndani

Ushauri: Wadada acheni kuwaambia Wanaume wana vibamia!

SWALI: Hivi huyu Mrisho Mpoto ndio nani?!

Johari hongera kwa kupata bwana wa Kizungu

Ushauri kwa wanaume mnaofuga madevu!

Wapenzi wa 'garden love' nyoosha kidole juu

Mzee wa Upako anasema kuwa Maskini ni Ufala!

MHESHIMIWA RAISI NAOMBA UNICHAGUE NA MIMI BASI ...SINA AJIRA MWAKA WA 6 SASA

Mwanamke gani ungependa umuoe?

Mwanamziki Ruby Karibu tena kwenye Game...

Mzee wa Upako awaonya Alikiba na Diamond Platnumz waache Uzinzi...

You don't know what is like, to Love Somebody the way I Love You...

Hivi Jux utamuoa kweli mtoto wa Kipare Vanessa au?!

Bia Zangu Umekunywa, Chakula Umekula, Pesa Zangu Umechukua nauli nauliza Utatoa Utoi?!

Sex and the City ~ Movie na Series, nani anazikumbuka?!

Mibangi ya Wolper - JamiiForums

Mwafrica Aliemwokoa Mtoto wa Kizungu na kupewa Uraia na Ajira Nchini Ufaransa

News Alert: - Naskia Lulu anaolewa

Ushauri: Huduma ya Maji Taka (Mombasa Classic Baby!) iondolewe kwenye Jamii! - JamiiForums

Ushauri: Mpaka Tuoane Ndio Natoa skin-taiti.... - JamiiForums

Ushauri: Style ya Mombasa sio Doggy Style - JamiiForums

SWALI: Alisema amempendea Machine Mbona Kakubali kuwa Mke wa 2?! - JamiiForums

Ushauri: Wadada na Kuji-sexisha! - JamiiForums

Ushauri: Mume wa mtu ni mume wa mtu; keep out! - JamiiForums

WEMA SEPETU ANATAFUTA MWANAUME WA KUMUOA - JamiiForums

Ushauri: Tunaomba Risiti (Evidence - Vithibitishi) vya Mwanamke Ulietembea nae ukamuacha... - JamiiForums

Love is a Beautiful Thing! - JamiiForums

SWALI: Kwa Umri Ulionao Ulishatembea na Wanaume / Wanawake Wangapi? - JamiiForums

Swali: Jamani Danga ni Nani?! - JamiiForums

ASLAY KUWA NA SHOO YA WATU 100.. SABABU NI NINI? - JamiiForums

Natamani Ma-Celebrity wa Bongo wangekuwa kama Ma-Celebrity wa Nigeria - JamiiForums

Swali: Mwanaume Akijikuna Sehemu za Siri ina maana gani? - JamiiForums

Njia mbaya ya kuomba Unyumba ~ Kichwa Classic Baby! - JamiiForums

Swali: Mwanaume Akijikuna Sehemu za Siri ina maana gani? - JamiiForums

Nimetembea na wanawake 74, ndoa yangu ikiwa na miaka 5 tu - JamiiForums

Kunyonya Maziwa Huponyesha Kansa ya Matiti - JamiiForums

Ushauri: Vijana Msikimbilie Michezo ya Wakubwa! - JamiiForums

NETFLIX Yanunua Movie ya Kinigeria iitwayo Lion-Heart, Bongo movie lini itanunuliwa?! - JamiiForums

Bora Nibakie Kuwa Bikra Kuliko kuzaa na Mume wa Mtu... - JamiiForums

USHAURI: Ukimfumania Mpenzi wako Fanya haya... - JamiiForums

Kumbe Mbwa nao wanalambana?! - JamiiForums

Hongera Mdogowangu Wema Sepetu kwa Kufungua Duka - JamiiForums

Ukiguswa wapi hamu zako zinapanda haraka?! - JamiiForums

USHAURI: Ukimfumania Mpenzi wako Fanya haya... - JamiiForums

Kiwanda Changu Cha Mapenzi Kinafungiwa! - JamiiForums

Tz sweetheart ni nani? - JamiiForums

Unbreak my Heart, Say You Love ME Again... - JamiiForums

Swali: Je Unajua Kukatika Kitandani?! - JamiiForums

Shoo za Mapenzi za Kihuni - JamiiForums

Happy birthday retrospectively Wema Sepetu - JamiiForums

Mapenzi yangu kwa Shaba Ranks... - JamiiForums

Nimeokoka nampenda sana Yesu, Yesu ni kila kitu kwangu ila mimi sio mlokole mbululas!
Sasa usianze oooh mbona Penny unaandika hadithi kama wenye dhambi za dyu dyu na Chiu hauoni kuwa ni dhambi unamchukiza Mungu?...


Kwani Yesu alivyokuja alikaa na nani? si akina sisi wenye Dhambi! na akaonyesha upendo, au?

Mxiiiiuuuu tatizo lako ndio hilo umekremu sana ulokole unatakiwa uwe hivi na sio vile anafanyanga Money Penny... ohoooo ushafeli nduguuu... kila mtu na Talanta yake Mwisho wa zote napeleka mrejesho kwa Mkuu.. :D

Nasali Lutheran Azania Front Church Posta Mpya! KARIBUNIII

Umri wangu wa nini labda?! Kama napokea dyu dyu na kutoa chiu mimi si mkubwa jamaa

Was nice meeting you guys wa JF nashukuru kwa support yenu kubwa sana Mungu Awabarikii

Next story: Hii hii inaendelea
DATE: 2nd JANUARY 2018
TIME: 5 ASUBUHI TZ.

[MEDIA=youtube]PEGccV-NOm8[/MEDIA]
 
Well narrated...!

Hujaeleweka ,kujifungia chumbani kuangalia movie/series mpaka majirani wanahisi umesafiri..

Imekaaje hiyo, wakati una watoto wapo university... Why ukae chumbani kuangali movie, kwanini usikae sitting room na la familia...?

Nahisi kama wewe ni msela tu wa gheto, sema una vipaji vingine..!
 
Well narrated...!

Hujaeleweka ,kujifungia chumbani kuangalia movie/series mpaka majirani wanahisi umesafiri..

Imekaaje hiyo, wakati una watoto wapo university... Why ukae chumbani kuangali movie, kwanini usikae sitting room na la familia...?

Nahisi kama wewe ni msela tu wa gheto, sema una vipaji vingine..!
I wish uone my bedroom nilivyoipambaaa uuuwi hautataman kutokaaa

Huamini kama nina watoto au roho inakuuma nina watoto wakubwa?!ahahahaha
 
Kamakipaji cha kujieleza kweli unacho maana inaobekana unaweza jaza dibaji ya Love Stories Encyclopedia kwa
kazi ulizoziandika. Hongera kwa kipaji mkuu Money Penny
 
Back
Top Bottom