Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,891
Nafikiri kuna mambo yanatakiwa kuwekwa katika vitabu ili kuweka historia sawa. Tunahitaji vitabu vidivyo kuwa kna muegemeo wowote, vitakavyotoa fact tu. Unafikiri vitabu kuhusu nini? Mimi nafikiri.
1. Kitabu kuhusu kashfa ya Lowasa na kujiuzulu kwake.
2. Kitabu kuhusu maisha ya JP Magufuli.
3. Kitabu kuhusu sakata la EPA.
4. .............
1. Kitabu kuhusu kashfa ya Lowasa na kujiuzulu kwake.
2. Kitabu kuhusu maisha ya JP Magufuli.
3. Kitabu kuhusu sakata la EPA.
4. .............