Ni ushamba, roho mbaya au ni umaskini?

Ni ushamba, roho mbaya au ni umaskini?

Mwombe Mungu atakusaidia pili tafuta kitabu kinaitwa Smart love mwandishi ni Nancy... Kitakusaidia pia
Nasali kila siku na naamini uwepo wa Mungu kwa sababu kama niliweza kuacha pombe naamini ata huu ujinga nitaacha kama hutojali naomba uniambie wapi nitapata hiko kitabu mkui wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujiamini....una wivu wa kijinga...una hasira maana umewekeza kwake hela nyingi sana so kila Mara roho inakuuma tu.

Sasa hebu chukulia hiyo hela kama umempa mtu wako wa karibu,,, mtu unayempenda..mtu aliye na malengo naye ili roho isiwe inakuuma.
Halafu kama huwa unakunywa pombe hebu acha.
 
Hujiamini....una wivu wa kijinga...una hasira maana umewekeza kwake hela nyingi sana so kila Mara roho inakuuma tu.

Sasa hebu chukulia hiyo hela kama umempa mtu wako wa karibu,,, mtu unayempenda..mtu aliye na malengo naye ili roho isiwe inakuuma.
Halafu kama huwa unakunywa pombe hebu acha.
Asante kwa ushauri mtoto wa baba
Nitaufanyia kazi
Nitaanza kujiamini sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuacha tabia za kishetani ni shida sana
Nashukuru Mungu nilifanikiwa kuacha pombe for 6yrs sasa sijagusa ila hii ya ubabe na kuto kumuamini huyu binti nimeshindwa kabisa ingawa sijawahi kuona tukio la ajabu zaidi ya meseji tu za kutongozwa

Sent using Jamii Forums mobile app
MUOE...
'5yrs' unasoma PhD in yeye?[emoji848]

Sent using Infinix Hot 5
 
Nasali kila siku na naamini uwepo wa Mungu kwa sababu kama niliweza kuacha pombe naamini ata huu ujinga nitaacha kama hutojali naomba uniambie wapi nitapata hiko kitabu mkui wangu

Sent using Jamii Forums mobile app


Kusali kila siku bado haitoshi kama utakuwa unasali kutimiza ratiba na si kutafuta personal relationship na Mungu daily ufeel uwepo Wa Mungu moyoni mwako na si kwa uzoefu unaousikia kwa wengine... Pia kama hutojali waweza mfatilia huyu PR Pavel Goia YouTube ana somo moja linaitwa the power of prayer naamini litakuongezea kitu pitia na yake mengine ana masomo mazuri sana...

Hicho kitabu nilikiona kwa wainjilisti wakisabato unaweza tembelea kanisa lolote lao na ukawaeleza itakuwa rahisi kukipata hata online kipo...
 
Tatizo umejiaminisha hata nikimfanya nini huyu hana pa kwenda...
 
pole je ulivyokua mtoto hukuwa unanyang'anywa toy za kuchezea na kupewa mtoto mwingine..,?lol

unaangalia filamu zenye violence sana,?

je unaamini bila kupienyeza rupia hupendwi??

lol

Badala ya kuangalia filamu za kijasusi anza sasa kuangalia filamu za kawaida,zenye mapenzi au dini….repeated exposure ya violence inafanya mtu anakuwa violent...

Badala ya kumuhonga mpenzi wako mahela mengi,mnunulie vitu vidogo vidogo ambavyo viko meaningful ….akipokea na kuonyesha furaha THEN NA WEWE UTAKUA NA FURAHA,..hakuna ugumu wowote mkuu..tukifanya yanayompendeza tunaowapenda wakafurahi na sisi huwa tunafurahi pia...unless ni mchunaji..kama ni mtu wa kawaida..hii trick will work,and if not jua mwenzio anakugeuza kitega uchumi.

Badala ya kushinda kwenye kumbi za starehe,fanyeni vitu vingine ambavyo vitawaweka karibu bila ya kuspend mamilion,labda mtembelee ndugu,tembelea watoto yatima etc..itakufanya uhisi una purpose in life,na pia unaspend MUDA.na mpenzi wako na sio HELA.

There's nothing wrong with you mkuu,you just need to be given/shown love so that you can give love.
 
Pole ww mnyanyase unavyotaka ww,cz kama unatambua unayomfanyia siyo sawa basi ujue unafanya kusudi ila nalotaka kukwambia ipo siku atachoka ataamua ku move on na maisha mengine na wala kurudisha hvyo vitu vyako hataona tabu ila ndo hataka kutaka tena kamwe so kama unajua unampenda na kumuhitaji acha kumnyanyasa akyamungu ingekuwa mm ungejuta kunifaham unipige pige tuu maana uliambiwa mwili wangu ni uwanja wa mazoezi ungenitambua ungejua roho mbaya yangu ipo wapi yani nachukia wanaume wa aina yako,ebu nipe namba ya hyo dada nimshauri cha kufanya.
 
Huo ni ugonjwa au vema nikaandika ni tatizo la kiakili ulilonalo. Ni vema ukaonane na daktari upate tiba na ushauri.
 
Huenda labda kakupendea kipigo unachompa, niliwahi sikia kuna wanawake wa mkoa fulani bila kipigo anaona kuwa humpendi....chunguza kabila lake au mkoa anaotoka mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau kuna tabia imekomaa kwa akiri yangu kwa namna ambayo nimeshindwa kabisa kuikontrol au kuacha kabisa.
Kifupi ni kwamba nina girlfriend wangu niko nae for 5years sasa kwa up and down ila kuna hii tabia ya kuto kumuamini kabisa na kumletea ubabe kila saa na sometime kupelekea kumpiga mpaka anaharibika kabisa na kuanza kumuhurumia na kumtibu then tukishazinguana kama hivyo natamani kumuacha na kumnyang'anya kila kitu nilichomnunulia kwa maana ya vitu vyote vya ndani na duka nililomfungulia lakini nashindwa then tunaelewana maisha yanaendelea
Kifupi hana raha namnyanyasa sana ila still ananipenda sasa nimeona ni share na wadau ili muweze kunishauri kisaikolojia kuwa hzo tabia namfanyia huyo mtoto wa watu ni ushamba, wivu au nina roho mbaya?

Asanteni
Napokea michango yoyote ya kunijenga na kuni cancel kisaikolojia hata matusi pia nisije nikaishia jela.



Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...bila kukuficha ....huo ni ushamba...utampigaje mwanamke?.mwanamke anapigwa kwa kosa la wizi tu...ni ulimbukeni kutamani kumyang'anya mtu zawadi ulizompa baada kukupa raha....[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Back
Top Bottom