Ni ushamba, roho mbaya au ni umaskini?

Ni ushamba, roho mbaya au ni umaskini?

Unataka cancelling bure mkuu?

hii ni taaluma ya watu na wamesomea

Toa ofa yako tuku cancel.
 
Angaliansana wanasema ukila na kipofu usimshike mkono ipo siku aoka kupigwa na hauto amini,
Zaa naye mpe heshima ya kuwa mke wako mkono utakua mzito kumpiga kwani anakulelea damu yako..
Uzuri wake hata wewe mwenyewe roho inakusuta amua kutokumpgia lakini jitahidi kumuani,,
Sisi wanau!e tunatongoza na kuwagonga wanawake vichaa itakua mke wako gena anashinda dukani kwenye kimvuli anashika shika pesa ametakata kwanini asitongozwe?
 
Kuna siku atachoka kuvumilia hayo manyanyaso, atakuacha japo anakupenda, ndipo utakapoona umuhimu wake!
 
Write your reply...kupiga mwanamke japo ni muhimu katika kudumisha hadhi ya uanaume ila Kama unafikia kumuharibu unazingua broo akikosea sanaa mkanye akieendelea chapa ata vibao sio kufikia huko halafu kupiga iwe option ya mwisho kabisa mnaweza mkakaa chini mkayajenga


halafu unakaaje na mtoto wa watu for five years hujanuoa acha hizoo broo unazingua weka mtoto ndani hapo mshajuana vya kutosha sio lazima ufunge ndoa harusi ya gharama


baada ya kusoma huu ushauri mkuu na conclude uache roho mbaya embu Fanya ibada pengine utabadilika kuwa na moyo wa huruma baada ya hapa mfuate kaa nae chini muombe samahan kwa vimbwanga ulivomfanyia toka mwanzo lazima atakua ameyaweka rohoni halafu sjui hilo duka vitu vya ndani huo ni wema tu. tenda wema sepa zako usingoje kulipwa don't expect much


you determine your life story by the choices you make



NB: nipo hapa kwa pusha kwenye mjengo mbovumbovu navuta bangi karibu mkuu tupate kitu roho inapenda
 
Wadau kuna tabia imekomaa kwa akiri yangu kwa namna ambayo nimeshindwa kabisa kuikontrol au kuacha kabisa.
Kifupi ni kwamba nina girlfriend wangu niko nae for 5years sasa kwa up and down ila kuna hii tabia ya kuto kumuamini kabisa na kumletea ubabe kila saa na sometime kupelekea kumpiga mpaka anaharibika kabisa na kuanza kumuhurumia na kumtibu then tukishazinguana kama hivyo natamani kumuacha na kumnyang'anya kila kitu nilichomnunulia kwa maana ya vitu vyote vya ndani na duka nililomfungulia lakini nashindwa then tunaelewana maisha yanaendelea
Kifupi hana raha namnyanyasa sana ila still ananipenda sasa nimeona ni share na wadau ili muweze kunishauri kisaikolojia kuwa hzo tabia namfanyia huyo mtoto wa watu ni ushamba, wivu au nina roho mbaya?

Asanteni
Napokea michango yoyote ya kunijenga na kuni cancel kisaikolojia hata matusi pia nisije nikaishia jela.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kamata jinga hilii tia ndani,, hii type of a mijitu ndo inanyanyasa jinsia ya kike alaf inajisifu use***e mbele ya kadamnasi,,, ptuuuu,, muraa unafaa kugechwa muraa ili utambue maumivu kama unayo mpa mwenziiio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sizani kama ni umaskini kifupi niko njema kimtindo so vihela hela tumilioni 10-, 20 za kuhonga sio issue kwangu kaka
Nishahuri tu nifanyeje niache hii tabia

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa jibu hili, inawezekana huyo mwanamke kwasasa yupo kwako tu kwasababu wewe ndie msaada kwake ama hata kwa familia yake, na nina hakika huyo bibie hakupendi tena ingawa amekua mkimya na anavumilia tu.
 
Kama umeshatambua siyo jambo zuri unaomba ushauri gani zaidi ya kuacha tu!

Halafu hizo tabia za kumnyang'anya mwanamke vitu mkigombana ambavyo ulimnunulia wakati mkiwa poa ni ushamba tu!
 
Sizani kama ni umaskini kifupi niko njema kimtindo so vihela hela tumilioni 10-, 20 za kuhonga sio issue kwangu kaka
Nishahuri tu nifanyeje niache hii tabia

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda anavumilia tu kwa kuwa unavihela na anajua anachokifanya ila lengo lake likitimia bs siku hyo hutaamini atakuacha unalia! Mwanamke ni kiumbe mwingine! We nenda nae vzr punguza kumpiga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamtesa mtoto wa watu hata mapenzi sidhani kama anayafurahia.Funga naye ndoa na umpe heshima ya kuwa mke.mambo yakupigana pigana tuwaachie watu ambao hawajastaarabika.
 
Wadau kuna tabia imekomaa kwa akiri yangu kwa namna ambayo nimeshindwa kabisa kuikontrol au kuacha kabisa.
Kifupi ni kwamba nina girlfriend wangu niko nae for 5years sasa kwa up and down ila kuna hii tabia ya kuto kumuamini kabisa na kumletea ubabe kila saa na sometime kupelekea kumpiga mpaka anaharibika kabisa na kuanza kumuhurumia na kumtibu then tukishazinguana kama hivyo natamani kumuacha na kumnyang'anya kila kitu nilichomnunulia kwa maana ya vitu vyote vya ndani na duka nililomfungulia lakini nashindwa then tunaelewana maisha yanaendelea
Kifupi hana raha namnyanyasa sana ila still ananipenda sasa nimeona ni share na wadau ili muweze kunishauri kisaikolojia kuwa hzo tabia namfanyia huyo mtoto wa watu ni ushamba, wivu au nina roho mbaya?

Asanteni
Napokea michango yoyote ya kunijenga na kuni cancel kisaikolojia hata matusi pia nisije nikaishia jela.



Sent using Jamii Forums mobile app
sio mbaya, mwanamke usiishi nae kwa huruma
 
Back
Top Bottom