Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 10,488
- 20,039
Na wasiwasi wewe ndio huyo mhanga, samahani lakini
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Ahahhaahhahahahahaahhaah kila mtu yupo Negative[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]JF wote ni maisha mazuri....ila sasa ukisema kila mtu ana ngoma hahahaa kila mtu anakimbia!!
Mh!Ushamba[emoji777]
Umasikini[emoji818]/[emoji777]
Roho mbaya[emoji818][emoji818][emoji818]
Tukae mezani mkuu hili tatizo linanisumbua sana na nimelichoka atiUnataka cancelling bure mkuu?
hii ni taaluma ya watu na wamesomea
Toa ofa yako tuku cancel.
Aisee ni maneno mazito haya mkuu ila naona bado hujanipa way foward ya kuacha hz mamboAngaliansana wanasema ukila na kipofu usimshike mkono ipo siku aoka kupigwa na hauto amini,
Zaa naye mpe heshima ya kuwa mke wako mkono utakua mzito kumpiga kwani anakulelea damu yako..
Uzuri wake hata wewe mwenyewe roho inakusuta amua kutokumpgia lakini jitahidi kumuani,,
Sisi wanau!e tunatongoza na kuwagonga wanawake vichaa itakua mke wako gena anashinda dukani kwenye kimvuli anashika shika pesa ametakata kwanini asitongozwe?
Hapana mkuu labda umenielewa vibaya sio kwamba naonga hzo pesa but ni vile nimemweka sawa kama kumpangia nyumba kumwekea vitu vya ndani na kumpa mtaji wa duka wa kama 6m hv mkuu.Nimeshangaaa sana eti tumilioni 10-20 za kuhonga kwake sio tatizo dooooh
Sent using Jamii Forums mobile app
Madam hyo siku naweza pata kichaa au kufa because nampenda sana na ndio.maana inapelekea kuwa na tabia hz za ajabu ajabu naomba unisaidie niache hz tabia nisije nikamkosa huyu binti maana nishainvest vya kutosha kwake madamKuna siku atachoka kuvumilia hayo manyanyaso, atakuacha japo anakupenda, ndipo utakapoona umuhimu wake!
I appriciet Bro kifupi ni kwamba swala la kuoa bado japo umri unaruhusu ila bado natafakari namna ya kujenga trust kwa huyu binti ili walau niwe namuamini but nimechemka though nataman sana iwe hvyoWrite your reply...kupiga mwanamke japo ni muhimu katika kudumisha hadhi ya uanaume ila Kama unafikia kumuharibu unazingua broo akikosea sanaa mkanye akieendelea chapa ata vibao sio kufikia huko halafu kupiga iwe option ya mwisho kabisa mnaweza mkakaa chini mkayajenga
halafu unakaaje na mtoto wa watu for five years hujanuoa acha hizoo broo unazingua weka mtoto ndani hapo mshajuana vya kutosha sio lazima ufunge ndoa harusi ya gharama
baada ya kusoma huu ushauri mkuu na conclude uache roho mbaya embu Fanya ibada pengine utabadilika kuwa na moyo wa huruma baada ya hapa mfuate kaa nae chini muombe samahan kwa vimbwanga ulivomfanyia toka mwanzo lazima atakua ameyaweka rohoni halafu sjui hilo duka vitu vya ndani huo ni wema tu. tenda wema sepa zako usingoje kulipwa don't expect much
you determine your life story by the choices you make
NB: nipo hapa kwa pusha kwenye mjengo mbovumbovu navuta bangi karibu mkuu tupate kitu roho inapenda
Asante kwa kunishahuri mkuuKamata jinga hilii tia ndani,, hii type of a mijitu ndo inanyanyasa jinsia ya kike alaf inajisifu use***e mbele ya kadamnasi,,, ptuuuu,, muraa unafaa kugechwa muraa ili utambue maumivu kama unayo mpa mwenziiio
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno mazito sana haya mkuu though bado hajaonesha dalili za kunichokaKwa jibu hili, inawezekana huyo mwanamke kwasasa yupo kwako tu kwasababu wewe ndie msaada kwake ama hata kwa familia yake, na nina hakika huyo bibie hakupendi tena ingawa amekua mkimya na anavumilia tu.
Nimekuelewa mkuu sasa ndio maaana naomba ushahuri kwako niache huu ushamba mkuu wanguKama umeshatambua siyo jambo zuri unaomba ushauri gani zaidi ya kuacha tu!
Halafu hizo tabia za kumnyang'anya mwanamke vitu mkigombana ambavyo ulimnunulia wakati mkiwa poa ni ushamba tu!
Mkuu hii post ilikuwa kitambo sana kumbe haikuwa ubahili niliji access vibaya ilikuwa roho mbaya tuNaachwa kila siku na wasichana kwa ajili ya tabia yangu ya ubahili
Naachwa kila siku na wasichana kwa ajili ya tabia yangu ya ubahili - JamiiForums
Asante kwa ushauri mkuuHuenda anavumilia tu kwa kuwa unavihela na anajua anachokifanya ila lengo lake likitimia bs siku hyo hutaamini atakuacha unalia! Mwanamke ni kiumbe mwingine! We nenda nae vzr punguza kumpiga
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushahuri mkuu naomba nipe mbinu za kuacha hz mambo nisije mkosa huyu binti nampenda sanaUnamtesa mtoto wa watu hata mapenzi sidhani kama anayafurahia.Funga naye ndoa na umpe heshima ya kuwa mke.mambo yakupigana pigana tuwaachie watu ambao hawajastaarabika.
Du mobutu aisee mi napambana niache hzo mambosio mbaya, mwanamke usiishi nae kwa huruma
Sijakuelewa mkuuNa wasiwasi wewe ndio huyo mhanga, samahani lakini
VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Kanivumilia sana kabla hata issue zangu haziko sawa she knows me to the foolest but ndo hvyo ananipenda nampenda hzo changamoto ashazizoe sasa naona umefika muda wa kuziacha kindly naomba mbinu niwe mtu mwema kwake kwa sababu maugomvi yote huwa chanzo ni mimi na naleta ubabeMimi naona unayafanya hayo yote kwa kuwa unajiona unammiliki, na tumisaada unatompa roho inakuuma kwani unafanya ili ummiliki. Na huo ndio umasikini wenyewe.
Lkn lazima uijue karma. Na anakuvumilia kwa kuwa unakauwezo siku ukifeli kimaisha hutaamini kama ni yeye.
Jenga upendo sio wivu.