Alwatan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 409
- 129
Unajua unaweza kuwaunapenda kutetea jambo lakini ukawa mjinga kutokana na uwezo wako wa kuelewa........kwa taarifa yako thamani ya kweli ya nyumba ya sitt kwa mwezi ni shillingi millioni tatu na nusu na alioikodisha kwa bunge ni Ruppia investment....na wao sio ya kwao ila wamekodi kwa wakenya na wanakula cha juu zaidi ya million saba,....masaki hakuna nyumba ya familia inayizidi dola elfu 5,Nitajie hio nyumba sio unalopokatu hapa .huu ni wizi
Tusitoke sana nje ya mada, field ya real estate ndio ugali wangu, hasa maeneo ya oysterbay, masaki na ada estate, kwa hiyo sibahatishi price za maeneo hayo.
Kwa kuanzia tu anza kwa haohao Rupia waulize kupangisha lile hekalu lao la mwaya street masaki wanakula kiasi gani kwa mwezi...usisahau kurudi na jibu hapa jamvini!
Hapo hatujagusa mijengo ya mitaa ya coral beach, masaki, utapagawa!