Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

viongozi wetu ni kama mafia au drug dealers they are incapable of hardwork and earning their living the old fashioned way.Nobody should get wealthy doing a government job,you can earn a decent living thats it.They wanna be wealthy they need to go into private sector but they are so dumb they can't compete in real world
 
Hili ndio tatizo letu kubwa sana. Tunahukumu haraka sana! Haki (justice) inataka tuhukumu baada ya kuwa na taarifa zote muhimu. JF haipaswi kuonea wala kupendelea, bali kusimamia ukweli na ukweli mtupu!

Hata hivyo hukumu hizi zinatokana na hasira ambazo watu wanazo kuhusu hali ya nchi yetu na ufisadi uliokithiri. Ni mchakato muhimu kupitia (yaani kuwa na hasira). Ninaamini baadae tutakuwa tunahukumu kwa haki.
Mr. Kabwe,
We think differently, mie siwezi kabisa kuelewa, umasikini uliokithiri katika nchi kama hii, the poorest of the poor; to rent a house for a speaker at USD 8000 and buy him furniture at USD 200,000; one fourth of a million dollar. Zitto how much Tanzania is making? Dr Slaa campaineg at the parliament not to raise wages for parliamentarians, that was positive; nchi hii ni masikini mno hata budget yako iko subsidized by donors.

Jamani, by sitting on the best furniture in the world, and having a very expensive house in the world he can think and decide properly?

Ati wakati wa kumbeza Dr. Slaa kule parliament wabunge wengi wali-compare marupurupu ya nchi zingine, wengine walisema ati marupu rupu yetu ni chini hata uki-compare Uingereza. These guys have a different thinking; they compare themselves to the first world; we are in Tanzania the third poorest country in the world.

Mr. Kabwe, the first lesson in my business was to value the money I make. If the very people who lead us do not know the value of money then it is really terrible. We are wasting too much, we have many things to do!
 
Mr. Kabwe,
We think differently, mie siwezi kabisa kuelewa, umasikini uliokithiri katika nchi kama hii, the poorest of the poor; to rent a house for a speaker at USD 8000 and buy him furniture at USD 200,000; one fourth of a million dollar. Zitto how much Tanzania is making? Dr Slaa campaineg at the parliament not to raise wages for parliamentarians, that was positive; nchi hii ni masikini mno hata budget yako iko subsidized by donors.

Jamani, by sitting on the best furniture in the world, and having a very expensive house in the world he can think and decide properly?

Ati wakati wa kumbeza Dr. Slaa kule parliament wabunge wengi wali-compare marupurupu ya nchi zingine, wengine walisema ati marupu rupu yetu ni chini hata uki-compare Uingereza. These guys have a different thinking; they compare themselves to the first world; we are in Tanzania the third poorest country in the world.

Mr. Kabwe, the first lesson in my business was to value the money I make. If the very people who lead us do not know the value of money then it is really terrible. We are wasting too much, we have many things to do!

Je wajuwa mbunge wakenya analipwa fedha nyingi kuliko mbunge wa uingereza?

Hivi Nyani siku hizi kapolea wapi?
 
Mr. Kabwe,
We think differently, mie siwezi kabisa kuelewa, umasikini uliokithiri katika nchi kama hii, the poorest of the poor;

That is where people are wrong; are we "that" poor or we believe that we are that "poor" regardless of the evidence to the contrary?

to rent a house for a speaker at USD 8000 and buy him furniture at USD 200,000; one fourth of a million dollar.

Can you give me a range of the highest house rent in Dar you know of and the median price for buying a house in a decent area with most of modern amenities?
nchi hii ni masikini mno hata budget yako iko subsidized by donors.

Do you really think our budget is subsidized by donors because we are "maskini mno"?


Jamani, by sitting on the best furniture in the world, and having a very expensive house in the world he can think and decide properly?

we are in Tanzania the third poorest country in the world.

this is a little bit irritating.. tumeimbiwa huu wimbo wa "sisi ni maskini", "nchi yetu ni maskini" na tumeanza kuamini kabisa. IO.. Are we really that poor?

We are wasting too much, we have many things to do!

If we are wasting too much;.. are that poor?
 
Pamoja na BSc yangu ya UDSM ya mwaka 1999 na nimeajiriwa serikalini tangu 2001, I am being paid almost 425,000Tsh per month (take home is 320,000Tsh)! Its time for me to engage in politics...!!
 
That is where people are wrong; are we "that" poor or we believe that we are that "poor" regardless of the evidence to the contrary?



Can you give me a range of the highest house rent in Dar you know of and the median price for buying a house in a decent area with most of modern amenities?


Do you really think our budget is subsidized by donors because we are "maskini mno"?


Jamani, by sitting on the best furniture in the world, and having a very expensive house in the world he can think and decide properly?



this is a little bit irritating.. tumeimbiwa huu wimbo wa "sisi ni maskini", "nchi yetu ni maskini" na tumeanza kuamini kabisa. IO.. Are we really that poor?



If we are wasting too much;.. are that poor?
Mwanakijiji,
Hivi wewe hujui kuwa tuko poor? Hivi mtu kama hawezi kula na hana mali pa kulala, no medicare, no social security after retirement hiyo siyo suicide? C'mmon unataka nikukumbushe?

Regarding properties in Darisalamu: One thing I will tell you this country has got no regulatory body; hebu niambie, hizi properties kama kweli ziko valued kwa bei inayotakiwa. Infact Darisalamiu au let say Tanzania tunaishi kwa bora kumekucha, we have no system. Don't ask me to give you examples, you're travelled; so please everybody in this country is trying to take his or her ride. to rip.

Believe me we are poor, and we have failed to convert our "existing wealth" into really wealth. Tuna madini,mito, vyote hivyo ni utajiri lakini how have they benefited us? We are still big beggers, and that we get from those givers is taken to pay people like Mr. Sita.
 
Tatizo la hii forum watu wameshakariri ya kuwa Ufisadi ni pale tuu unapofanywa na Rostam et al.
 
Last edited:
Mwanakijiji,
Hivi wewe hujui kuwa tuko poor? Hivi mtu kama hawezi kula na hana mali pa kulala, no medicare, no social security after retirement hiyo siyo suicide? C'mmon unataka nikukumbushe?

Regarding properties in Darisalamu: One thing I will tell you this country has got no regulatory body; hebu niambie, hizi properties kama kweli ziko valued kwa bei inayotakiwa. Infact Darisalamiu au let say Tanzania tunaishi kwa bora kumekucha, we have no system. Don't ask me to give you examples, you're travelled; so please everybody in this country is trying to take his or her ride. to rip.

Believe me we are poor, and we have failed to convert our "existing wealth" into really wealth. Tuna madini,mito, vyote hivyo ni utajiri lakini how have they benefited us? We are still big beggers, and that we get from those givers is taken to pay people like Mr. Sita.

Kwamba we are poor I can say no! We do have enough resources to satisfy our basics needs and have proper social facilities in our country, only and big problem we have is unequal distribution of our limited resources!
If we can pay USD8,000 for house rent are we really poor!? We are spending so much money on unnecessary things!!
 
Viongozi wa Tanzania ni wabinafsi,kwao kuwa kiongozi ni mradi.wengi wanagombea vyeo kujinufaisha kiuchumi.kwao kuwa kiongozi ni kama ka-guarantee flani hivi ya kuishi kwa raha duniani.maana hakuna kwengine utakapopewa such a long honeymoon as a leader kama kwetu tanzania.

tukiwaambia wapunguze matumizi wanasema mbona UK wanalipwa kidogo!duh!tukiuliza Dawa na Barabara za uhakika they go defensive!oh sie ni 3rd world country,sie masikini,blah,blah nyiingi.no policy,no plan,wapo wapo tu.

when studying history kina chifu mangunge used to annoy me for their stupidity,BUT i have no idea where our current leaders will rank 100 years later in the history of this country.maybe thieves,or robbers.
 
Mwanakijiji,
Hivi wewe hujui kuwa tuko poor? Hivi mtu kama hawezi kula na hana mali pa kulala, no medicare, no social security after retirement hiyo siyo suicide? C'mmon unataka nikukumbushe?

Hiyo yote ni dalili tu ya tatizo;

Regarding properties in Darisalamu: One thing I will tell you this country has got no regulatory body;

tatizo la kwanza;

hebu niambie, hizi properties kama kweli ziko valued kwa bei inayotakiwa. Infact Darisalamiu au let say Tanzania tunaishi kwa bora kumekucha, we have no system.

tatizo la pili;

Don't ask me to give you examples, you're travelled; so please everybody in this country is trying to take his or her ride. to rip.

I don't know if its "everbody" but probably the third problem sababu ya matatizo ya kwanza na yapili.
Believe me we are poor, and we have failed to convert our "existing wealth" into really wealth.

internal contradiction my friend; if we are poor how is it that we have failed to convert our "wealth"?
Tuna madini,mito, vyote hivyo ni utajiri lakini how have they benefited us?

Because.... "we are poor" your words..

We are still big beggers, and that we get from those givers is taken to pay people like Mr. Sita.

is it because we are poor or we are rich (seems we can afford it!)!
 
Kwamba we are poor I can say no! We do have enough resources to satisfy our basics needs and have proper social facilities in our country, only and big problem we have is unequal distribution of our limited resources!
If we can pay USD8,000 for house rent are we really poor!? We are spending so much money on unnecessary things!!

slowly we are moving to the bigger picture!
 
Tatizo la hii forum watu wameshakariri ya kuwa Ufisadi ni pale tuu unapofanywa na Rostam et al.

tatizo ni kuwa kuna wengine wanataka kupandikiza ufisadi ili mradi ionekane ni ufisadi, hasa kama haumuhusishi Rostam!
 
Implies=> Tumseme Raisi tusimseme Kikwete, Tusimseme Lipumba tuseme CUF, Tusimseme Sitta tuseme Bunge (au Spika wa bunge). Mmmm; ati hapo sijui kuna mantiki ipi unataka kutwambia? The president is Mr. Kikwete, what is a difference between critisizing Kikwete and his Presidency? Bunge la Sita na Sita; wapi na wapi?

Inaonekana kuna mgongano kati ufahamu na hapa ndipo tunapokwama katika kujadili ,ila ndi mjadiliano.
Hao akina Kikwete akina Sita Lipumba ,yako mambo ya kusemwa kwao na ni pale wanapozungumza ndio unaweza kuvaana nao ,kama tunavyomuona Sitta akikingia ubavu wanaoulizwa masuala ya papo kwa pao.

Hapa kunajadiliwa viwango vya mishahara katika vyeo vya kiserikali na si vinginevyo ,mfumo mzima wa mishahara ya serikali na viwango vyake ndio lengo kuu ,katika kuvijadili ,aidha hili halimhusi Kikwete wala Sita au Lipumba na wengine tele.

Vyeo na kima cha mshahara haviendani na hali ya WaTanzania walio wengi ,na hawa tunaowataja wameyakuta na wanayaendeleza pengine na kuyazidisha ,sasa faida ya majadala sio kwenda nao mbali sana ,kinachotakikana ni kujenga hoja nzito ambayo itakubalika kwa wadau ambao ni wananchi wapiga kura.Na nini wanatakiwa wafanye.

Pengine tukaona kwa upigaji kura itatuchukua muda mrefu kusahihisha na kuuondoa ufisadi huu kutokana na ukiritimba wa CCM (Hapa hakuna Kikwete hiki Chama kipo zaidi ya miaka 50 wanapokezana vijiti),nini kifanyike ?

Ni kuushawishi umma wa WaTanzania kuingia mabarabarani kupinga mishahara hii mikubwa ya aina yake ,hii ni kazi ya vyama vya upinzani ,labda hilo itaonekana ni kutaka kuleta fujo.Ila ni njia muhimu kwa siku hizi katika ulimwengu wanyonge kupinga au kuipinga Serikali kutokana na ubadhirifu unaovuka mipaka.

Jengine ni kufanya tathmini kwa nchi majirani hata za Ulaya namna watu kama hawa wanavyolipwa ,ikiwezekana tutafute mshauri muelekezi wa kutufanyia na kutuondolea mirija hii.Ila hili nalo litakuwa la ajabu.

La mwisho ambalo linaweza kuzua mvutano ni kwa upande wa vyama vya upinzani ambacho kitaweza kubeba jukumu la kubadilisha na kupitia upya mfumo wa kiwango cha lala salama kinachotumiwa na Sulatani CCM kulipa wafuasi wake wa ngazi za juu kuwarubuni ili ifanye itakavyo kama tunavyoona ,ukienda mabenki wanakwapua kwa ajili ya Uchaguzi ,wakienda kwenye vyombo vya dola tunaona vinavyotumika,wakienda mahakamani hata kama wanamakosa wanaibuka videdea ,bungeni wabunge wanaunga mkono na Spika anashangalia.

Ingawa bado fedha hio ukiibadilisha kwa dola si pesa kitu labda ile ya raisi kidogo inatia homa na akimaliza utamu wa Uraisi anafungiwa nyingine.Hata hivyo inabidi kwanza tujue International salari inasemaje ,sio tunakwenda mbio tu kama tunaozungumzia private busness,mnaweza mkapanga mkakuta Mkuu wa mkoa inabidi apokee laki moja.
 
politics aside haiingii akilini kwa nchi yenye GDP ya less than $1000 kumlipa jaji mkuu same amount as a country with a $40,000 GDP!!

mbona sie walalahoi tukiomba nyongeza ya mshahara mnatuambia tusidhani hapa ni marekani?nchi yetu bado masikini?!
 
Kwamba we are poor I can say no! We do have enough resources to satisfy our basics needs and have proper social facilities in our country, only and big problem we have is unequal distribution of our limited resources!
If we can pay USD8,000 for house rent are we really poor!? We are spending so much money on unnecessary things!!


I am a little bit confused. . .
 
a. Mshahara wa Spika uwe kiasi gani kwa mwezi?

usiwe zaidi ya mara kumi ya kima cha chini cha serikali!piga hesabu mwenyewe
b. Apewe gari/magari mangapi na ya aina gani?
kwa kuwa anapanda gari moja "at a time" then apewe moja,na lisizidi CC 2000/2.0L
c. Nyumba yake kama Spika iwe na thamani ya kiasi gani na iwe na ukubwa gani? na amenities gani?
kwa kuwa ni mtumishi wa umma wa siku nyingi si vibaya akiishi nyumbani kwake,kama anayo nyumba.kama hana national House can come into action.200Sqm,wafanyakazi wa ndani,naamini $50,000 inatosha.

d. Kama ni ya kukodi, iwe kati ya kiasi gani na maeneo gani?
hatakiwi kuishi nyumba ya kukodi,he is not in vegas or something.mwanzo wa mianya ya rushwa hii.
e. Je apewe ulinzi wa nyumba na binafsi na wa idadi gani ya walinzi?
polisi/wanajeshi wa 3 wa kumlinda(payrol yakutoka serikalini sio private).

f. Je awe na bima ya afya inayogharimiwa na serikali au la na yenye kiasi gani?
iwe kama ya wafanyakazi wengine tu wenye salary scale yake.no trip za ulaya.akienda muhimbili akiambiwa hamna X-ray.kesho akienda bungeni atasisitiza ziwekwe!

g. Je akisafiri kwenda nje kikazi safari zake zisidi kiasi gani? Je aende na msaidizi yeyote?
safari nyingi za nje za hawa watu zinalipiwa na nchi wanazoalikwa.wasitupige chenga hapa!it should be the lowest hadi ajute kuwa kiongozi,apate uchungu.tuendelee.GDP ikipanda na sie wananchi tunampandishia.

La kuzingatia katika majibu yenu, naomba mhakikishe kuwa kitu chochote mnachompatia hakizidi hali ya maisha ya Mtanzania wa kawaida

actually na dodoma wangetakiwa waende na treni,hii biashara ya kwenda na ma-VX ndio maana hawaoni shida za wananchi.sidhani kama wangeipa reli kwa masingasinga.au la in one month wangerekebisha makosa yao!

tatizo kubwa the guys are out of touch.wanajisahau kuwa nchi yetu inashindania top ten za poorest.for that case they they need to work harder.
wao wakienda kwa wenzetu wanajiona as if wao ni ma-top dog!kumbe wanachorwa tu.
 
Back
Top Bottom