Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Spika anatengenezewa zengwe la kumuondoa na yeye lilivyo lijinga linajiingiza.

Ni mwanzo tu jamani stay tuned.....

Kwa hiyo unataka sema jamaa wasiokuwa upande wake ndio wamesababisha hili. Na kama ni hivyo, kwani uSpika ni cheo cha maisha. Muda wake wa miaka 5 ukiisha mimi na wewe ama mwingine yoyote tuna haki ya kugombea kama tuna sifa zilizoainishwa za mtu anayefaa kuwa Spika. Haya masuala ya mtu kusema anataka kung'olewa hasa kwa Wabunge, Madiwani, Spika nk ni ukosfu wa kufikiri, manake hivi vyeo ni vya muda, miaka 5 unakuja uchaguzi na yoyote anashiriki kugombea.
 
Eeh, lakini kuna kaeconomy of scale, kwamba wanaishi yeye na mkewe ambaye naye angelipiwa kodi, kwa viongozi wazalendo na navyowafahamu hiyo moja wana share.

Mkuu hilo linawezekana ila siyo Bongo ya wasanii!! Maofisini watu wanakwapua pesa za likizo wote hata kama wote ni wafanyakazi wa taasisi zilizokaribu sana. Mfano baba anafanya kazi Wizara ya Afya na mama yuko kwenye taasisi iliyo chini ya wizara hiyo hiyo, wote wanalipiwa nyumba na hata gharama za likizo. Labda tupate ushahidi ila naendelea kuamini kuwa Magreth Sitta atakuwa anakomba kivyake vyake!
 
=Mkaa Mweupe;530619]Mheshimiwa Dart City,

Unapofanya analysis inatakiwa uwe na base:
Mkuu, katika mambo ambayo hutakiwi kuwa sahihi kwa salimia 100 na siyo statistics (ambayo ina kanuni zake na pia kuna mambo mengi ya kukadiria) unaweza kutumia kigezo (base) chochote kujenga hoja ili unachotaka kusema kieleweke. Na kwa hiyo siyo lazima uweke mchanganuo wa kitaalamu ili ueleweke. Natumai hitimsho langu kuwa hiyo pesa ni nyingi sana halina ubishi.


Naona hata wewe umerudi kwenye mtego ule ule wa kukadiria kiwango cha mafuta ya spika kwa mwezi. Lakini nafurahi kwamba hesabu zetu sote zinaonesha kuwa Spika anatumia zaidi ya Tshs 1.2bn. Hili ndilo wengi tunalipigia kelele kwamba haiwezekani spika wa nchi rofa kama yetu atumie pesa nyingi kiasi hicho. Na hapo ni kwa usafiri na malazi. Je, tukipata mahesabu ya pesa zote anazotumia kwa miaka 5 si tutajiona vichaa?
 

NSSF na PPF wanajitahidi na majengo yao ya Mwanza yamebadili mandhari ya mji. Lakini hiyo culture ya kutegeneza mazingira ya nyumba zetu inatakiwa kuanzia nyumani kwetu. Ni wangapi wameweza kumalizia nyumba zao baada ya kuhamia? Na imewachukua muda gani? Kama hatutengenezi kwetu tutaanzia wapi kutegeneza ofisi?
 
Nahisi twamfahamu vyema mnyama jamii ya punda kabila, Pundamilia.

Kipindi cha ujima, kuna mwana wa Adam mmoja alikuwa anajiskia kero sana kukutana na mnyama huyu, yaani punda. akaonelea ni vyema aiharibu ngozi ya punda ili asiwe na mvuto ndani ya kijiji cha wanyama pori.

Hivyobasi akaonelea ampake punda masizi pamoja na utomvu wa minyaa.

Kwa bahati mbaya au nzuri, kitendo hicho kiliwafanya wanyamapori wote kuwa na recognition pamoja na mvuto mkuu kwa kizazi hiko kipya kilichotokana na marembo ya yale madoa ya punda,

Kuanzia hapo, akapewa jina la kumtofautisha kutoka punda na kuitwa PUNDA-MILIA.

Sawa na baadhi ya wanasiasa wenye nia na utu wa uzalendo kama Mh. Samwel Sitta na baadhi majina yakiwa kapuni.

Mengi yatazungumza, na hayajaanza jana, ila penye mchele mwingi, chuya hujitenga, na ukweli daima huonekana.

Best of luck Mh.
 

Sidhani kama kuna mtu amesema kuwa Spika Sitta na wezake wachache hawajajitahidi kupambana na ufisadi. Lakini katika mazingira kama haya ambayo mtu anayetaka tumwamini kuwa anapiga vita ufisadi, mtu huyo huyo anafuja pesa za umma ndio tunaposhindwa kujua lengo lao nini katika hii vita ya ufisadi. Tunashindwa kuifahamu dhamira yao na wakati mwingine kuamini kuwa kweli mtu hawezi kuukata mkono unaomlisha.
 
Nahisi twamfahamu vyema mnyama jamii ya punda kabila, Pundamilia.

Kipindi cha ujima, kuna mwana wa Adam mmoja alikuwa anajiskia kero sana kukutana na mnyama huyu, yaani punda. akaonelea ni vyema aiharibu ngozi ya punda ili asiwe na mvuto ndani ya kijiji cha wanyama pori.

Hivyobasi akaonelea ampake punda masizi pamoja na utomvu wa minyaa.

Kwa bahati mbaya au nzuri, kitendo hicho kiliwafanya wanyamapori wote kuwa na recognition pamoja na mvuto mkuu kwa kizazi hiko kipya kilichotokana na marembo ya yale madoa ya punda,

Kuanzia hapo, akapewa jina la kumtofautisha kutoka punda na kuwa PUNDA-MILIA.

Sawa na baadhi ya wanasiasa wenye nia na utu wa uzalendo kama Mh. Samwel Sitta na baadhi majina yakiwa kapuni.

Mengi yatazungumza, na hayajaanza jana, ila penye mchele mwingi, chuya hujitenga, na ukweli daima huonekana.

Best of luck Mh.
 

Mkuu BA, hebu soma na hiyo habari hapo chini http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=7000 .
 
This is what we know as of today, Speaker Sitta hasn't yet come forward to refute this story. I am hundred percent sure that the speaker has heard about these allegations, so his decision to remain mum says a lot about the legitimacy of this story. Mheshimiwa Spika is not stupid; he knows that millions of shillings are being used to furnish his lavish lifestyle. This is quite contrary to what he has been preaching; fortunately this scandal has been able to expose Spika's hypocrisy.

I am mad with not only the Speaker but also our parliament. The parliament allowed these greedy politicians to squander our resources; Instead, of acting like a watchdog it is in bed with these FISADIS. In western world, they called it taxation without representation.
 
Last edited:

I love this and wished everyone knew it!
 
Zaidi ya nusu ya hela hizo lazima zitakua zinaenda kwenye account yake just amefanya michoro hapo yeye na mhasibu wa bunge.Lakini ndo hivyo watanzania tukiambiwa tuchangue viongozi tunachangua watawala(ccm)

Mimi naamini watanzania hatujachoka so wache wandele kula tukichoka tutaamka then tutafanya yanayotakiwa kufanya.
 
Du hiyo kufuru, kama kuna anayeweza kupata picha ya hiyo nyumba atuwekee hapa.
 
hapa ukitafuta mmiliki wa hiyo nyumba ndio utakapochoka kabisaaaaaaaa........mwenye nacho huongezewa ila hapa wanachotewa..
 
Sasa mlitaka spika akakae Tandale kwa mtogole ndio mujue anatumikia watu? Kila kazi inastahili zake. Sisi sote tunapoomba kazi tunajulishwa na stahili zetu. Wa kulaumiwa hapo ni wanaoindinisha hayo matumizi ambaye sio spika mwenyewe

MKUU ALWATAN;

NI SAWA MKUU NA KILA PESA ZINA MATUMIZI YAKE...SO HAKUNA HAJA YA UNAFIKI KUPIGA KELELE ZA DOWANS;RICHMOND;NA EPA HUMU NDANI;;KILA PESA INA KAZI ZAKE...

Sasa mlitaka spika akakae Tandale

OK:ULITAKA WAKINA ROSTAM,JEETU PATEL,LYUMBA ?? NAO WALALE VYUMBANI MWETU?? EMBU TUWE FAIR...INANTIA SHAKA KUTOA HATA MAONI KWENYE KIONGOZI FISADI KAMA KUNA BAADHI WANAITWA MAFISADI WANATANASHATI NA WENFINE MAFISADI WAUJUMU UCHUMI.....HATA HAWA WALIOIBA EPA JAMANI WALIKUWA NA NJAA NA WALIITAJI KUISHI KWENYE NYUMBA NZURI...MAGARI MAZURI.......

WITO

KAMA SPIKA ANATAKA KUENDELEA KUHESHIMIKA AACHANE NA SWALA LA MAFISADI...USIMNYOOSHEEE MTU MKONO WAKATI KIDOLE CHA KULIA KINAKUANGALIA WEWE....ANY WAY...2WAACHE WAENDELEE KUTUIBIA SABABU WANA HADHI YA USPIKA,WASIKAE TANDALE SABABU YA USPIKA...KWELI WE NEED TO RECHARGE OUR BRAIN....KABISA...KWANI TANDALE KUNA NINI....YAWEZEKANA UNAKAA TANDALE NA BADO UNAKANDIA UNAPOISHI...UNATAARIFA KUNA MAWAZIRI ENZI ZA NYERERE WALIKUWA WANAISHI UKO TANDALE...,,

KAMA TUNAANZA HIVI NA JAJI MKUU NAE AKISEMA NATAKA NYUMBA YA HADHI DOLLER 9000 USD KWA MWEZI,,WABUNGE NAO WAJE NA MSWADA WANAITAJI KUISHI KWENYE NYUMBA ZA HADHI ZAO...NYIE WATU TUWATAKE RADHI WATANZANIA KWA MANENO TUNAYOWAANDIKA....
 
Bado sijaelewa tatizo hasa ni nini? Ukiondoa kilio cha "nchi maskini".. what is the problem?

a. Ni spika?
b. Ni gharama kubwa? compared to whose na kwanini tuna compare na huyo?
c. Ni Sitta?
d. Ni mkataba wa upangaji?
 
Bado sijaelewa tatizo hasa ni nini? Ukiondoa kilio cha "nchi maskini".. what is the problem?

a. Ni spika?
b. Ni gharama kubwa? compared to whose na kwanini tuna compare na huyo?
c. Ni Sitta?
d. Ni mkataba wa upangaji?

Mwanakijiji,

Maneno yako yanachefua , mtu anaweza kutapika. Wewe umetoka kwenye nchi gani ambaye huoni tatizo kwa kiongozi wa bunge kutumia za nusu bilioni kwa mwaka , kwa ajili tuu ya hadhi yake . Narudia tena hoja, sio pango tuu bali samani alizonunuliwa na serikali , pamoja na msede unaoworth milioni 300.
 
Ndugu watanzania tuko pamoj katika kukimbia na kulaani hili neno fisadi..ingawa kumbe kuna fisadi mrembo wa kushoto na wengine mrembo wa kulia....tumeona jinsi ofisi ya bunge letu inavyozidi kutumia mapesa ya kodi za wananchi na huku wengine wakisapoti kwa maana ya hadhi yake.na huku wengine wakiuliza huyo spika mnapiga kelele..je mawaziri...sasa jamani kuna mmoja akatoa njema zaidi yawezekana fisadi si spika sita aliepanga bali huyo mmiliki wa nyumba...sasa kuna mwenye uwezo wa kututafutia nani mmiliki jamani...kama watu wameweza kuamini lyumba aliesaini pesa za EPA si FISADI fisadi NI JEETU PATEL ALIEPOKEA ...sasa tutafute mchawi...
 
Point yako ni nzuri lakini ingekuwa vizuri hao TBA wangemiliki hizo nyumba za viongozi na kama ni kuzipangisha zitoke kwao, sio kumuuzia fudenge bei ya kutupa halafu wewe mwenyewe unaenda kuipangisha kwa hiyo market value, na bila competitive bidding
 
Bado sijaelewa tatizo hasa ni nini? Ukiondoa kilio cha "nchi maskini".. what is the problem?

a. Ni spika?
b. Ni gharama kubwa? compared to whose na kwanini tuna compare na huyo?
c. Ni Sitta?
d. Ni mkataba wa upangaji?

...tatizo ni hizo milion kumi(10) kwa mwezi,usijidai huijui milioni 10 kwa bongo,wizi mtupu hapo na hakuna justification yeyote ya matumizi kama hayo kwa pesa za walipa kodi,cha ajabu unaweza kukuta hiyo nyumba ni yake au ya ndugu yake au fisadi mwezake au unaweza kukuta hata hizo pesa hazilipwi zipo kwenye makaratasi tuu zinaingia kwenye account yake...hawa mafisadi sijui lini watatuachia!
 

Asante sana, in fact natamani jamaa ndiye angekuwa rais wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…