Give me a second,
Wajameni, spika ni mtu anaye-report kwa jamhuri ni mtu mkubwa sana, dola 8000 is nothing kwa cheo chake, lazima spika awe sehemu ambayo hatapenda kuhemea kwa kwenda visafari visivyokuwa na maana.
Tumeona watu wengi nyumba za pango ya dola 5000, ni za kawaida sana maeneo ya oysterbay...
Common Kasheshe, huwezi kuniambia dola 8,000 is nothing kwa cheo chake. You must be kidding. Hao unaosema 'wengi nyumba za pango ya dola 5000' ni akina nani? Are you seriously suggesting kwamba dola 8000 ni 'za kawaida'?.
You're defending something that is clearly indefensible. Huwezi kuhalalisha dola 8,000 kwa pango na dola zaidi ya 200,000 kwa thamani katika nchi maskini kama Tanzania hata kama zingetumika kwa Rais wa nchi. Ni rahisi kupanda kilele cha mlima Kilimanjaro kuliko kuhalalisha hayo matumizi. Simply put, huo nao ni ufisadi, tena unaonuka kabisa!
....kajisemea Mdada Dambisa Moyo:umefika wakati Wa-afrika tunapopiga kura chaguo liwe ni ama the B.Gate's Foundation au Unicef maana ndo-angalau wanatusaidia ktk sekta za Afya/Elimu... otherwise ni nini umuhimu wa hizi serikali zetu basi??Ndo tatizo la kuchagua uongozi wa hovyo maana na matendo yao yanakuwa ya hovyo hovyo..
Give me a second,
Wajameni, spika ni mtu anaye-report kwa jamhuri ni mtu mkubwa sana, dola 8000 is nothing kwa cheo chake, lazima spika awe sehemu ambayo hatapenda kuhemea kwa kwenda visafari visivyokuwa na maana.
Tumeona watu wengi nyumba za pango ya dola 5000, ni za kawaida sana maeneo ya oysterbay...
Ebana Kitila ulipotelea wapi bana? Nimekutafuta weeeee lakini wapi. Naona ulisepa baada ya joto la yule hausigeli kuzidi...Lol...
Ebana Kitila ulipotelea wapi bana? Nimekutafuta weeeee lakini wapi. Naona ulisepa baada ya joto la yule hausigeli kuzidi...Lol...
Wakuu sasa hapana tunamlaumu Sitta as a person au systme inayomruhusu Spika hata ukiwa wewe au mimi kukaa kwenye nyumba ya gharama hiyo. Kuna institutional corruption lazima tuikemee pia. Tatizo hakuna mwenye uwezo na hakuna mechanism ya kupambana na bunge as institution.
Aah wapi, mimi nimejaa tele kabisa. Busy tu. Sasa nimepata nafasi kidogo nipo Mtwara kwa wiki moja ndio nimepata nafasi kidogo ya kuingia JF. Wewe unafikiri Bongo ni mchezo, acha bana hata muda wa kuingia JF ni issue!!
Alaaa kumbe uko Mtwara...unakumbuka kuna siku nilisema kuwa Mtwara kuko freshi kuna beach za nguvu halafu ukaniuliza kama nshawahi kufika au nilikuwa naleta longolongo tu...sasa wewe unapaonaje?
Jamani siyo sitta peke yake, angalia maprofesa wote wa vyuo vikuu ni kwamba wanalipwa hela ya kupanga nyumba sh. 1,000,000/- kwa mwezi lakini wanakaa ktk nyumba zao walizo kwisha jenga. Je, hiyo ni sawa??
Ndiyo maana ufisadi hauwezi kuisha na utaendelea. Kwamnza muulizeni VC wa mzumbe mbona ameacha nyumba yake ya kikazi pale MU na sasa anaishi Moro mjini na wakati huo huo analipwa pesa ya nyumba (housing allowance) kila mwezi??
Miafrika ndivyo tulivyo!!!!
Bomba sana, leo nimetembelea bandara ya Mtwara iliyotelekezwa. Hii bandari ingetumika kidogo tu inge-turn around kabisa maisha ya hawa wamakonde hapa, lakini wapi bana!!
Lakini maisha magumu sana hapa, hotel sh 60,000, ugali/chips/wali kuku 8000-Mtwara!!
Anyway achana na hizi habari wewe, mada hapa ni Spika Sitta-sasa mambo ya Mtwara unayaleta ya nini hapa.
Unaambiwa Spika kupangishiwa nyumba ya dola 8,000, thamani za dola 200,000, benzi ya dola 300,000 katika nchi ambayo asilimia zaidi ya 50 ya wananchi wake wanapata chini ya dola 1 kwa siku ni UFISADI ULIOTUKUKA, mimi nakubali wewe unasemaji? Changia mada hii usilete longolongo!
Jamani siyo sitta peke yake, angalia maprofesa wote wa vyuo vikuu ni kwamba wanalipwa hela ya kupanga nyumba sh. 1,000,000/- kwa mwezi lakini wanakaa ktk nyumba zao walizo kwisha jenga. Je, hiyo ni sawa??
Ndiyo maana ufisadi hauwezi kuisha na utaendelea. Kwamnza muulizeni VC wa mzumbe mbona ameacha nyumba yake ya kikazi pale MU na sasa anaishi Moro mjini na wakati huo huo analipwa pesa ya nyumba (housing allowance) kila mwezi??
Miafrika ndivyo tulivyo!!!!
Don't be a pompous fanatic:Give me a second,
Wajameni, spika ni mtu anaye-report kwa jamhuri ni mtu mkubwa sana, dola 8000 is nothing kwa cheo chake, lazima spika awe sehemu ambayo hatapenda kuhemea kwa kwenda visafari visivyokuwa na maana.
Tumeona watu wengi nyumba za pango ya dola 5000, ni za kawaida sana maeneo ya oysterbay...